Salamu kwenu wana JF, aomba kuuliza kitu wanajamvi,
Ni kipindi gani mtu anapenda kuwa karibu na Mungu kati ya hivi vifuatavyo? Yaani anapenda kusikiliza nyimbo za dini na kusifu, anaswali sana, kufanya toba na ibada, anasoma Biblia au Quran mno;
1. Akiachwa ama kusalitiwa na mpenzi au...