hoja

  1. Erythrocyte

    Yuko wapi gwiji wa hoja Return of Undertaker?

    Kiukweli kuna wadau wa hapa jf ambao ukiwakosa kwa muda mrefu lazima ujiulize. Huyu Return Of Undertaker amepotelea wapi?
  2. Nyankurungu2020

    Tundu hakuwa msaliti, alitakiwa ajibiwe kwa hoja sio kwa mtutu. Alipwe pesa zake

    Baadhi ya Watanzania wenzetu wana matatizo sana. Wanapenda kushadadia mambo bila kufanya tafakuri. Kama mtu anasema mtapata hasara mkivunja mkataba fulani ndio apigwe risasi? Mtu akisema tutumie akili kudili na masuala ya kisheria ndio apigwe masasi? Serikali hii hii inatakiwa kumlipa Lissu...
  3. P

    Hoja ilikuwa nini kwa Wabunge wa CHADEMA kuhojiwa na TAKUKURU?

    Mwaka 2020 TAKUKURU ilifanya kazi yakuwahoji wa bunge wote wa CHADEMA mmoja baada ya mwingine. Lengo lilikuwa ni mini? Wananchi na vyama vya upinzani tulijifunza nini? Je, mwaka huu hakuna wa Bunge wa CHADEMA wanaostahili kuhojiwa?
  4. TheDreamer Thebeliever

    Wabunge wana haki ya kudai nyongeza ya mshahara, hoja yao isikilizwe wasipuuzwe

    Habari wadau, Naona kuna vugu vugu sasa wabunge kutaka kuongezewa mshahara maana hauwatoshi, binafsi nadhani wana hoja ya msingi ni vyema wakasikilizwa. Wengi tulikuwa tunajua wabunge wanalipwa pesa nyingi sana kutokana na kazi kubwa wanazozifanya lakini nilipofuatilia kiasi anacholipwa mbunge...
Back
Top Bottom