honda

The Honda Motor Company, Ltd. (Japanese: 本田技研工業株式会社, Hepburn: Honda Giken Kōgyō KK, IPA: [honda] (listen); ) is a Japanese public multinational conglomerate manufacturer of automobiles, motorcycles, and power equipment, headquartered in Minato, Tokyo, Japan.
Honda has been the world's largest motorcycle manufacturer since 1959, reaching a production of 400 million by the end of 2019, as well as the world's largest manufacturer of internal combustion engines measured by volume, producing more than 14 million internal combustion engines each year. Honda became the second-largest Japanese automobile manufacturer in 2001. Honda was the eighth largest automobile manufacturer in the world in 2015.Honda was the first Japanese automobile manufacturer to release a dedicated luxury brand, Acura, in 1986. Aside from their core automobile and motorcycle businesses, Honda also manufactures garden equipment, marine engines, personal watercraft and power generators, and other products. Since 1986, Honda has been involved with artificial intelligence/robotics research and released their ASIMO robot in 2000. They have also ventured into aerospace with the establishment of GE Honda Aero Engines in 2004 and the Honda HA-420 HondaJet, which began production in 2012. Honda has two joint-ventures in China: Dongfeng Honda and Guangqi Honda.
In 2013, Honda invested about 5.7% (US$6.8 billion) of its revenues in research and development. Also in 2013, Honda became the first Japanese automaker to be a net exporter from the United States, exporting 108,705 Honda and Acura models, while importing only 88,357.

View More On Wikipedia.org
  1. masai dada

    Naenda kulipia befoward honda step wgn ya 2011, naomba ushauri

    Naombeni ushauri kuhusu hii gari naenda kuilipia leo. Sina ufahamu wowote nimependa space tu.
  2. BROTHER OF BROTHERS

    Generator Honda EG 1000

    Habari wadau natafuta Generator Used from Dubai/New Brand iwe Honda EG 1000, iwe katika condition nzuri Niweze kuitumia kwenye kibanda umiza changu. Kama Hautajali Tafadhali nicheck WhatsApp 0739115313
  3. Mjukuu wa kigogo

    Hizi Honda mbona zina bei mkasi sana?

    Wanajamvi nimeshangaa kusikia kumiliki kifaa kipya kama hiki ni almost 10millions. Kina maajabu gani zaidi?
  4. Majura digital

    Mwenye uzoefu na Honda HRV 2001

    HABARI WAKUU. Samahani nataka kununua hii gari HONDA HRV ya Mwaka 2001 . Naomba kuuliza mwenye uzoefu (experience)na Hii gari anisaidie mawazo.
  5. Mr Q

    Huyu Honda namfikisha Tanzania kwa Shilingi ngapi?

    Picha zinajieleza
  6. Kaka mwisho

    Nataka kununua pikipiki Honda Ace 125 Individual. Je, kuna pikipiki nzuri zaidi ya kwa level yake na bajeti?

    Wadau Nataka kununua pikipiki Aina ya Honda Ace 125 individual made in South Africa. Bei yake ya ofa 2,600,000/= mpya. Je, kuna pikipiki nzuri zaidi ya hii ambayo bajeti take haivuki milioni 3.2. Ni ya kutembelea tu sio Kwa biashara ya bodaboda
  7. BROTHER OF BROTHERS

    Natafuta Generator nzuri used aina ya Honda

    Habari za Muda Huu wanajukwaa. Kulingana na changamoto za kukatika Kwa Umeme Kila Baada ya nusu Saa, Sasa nimenyoosha mikono na nimesalimu Amri wakuu. Tafadhali Sana Naomba mdau mwenye Generator nzuri aina ya Honda aniuzie ili niweze kuendelea kuuza movie Hapa kijijini. Nina Computer 2...
  8. BROTHER OF BROTHERS

    NATAFUTA GENERATOR AINA YA HONDA USED:-

    Habari za Muda Huu wanajukwaa. Kulingana na changamoto za kukatika Kwa Umeme Kila Baada ya nusu Saa, Sasa nimenyoosha mikono na nimesalimu Amri wakuu. Tafadhali Sana Naomba mdau mwenye Generator nzuri aina ya Honda aniuzie ili niweze kuendelea kuuza movie Hapa kijijini. Nina Computer 2...
  9. G

    2015 Nissan X-trail Hybrid Vs 2015 Honda vezel Hybrid gari zinazokuja kuteka soko kila eneo

    Nissan x-trail hybrid Honda vezel hybrid Gari zote ni cc chini ya 2000cc pia ni 4w drive consumption ya hybrid si chini ya 20km/l so nashauri kama unataka kaagiza gari basi zingatia hybrid cars kama hizo, maoni zaidi yanakaribishwa.
  10. Lyrics Master

