hofu

Hōfu (防府市, Hōfu-shi) is a city located in Yamaguchi Prefecture, Japan.
As of September 30, 2016, the city has an estimated population of 117,387 and a population density of 622.44 people per km². The total area is 188.59 km².

View More On Wikipedia.org
  1. Nyani Ngabu

    Waliotaka kuizunguka katiba wasilaumiwe, ilaumiwe CCM

    Mahojiano aliyoyafanya mkuu wa majeshi mstaafu yametufungulia kaupenyo kwenye dirisha la kilichokuwa kinaendelea kwenye siku za mwisho za uhai wa Rais Magufuli. Kitendo cha mkuu wa majeshi na wenzake waliokuwepo wakati Rais Magufuli anavuta pumzi yake ya mwisho na ‘sintofahamu’ iliyojitokeza...
  2. A

    Hofu yangu katika miezi iliyopita siwezi kusahau

    Habari wanaJamiiForums leo nimeona niweke kitu changu ambacho kilinisumbua miezi kadhaa iliyopita. Niende kwa ufupi niliwahi kuteleza ktk tamaa za vijana na wala sikuwahi kufikiria mbele lakini mwezi wa 10/2023 niliona humu JamiiForums watu wanahimizwa sana kupimwa kujua afya zao na mimi...
  3. C

    Hofu ya kupata HIV baada ya kufanya ngono nzembe na mdada niliekutana nae siku 1

    Habarini wna JF ni matumaini yangu nyote ni wazima wa afya tele, ningependa ku share hii experience wakati nikiendelea kuishi kwa hofu sana baada ya kukutana na mdada ambae ni muathirika baada ya kumpima. Story iko hivi nilikutana na mdada sehemu akiwa na rafiki yangu pamoja pia na dem wa...
  4. RoadLofa

    Acha kuishi kwa hofu na wenge, kapime ujue afya yako

    Acha Hofu na Wenge kapime ujue afya yako... Kwa kipindi Cha miaka miwili nimekuwa nikiishi kwa Hofu na kujichukulia kama mwathirika HIV aka ukimwi aka Ngoma aka umeme utaongeza aka nyingine Basi bhana kutokana na iyo Hofu nilikuwa najikuta nakonda kweli na kuumwa hakuishi yaani nikiumwa tu...
  5. Poppy Hatonn

    Inawezekana CCM ina hofu kidogo kuhusu mkoa wa Mwanza?

    Au labda "hofu" is too strong a word? Kwa sababu huu ndio Mkoa ambao mgombea wa CCM (Kikwete) alishambuliwa jukwaani na chizi. Huu ndio mkoa ambao TANU ilikuwa inaihitaji msaada wa Bomani kuingia na kutoka kule. Sasa tunaona Makonda yuko Maswa,lakini huko si ndiko alikoenda miezi michache...
  6. BARD AI

    Kundi la M23 latangaza uongozi wake katika eneo la Kivu, hofu ya kuundwa taifa huru yaibuka

    DR CONGO: Kundi la Waasi la M23 limeripotiwa kutangaza Uteuzi wa Uongozi wake katika maeneo yaliyopo chini ya udhibiti wake huko Mashariki mwa DRC, hali inayodaiwa kuzua wasiwasi kwamba linapanga kuunda Taifa huru katika eneo hilo. Kupitia taarifa yake iliyochapishwa katika Mtandao wa X (zamani...
  7. Msanii

    Pre GE2025 Kuna hofu gani ndani ya CCM? Hizi kauli zinaashiria mpasuko au mmeguko?

    Habari za muda huu ndugu yangu Huwa sina mtiririko mzuri wa kiuandishi, lakini napenda kujenga hoja kwa ufupi huku ikifuatiwa na maelezo mareeefu. Kauli ya Katibu Mkuu mpya wa Chama Dkt. Emmanuel Nchimbi kwamba "Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni...
  8. B

    Pre GE2025 CHADEMA, ACT, CUF na wengine, na hofu ya kuonja sumu

    1. Nani asiyejua hatari ya kuonja sumu kwa ulimi? 2. Upo wito halali wa kutelemka mabarabarani 23/24. 3. Pamoja na kuwaita ndugu wa damu tena wale nguli washindao mitandaoni 24/7 kwa majina yao: "Jan 23/24, Maandamano yahusishe wadau wote." 4. Ni mwendo wa kupita juu kwa juu, kama jambazi...
  9. Erythrocyte

    Pre GE2025 Hofu: Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba na Sheria aliwazuia Wajumbe kumpigia Makofi Mnyika

    Joseph Mhagama ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Katiba ya Bunge, akiongoza vikao vya kupokea maoni juu ya marekebisho ya Sheria za Uchaguzi , amewazuia wadau kumpigia makofi , Katibu Mkuu wa Chadema alipokuwa anawasiliaha Nondo kabambe mbele ya Kamati hiyo . Yaani Mhagama roho...
  10. Webabu

    Hofu imewapata mayahudi.Wasema kuna sauti za kama watu wanachimba chini ya ardhi.Isije ikawa ni mahandaki yanajengwa chini ya eneo lao.

