hesabu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Faana

    Kwa wataalam wa hesabu na sayansi tupeni ufafanuzi wa jambo hili

  2. W

    Physics - A, chemistry - B, Hesabu - A, aende kusomea chuo gani na taaluma ipi ya Engineering ?

    Kuna mtoto wa dada yangu kapata hayo matokeo FORM 4 Hataki kusikia habari za form 6, anataka kuanza safari yake ya kusomea taaluma mapema, hivyo kaamua aende chuo Shida inakuja anapenda taaluma ya engineering ila hajui ipi aiseomee, hofu yangu asije akaenda kusomea engineering itayompa shida...
  3. SAYVILLE

    Hesabu za Ibenge zimemtokea puani

    Baada ya kocha wa Al Hilal Florent Ibenge kusemekana kupokea mlungula kutokea kwa uto ili kuwapa uto uhai na matumaini ya kufuzu kwenda robo fainali, aliangaliaaa misimamo ya makundi mengine akawa na maamuzi ya kufanya. Kwanza ni maamuzi ya kuonyesha kwamba timu imeshuka kiwango ili kuaminisha...
  4. Mwanamayu

    Hivi kwenye hesabu za desimali (decimal numbers), baada ya nukta tunatamka tarakimu moja baada ya nyingine au kwa pamoja kama vile nzima?

    Nimesikia wasomi wawili wa ngazi ya PhD wakitofautiana katika kutaja desimali (decimal notation). Mmoja ana PhD ya kusomea na mwingine ya heshima. Alianza yule mwenye PhD ya kusomea na kusema kwa majigambo na kujiamini kuwa mteuliwa amepata asilimia themanini na tisa nukta arobaini na mbili...
  5. GENTAMYCINE

    Yanayoendelea kati yenu na Baleke mnayaficha Kwanza mpaka Hesabu zenu za Vikokotoo (Calculators) zitimie Kesho au?

    Kudadadeki zenu mlitaka mumpeleke Namungo kwa Mkopo kisha baadae mumuache Kiujanja Ujanja (Juu kwa Juu) kama mnavyowafanyie Wengine Bandeko Nangai (Mkongomani) akawashtukia Na sasa kawaambieni tena kwa Amri kuwa tekelezeni yaliyomo katika Mkataba wenu nae ndani ya Siku Tano (5) zijazo na...
  6. OKW BOBAN SUNZU

    Hesabu kufuzu: Nashauri wana Yanga watembee na Scientific Calculator

    Naona mahesabu ya Yanga yanachanganya sana katika mchakato wa kuingia robo. Hesabu zinakuwa ngumu kwa sababu sio wewe tu ushindwe inabidi na mwingine ashindwe, mara hivi na vile. Mara inabidi MC Algers ifungwe na Mazembe lakini wasiifunge Yanga Nashauri mashabiki watembee na Calculator, sio ile...
  7. M

    Touch, Release, Attack. Kuna watu washaanza kumpigia hesabu kocha wao kumuangushia jumba bovu maana goli moja moja kwa mbinde inawatia wasi wasi!

    Huyu Ramovich ni kama anamchongea kocha mwenzake aliyetumia mechi 15 kufunga goli 31 wakati yeye mgeni katumia mechi 7 na kufunga goli 21. Gusa achia twende kwao imekuwa shubiri upande wa pili maana wanaona kama timu yao inatumia nguvu kubwa kupata ushindi kwa mbinde, wakati wananchi wanatoa...
  8. G

    Wataalam wa hesabu, Kuna magari mangapi yaliyosajiliwa Plate Number A mpaka E?

    Kuanzia Plate number AAA mpaka E ya mwisho, kuna magari mangapi Hint: Kuna herufi za platenumber huwa zinarukwa
  9. Shooter Again

    Hivi mtu anaenunua pikipiki kwa ajili ya kutoa mkataba au hesabu anakuwa na mahesabu gani?

    Kuna watu duniani utajiri watausikia Kwa wengine tu huwa nashindwa kuelewa akili zao unakuta mtu ananunua pikipiki 3.5M halafu anampa mjinga mmoja mnyoa kiduku amletee elfu 10 Kwa siku ambayo unakuta mwingine ndio akiletewa anaila na familia yake hivi hii ni akili gani yaani unajua Kuna watu...
  10. Manyanza

    TRA na Wizara ya Fedha inatakiwa kupiga hesabu kwa maslahi ya taifa

    Cc: TRA Tanzania, Dr. Mwigulu Nchemba Kuchaji kodi ya Dungu 15M na magari 50 000 tu yakaingia kwa mwaka inapata Shs 750,000,000,000// bilioni 750 tu Wakati kama itapunguza kodi na kuwa shs 5M kila Dungu 4×4 used na kwa kufanya hivyo sasa yakaingia mengi milioni moja kila mwaka na kusambaa...
  11. sinza pazuri

