hello

  1. Hello Jamii Forums!

    My name is Mr Anova
  2. Habari mimi ni mpya humu

    Eti naulizia, chumvi ni shingapi huko kwenu imepanda kwa shingi 50.
  3. Hello JamiiForum users

    I have woken up to a harsh day, I have a critical fever from malaria exposure,
  4. Mtu aliyemaliza Diploma ya Uvuvi yan fisheries science and technology anaweza kusoma degree ya Computer science?

    Hello Naomba kuuliza mtu aliyemaliza diploma ya uvuvi yan fisheries science and technology anaweza kusoma degree ya Computer science au IT Asanten.
  5. M

    Mimi ni mgeni hapa, nikimaanisha nimejiunga na JF mwezi uliopita

    Naomba kufahamu ni nini nachotakiwa kufanya ili kuweza kupost posts nzuri hapa. Napenda kujiona kama mhamasishaji wa uongozi bora hasa kwenye ngazi za chini, nikimaanisha uongozi wa jumuia ndogo ndogo, uwakilishi wa nyumba kumi kumi nadhani hii ni kama mabalozi, uongozi wa mitaa, kata au...
  6. Hello future Hubby

    Wakuu Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu Natafuta mume sio mpenzi SIfa zangu 1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi Sio mnene wala mwembamba Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha Ni mkristo mkatoliki Sina mtoto wala sijawahi kuolewa Naishi Dar Nina miaka 32 Mwanaume...
  7. Mtaji wa Tsh 300,000 naweza kufanya mradi gani?

    Hello wana JF, chuo hivi punde, na nina pesa taslimu 300,000 je, nifanyie nini? Kuku naweza fuga,ila interview kila mara mkoani
  8. Naomba kujua kutoka kwenu

    Poleni na Majukumu wana JF Nilikuwa naomba kujua kutoka kwenu, kuna mdogo wangu amepata kazi kwenye kitengo cha “STOCK AUDIT & MANAGEMENT “ hivyo hajawahi kufanya hii kitu so nilikuwa naomba msaada kutoka kwenu je Stock audit na accountant wa ofis ni watu tofauti? na je stock audit na accountant...
  9. S

    Misdemeanor and gross misdemeanor!!

    Hello everyone 👋!! Mnaendeleaje na hali ndugu zangu poleni kwa majukumu! Naomba msaada tofauti kati ya MISDEMEANOR and GROSS MISDEMEANOR (First year student at MZUMBE UNIVERSITY)
  10. Nauza Magauni ya mtumba, jumla 2500 hadi 3000. Unapata gauni kali

    Hellow wapendwa nauza nguo za mtumba kali Magauni na tops kali pia. -Magauni jumla utapata kuanzia sh 2000, 2500 tu hadi 3000 guys vigauni vizuri mnoo ambayo ukienda kuuza unapata faida kama unataka kuanza biashara karibu Nauza magauni kwa reja reja pia kuanzia sh elfu 7000 hadi 15000...
  11. K

    Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

    Habari wakuu, Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara (Bachelor in Accounting ). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike hadi hivi juzi juzi nilipohitimu. Nipo hapa hapa Dar es Salaam...
  12. Nimefanikuwa Rasmi kufungua akaunti ya Jamii Forums leo .

    Habari zenu wana Jf? Mimi ni mwanachama Mpya, Ni kijana.... Nimefungua akaunti yangu leo hii hii, Nimefurahi kujumuika nanyi, Tutakutana huko kwenye nyuzi tofauti tofauti.. Ahsanteni!!
  13. Hello, I'm a new member to JF. Please, your cooperation will be meaningful to me

    As the the heading is read above, just need your cooperation.
  14. Hello,, nahitaji xiaomi redmi note 12s

    Husika na kichwa cha habari,, naombeni mnipe mawili matatu juu ya simu tajwa kabla sijazama dukani,, naipenda kwa sababu ya umbo lake sio kubwa,, Asanteni sana
  15. M

    Hello tunatengeneza furniture mbalimbali x

    Hello wanajukwaa niwakaribishe kwetu utapata godoro aina zote pia furniture mbalimbali za kupendezesha nyumba/chumba chako Tuna vitanda Kabati Sofa aina zote Ð
  16. Kama unatafuta msaidizi wa kazi tuwasiliane

    Age:18 yrs old, Salary atakayo ni 80k kuendelea. Awezacho ni kulea mtoto, watoto, wazazi wa watoto hao au kuuza duka. Maelezo mengine ni inbox wapendwa
  17. Hello, how y'all doing?

    Am new to the forum, kindly invite me in a warmly welcome note... I don't speak and write much Swahili... But 'll try out... Ciaao joh
  18. D

    Hello JamiiForums

    Napenda saaana JamiiForums
  19. S

    Hello, Rashidi Fukwa a new member here!

    Hello group, I am a new entrant!
  20. I need a friend to text me love me and share good things

    I need a friend to text me love me and share good things
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…