    Mamlaka ya mji wa Bat Hefer unaopakana na mji wa Tulkarem huko ukingo wa magharibi imeanzisha uchunguzi baada ya wakaazi wa eneo hilo kusema wamekuwa wakisikia sauti chini yao kama kwamba kuna ujenzi unafanyika. Mmoja ya wakazi hao alirekodi sauti hizo za kama mtu anachimbua na kuzipiga redioni...
  11. Roving Journalist

    Ridhiwani Kikwete awaasa Watumishi wa Umma kutokuwa na hofu na mfumo mpya wa tathimini ya Watumishi

    Naibu Waziri Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma, Ridhiwani Kikwete amesema Mfumo Mpya wa Tathimini ya Watumishi wa Umma (SAU) hauna lengo la kumuondoa kazini ama kuwaonea watumishi wa umma hivyo hawana sababu ya kuuhofia mfumo huo. Kikwete amebainisha hayo leo Desemba, 13, 2023 wakati wa ufungaji...
  12. Mr George Francis

    Siku 470 nikiwa na hofu ya kuambukizwa virusi vya Ukimwi

    SIKU 470 NIKIWA NA HOFU YA KUAMBUKIZWA VIRUSI VYA UKIMWI. [Sehemu Ya 1 ] Tarehe 1 mwezi wa 12 ya kila huwa tunaadhimisha siku ya UKIMWI duniani. Katika kutambua umuhimu wa siku hii kwa jamii na taifa letu kwa ujumla, naomba tupate funzo kupitia historia yangu na jinsi nilivyoishi siku 470...
  13. L

    Kwanini Marekani ina hofu na diplomasia ya China katika eneo la mashariki ya kati?

    Kwa mara nyingine hali tete imetokea tena katika eneo la mashariki ya kati. Mbali na mgogoro wa Yemen, na mvutano kati ya Marekani na Iran, mgogoro kati ya Israel na kundi la Hamas umekuwa kuigonga vichwa vya habari, upande mmoja ukilaani vikali mashambulizi yaliyofanywa na kundi la Hamas na...
  14. sky soldier

    Kwanini Watanzania wengi hawapendi kucheza na kuwajali wanyama wanaowafuga?

    Tanzania wanyama tunaoishi nao wanateseka sana kwakweli, ni kama vile waliumbwa na shetani wakati tumeumbwa nao na Muumba wetu alietupa mamlaka tumsaidie kuwatunza, Watanzania tunasali sana na kuomba dua ila ya nini hivi vyote kama hatupo tayari kuukubali uumbaji wa viumbe vingine vilivyoumbwa...
  15. sky soldier

    Sio Chama wala Kibu Dee, Hofu yetu Yanga ni Moses Phiri, Sub yake inatisha kama giza

    Kwanza nikiri kabisa nimewahi kumuona Kibu Dee laiv pale Sokoine uwanja wa Mbeya, ni mchezaji mzuri sana mwenye nguvu, spidi, akili, n.k. ila huyu wanaweza kummudu kimtindo jumapili. Kwa Chama nae sio kitisho mbele ya watu kama Yao Yao. Ila kuna huyu Noses Phiri sio wa kumchukulia poa hata...
  16. R

    Wengi wameonesha kukerwa na uteuzi wa Makonda, si rahisi kumfundisha mtu kumpenda katili aso na hofu ya Mungu

    Walidhani kila jambo linasaulika, ila ukweli ni kwamba kwa uhalifu uliofanywa enze za RC Makonda hakuna mtu serious atamuunga mkono. Atumie pikipiki au atembee kwa miguu still nafsi za watu zinakumbuka ukatili wake. Mapokezi yake yamefanywa na wale wale tuliowaita chawa lakini viongozi...
  17. Mohamed Said

    KAMARA KUSUPA NA FALSAFA YA DINI Kuna maneno ukiyasoma sharti uingie hofu. Dini za Kigeni. Dini za Asili. Kutoka kwa Mchungaji. Uh

    KAMARA KUSUPA NA DINI ZA KIGENI NA DINI ZA ASILI Kuna maneno ukiyasoma sharti uingie hofu. Dini za Kigeni. Dini za Asili. Kutoka kwa Mchungaji. Uhuru wa Tanganyika ulipiganiwa chini ya msaada mkubwa wa Waislam. Kitabu changu, "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold...
  18. sky soldier

    Suala la VPN walengwa ni wapinzani, watumia VPN kuepuka gharama za mabando na kucheki mambo binafsi ondoeni hofu

    Sheria hii lengo lake ni kutoa kibali cha kuwakamata watu wa kuitwa "wachochezi" pindi mitandao kama Twitter inapokuwa haiingiliki kwa mitandao ya simu ndani ya nchi, hali hii ikitokea jua ya kwamba chochote utachoposti mtandao usioingilika ni ushahidi tosha umetumia VPN. Ila kwa wengine vpn...
  19. Mr Lukwaro

    Hofu ya kunguni Ufaransa

    Wananchi wa Ufaransa pamoja na watalii wanaoitembelea nchi hiyo wanaugulia maumivu baada ya kungátwa na kunguni ambao wamesambaa katika maeneo mengi hasa ya umma. Kufuatia kuwepo kwa picha mbalimbali za video mitandaoni zikionesha kuwepo kwa wadudu hao hasa katika jiji la Paris kwenye treni...
  20. P

    Rais amtoa hofu Balozi Yakubu: Si demotion. Tunataka mkakijenge kitengo kwa nguvu zote

    Negative plus Negative 🟰 Positive Don’t think it’s a demotion simply means…😂😂😂. Uzuri ni kwamba Rais akikuteua kwa nafasi yoyote ile juwa kwamba wewe ni jembe na anakuamini utamsaidia. Watanzania ni wengi, Rais akikuamini wewe nenda kapige kazi kweli kweli. Mamlaka aliyo nayo Rais anapanga...
Back
Top Bottom