    Hesabu za Yanga kwenda robo fainali ni hizi hapa, nje ya hapo hatoboi

    Yanga kabakiza mechi 4. Anatakiwa kushinda mechi 2 za nyumbani. Anatakiwa kushinda mechi 1 ugenini. Anatakiwa kupata sare mechi 1. Akiwa na point 10 anaenda robo fainali. Matokeo ya jana sio mwisho wa safari ya Yanga kwenda robo. Pia leo aombee sana sare ya Mazembe Vs Al hilal.
  12. Pfizer

    Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa yatangazwa mshindi wa kwanza tuzo ya umahiri katika utayarishaji bora wa taarifa za hesabu kwa mwaka 2024

    Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeendelea kung'ara katika uwanja wa usimamizi wa fedha za Umma. Katika hafla ya tuzo iliyofanyika usiku wa tarehe 29 Novemba 2024, DCEA ilitangazwa mshindi wa kwanza tuzo ya umahiri katika utayarishaji bora wa taarifa za hesabu kwa...
  13. K

    LGE2024 Hesabu na namba zinavyoibeba CCM kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa. Naiona 95 kwenye kila 100 kwa CCM kila mahali

    Bila shaka dunia ya sasa bila kutumia sayansi ya namba mambo mengi utaona magumu hususani yale mambo yanayohitaji namba ziseme zaidi kuliko maneno na mojawapo ni ushindi wakati wa uchaguzi. Kila uchaguzi unahitajika kufahamu hesabu na namba ili kujihakikishia nafasi nzuri ya ushindi. Hesabu na...
  14. JAYJAY

    Hesabu Za LUKU Zinapigwaje

    Habari Wadau! Hapo chini ni kipande cha maelezo ya umeme nilionunua kwenye simu. Nimejaribu kupiga hesabu hizo asilimia hapo chini za VAT, REA na EWURA zote zinaonekana zimepigiwa hesabu kutoka kwenye shilingi 4098. Kwa gharama ya shilingi 5000, unaweza ona karibu shilingi 902 haipo hapo...
  15. Mndeme jeremia

    Tuimarishe somo la hesabu

    Bila shaka tunaweza kuwa mashahidi wa jinsi somo la HISABATI lina umuhimu katika Ulimwengu wa sasa, Utakubaliana nami kuwa Hisabati ndio nguzo muhimu katika maendeleo ya Sayansi na Teknolojia Duniani. Sasa tuje katika mfumo wetu wa elimu,,matokeo ya darasa la 7, kidato cha 2, na kidato cha nne...
  16. Mparee2

    Kuna haja ya topic ya umuhimu wa kodi na hesabu zake iongezwe kwenye shule za msingi

    TRA wanafanya kazi kubwa sana kuelimisha na kupambana na watu ili walipekodi/wasikwepe kodi Hata hivyo changamoto kubwa ni watu kukosa Elimu ya kodi tangia huku chini. Muarobaini wa Kukwepa kodi na mikopo umiza ni kuelimisha watu kuanzia huku chini. Napendekeza; 1. Waongeze topic ya umuhimu wa...
  17. FRANCIS DA DON

    Nimepiga hesabu na zimenishangaza sana, income chini ya laki 5 kwa siku nitadhalilika, ni chuma ulete au ni nini?

    Kwa hesabu nilizopiga, endapo itatokea nikawa naingiza chini ya laki 5 kwa siku, basi naweza kudhalilika hapa mjini. Nimejaribu kutafakari, shida ni michepuko, watoto wengi au ni nini? Au ni chuma ulete hii, mbona naishi life style ya kawaida tu?
  18. kesho kutwa

    Nimenunua pikipiki sijui kuendesha vip hawa vijana hawatanipiga hesabu za siku?

    Wale wazoefu naomba msaada jinsi ya kuweza kuepuka kuletewa hesabu finyu. Nimewza niwe najaza oil full tank then yy anipe hesabu yote kisha nimlipe mwisho wa mwezi. Naomba ushauri, pia maeneo gani yana kua na wateja wa kutosha ili dogo atege hayo maeneo. Nipo iringa.
  19. G

    Naombeni tupige hesabu, Rais anateua watu wangapi nchini

    Baadhi ya sehemu kuna makisio, mfano sina data ya kujua idadi kamili ya mashirika, vyuo, n.k. Turekebishane nilipokosea, weka nyongeza majaji wa mahakama - ??? wakuu wa mikoa - 26 makatibu tawala wa mikoa - 26 wakuu wa wilaya - 139 makatibu tawala wa wilaya - 139 Wakurugenzi watendaji wa...
Back
Top Bottom