hezbollah in lebanon

  1. U

    Hezbollah yafanya shambulizi kubwa Jiji la bandari la haifa Israel kwa kurusha maroketi 90, yasababisha uharibifu mkubwa

    Wadau hamjamboni nyote? Magaidi ya Hezbollah wamecharuka na kufanya shambulizi la nguvu huko Israel Mayahudi hawaamini kilichotokewa Jumuiya za kimataifa tunaomba kuingilia kati kuokoa uhai watu wasio na hatia Taarifa zaidi hapo chini kwa kimombo: Mungu ibariki Israel. Soma Pia: Hezbollah...
  2. U

    Netanyau afanya ziara mpaka wa Lebanon, asema dunia imevutiwa na uwezo na uwezo wa kijeshi wa Israel

    Wadau hamjamboni nyote? Kumekucha. Waziri Mkuu Benjamin Netanyau atembelea mpaka wa Israel na Lebanon Asema ulimwengu wote umevutiwa na kushangazwa na uwezo mkubwa ulionyeshwa na IDF katika kuwashughulikia magaidi. Soma Pia: Jeshi la Israel IDF laanzisha mashambuluzi ya nguvu nchini Lebanon...
  3. Sodoku

    Viongozi watatu Wakuu wa Hezbollah waliouawa mpaka sasa, mmoja hajamaliza siku 5!

    Bado nakataa kuamini. Sitaki kabisa kuamini. Hivi ni kweli? Ama naota? inakuaje kuaje?haiingii akilini? Nadhani sasa Khayatollah ajishike vizuri. Hawa jamaa si watu wazuri. Akae kwa kutulia sana. Sisi tuliwategemea sana Hezbollah. Sasa tunashindwa kuelewa. Nini kinaendelea huko. Maana tulisema...
  4. kimsboy

    Picha: Wanamagambo wa Israel walioangamizwa leo na Jeshi la Hezbollah

    Picha: hawa ndo Wanamagambo wa Israel walioangamizwa leo na Jeshi la Hezbollah Hawa ndo magaidi na wanamgambo walioangamizwa na Hezbollah leo Captain Eitan Itzhak Oster, Captain Harel Etinger, Captain Itai Ariel Giat, Sergeant First Class Noam Barzilay, Sergeant First Class Or Mantzur...
  5. Webabu

    Jeshi la Lebanon lawahamasisha raia kwa vita, wananchi waapa kutokimbia nchi yao

    Siku moja baada ya Israel kumuua kiongozi wa Hizbullah, Hassan Nasrallah jeshi la nchi hiyo limekuja juu na kutoa matamko ya kuwahamasisha raia kujiandaa kwa vita na Israel. Katika tamko lake hilo jeshi limewataka wananchi kuhifadhi vyakula na matumizi ya lazima na kuwa wamoja kuliko muda...
  6. matunduizi

    Kulipuka kwa Pagers/RadioCalls Lebanon ni pigo kubwa kwa sekta ya uchukuzi na usafirishaji duniani

    Huwa naamini smarphone ni kama bomu tu, hao wazungu wanaweza kutrigger hiyo lithium battery na kukulipua muda wowote kama wanashida na wewe. Hata Hesbullah walijua hilo wakabuni kutumia simu za kizamani Pagers. Ingawa ni za kizamani lakini marekani kuna watu zaidi ya Millioni 2 wanazitumia. Hasa...
  7. Mathanzua

    Israel assassinates another Iran official, then commences "Pre-emptive attacks" against Hezbollah in Lebanon

    ISRAEL ASSASSINATES ANOTHER IRAN OFFICIAL, THEN COMMENCES "PRE-EMPTIVE ATTACKS" AGAINST HEZBOLLAH IN LEBANON August 24, 2024 Israel has assassinated the head of Iran's KHASH (Intelligence) Agency, in front of his home in Iran, and then commenced "pre-emptive" attacks against Hezbollah in...
Back
Top Bottom