Wadau hamjamboni nyote?
Magaidi ya Hezbollah wamecharuka na kufanya shambulizi la nguvu huko Israel
Mayahudi hawaamini kilichotokewa
Jumuiya za kimataifa tunaomba kuingilia kati kuokoa uhai watu wasio na hatia
Taarifa zaidi hapo chini kwa kimombo:
Mungu ibariki Israel.
Soma Pia: Hezbollah...
[emoji298]️BREAKING
For the first time during this war Hezbollah has used precision Fateh-110 ballistic missile against a target in Tel Aviv
Kombora limeshambulia hadi uwanja wa kimataifa wa Ben Gurion na kuleta uharibifu mkubwa na kuna ndege moja ya Boeing ilipata madhara
Si tuliambiwa...
Picha: hawa ndo Wanamagambo wa Israel walioangamizwa leo na Jeshi la Hezbollah
Hawa ndo magaidi na wanamgambo walioangamizwa na Hezbollah leo
Captain Eitan Itzhak Oster, Captain Harel Etinger, Captain Itai Ariel Giat, Sergeant First Class Noam Barzilay, Sergeant First Class Or Mantzur...
Wadau hamjamboni nyote?
Hezbollah imeanza kuishambulia vikali Israel kama walivyoahidi Ili kulipa kisasi dhidi ya mauaji ya makamanda wao wawili Ismail haniyeh na shukru
Hadi muda huu bado hali ni tete nchini Israel kufuatia shambulizi hilo la nguvu kutokea angani na ardhini
We will keep you...
Wadau hamjamboni nyote.
IDF na mossad wanatisha Ndugu zangu. Huko Kusini mwa Lebanon ambalo ndiyo makao makuu ya Hezbollah hakukaliki Wala hakulaliki kabisa huku hofu kubwa ikitanda.
Wameamua kufanya maamuzi mazito ya kuwakimbiza haraka maofisa wao waandamizi na vifaa vizito vya kijeshi...
Nasrallah ameipa onyo Israel kuhusu vita inayotazamiwa kutokea baina ya Lebanon na Israel, lakini pia Hezbollah imetoa onyo kwa nchi ya Cyprus endapo itakubali kutumiwa na Israel katika vita hivyo.
Inaonekana Hezbollah hawatanii, Israel ana kazi kubwa ya kufanya hapo mashariki ya kati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.