    Subaru Forester Vs Honda Crossroad

    Wakuu habari za Jumapili!? Kuna kahela nimepata kidogo nataka kuagiza gari. Baada ya kufikiria kwa muda mrefu nimetamani gari mbili tu; Subaru Forester au Honda Crossroad. Wataalam wa magari nichukue lipi hapa? Ushauri wenu wa maana sana kwangu. Asanteni.
  11. S

    Mwenye kuifahamu Honda Crossroad

    Picha: Honda Crossroad Habari wakuu umu ndani kuna watu wa maana sana na nawa amini sana mwaka juzi mlinishauri kuhusu Rumiona nikaenda kununua na sijajutia, yaani nimefurahia sana. Sasa nataka kununua Honda Crossroad naomba mwenye uzoefu na hii gari please anisaidie mawazo namba yangu...
  12. Chura

    Car4Sale Honda Crossroad inauzwa

    Gari ipo katika hali nzuri na imetunzwa kama 0Km, njoo na fundi wako uchukue mali. Contacts: 0746 931 556 Location: Mwanza Bei: 17M (Milioni kumi na saba ) tshs.
  13. Mamaya

    Mwenye uzoefu na Honda Stream

    namba mwenye uzoef na hii gari, naona inafafana na toyota wish, nimeiwazia toyota wish, ila sijaipend pua yake/face, naona honda stream inavutia zaidi. Naomba mwenye uzoefu atiririke hapa, ili yafanyike maamuzi sahihi
  14. M

    Spares za Honda Stream zinahitajika

    Spares zifuatazo zinahitajika: 1. Grille show 2. Bumper la nyuma 3. Kioo cha nyuma 4. Indicator/parking lights 5. Side mirror ya kulia 6. Chrome ya boot. 7. Rear skeleton right side. Kama unavyo tafadhali wasiliana kupitia +255 689 601 271. Tufahamishe pia kama una bodi ya gari hii kwa vitu...
  15. AUTOMASI COMPANY LIMITED

    Car4Sale Karibu automasi uagize nasi gari lenye ubora kwa gharama nafuu

    KARIBU AUTOMASI UAGIZE NASI GARI LENYE UBORA KWA GHARAMA NAFUU ************** ♻️ High Quality , Reliable, and Speed ♻️ *************** 🔅VEHICLE DESCRIPTION Make : TOYOTA Model ...
  16. Kaka Pekee

    Nimezielewa sana Honda Cross Road

    Gari aina ya Honda Crossroad ni aina ya gari inayotokea kunivutia sana kutokana na Muonekano wake, nafasi ndani ya gari ya Engine safi na hata Ground Clearance fasi kwa barabara zetu za huku Madongo kuinama. Hii ni gari yangu ya Nne baada ya Toyota IST, Nissan Wingroad, na Yoyota RAV 4, NB...
  17. and 300

    Honda CR-V: Shipa lisilovuma!

    Kama una hela za mawazo nakushauri usijichanganye ukanunua Honda CR-V utajuta. Kuna jamaa alinunua kwenye mnada Morogoro - Kilimo linamtesa kuliko maelezo. Amejaribu kuliuza kupitia madalali, akirusha picha hakuna anayejibu. *** Nawataadharisha maana huko mitandaoni Bei inavutia Ila...
  18. Ramon Abbas

    INAUZWA Pikipiki honda click kwa 850k only

    cc 125 petrol engine betri nzima kabisa. ya kuwasha na kuondoka Located at: Mtongani Dar 0683011003
  19. L

    Honda Fit inatoa mlio wa gu gu guuuu kwenye vishimo hata kwenye mwendo mdogo,

    Habari Wadau, Gari yangu ni Honda fit inatoa mlio wa gu gu guuuu ( non metal clucking) mguu wa mbele kulia hata kwenye speed ndogo kwenye barabara yenye vishimo shimo. Nimebadisha Shocks zote na Stabilizer links zote na kufanya ukaguzi wa kina stabilizer bushes na ball joints zote zikaonekana...
  20. Hassan Loloo

    Car4Sale Tunafanya Biashara ya kuuza na kununua magari, mapya na yaliyotumika Tanzania

    TOYOTA HARRIER Engine 5S, Cc 2160 Mwaka 2000 Rangi Black Bei 16.5 million Call/whatsapp 0672697409
Back
Top Bottom