Habari wana jamvi. Hello mr right ni kakipindi fulani kanako endeshwa pale kenya na RAMBO TV, kakizaminiwa na startimes.
Kipindi chao kina husisha single boys &single ladies. Nimeshindwa kuelewa maudhui ya ke, je nisuruhisho kwa madomo zege ama la? Mbona hakuna mresho wa wale wanao patana mr...