Kwani ndoto yako ulitaka uwe na mke au mume wa aina gani?
Nashauri hivi, tembelea ndoto yako, usiforce mambo kwa sababu fulani.
Maisha ni wewe, ukiumia ni wewe, ukifurahi ni wewe! Usijali maneno yetu wanaadamu, siye hatuachi kuongea liwe Zuri au baya......Siye tutaongea tu haikwepeki.
Je,hapo...