hot

  1. Dansel

    Kioo Cha kamera ya nyuma Infinix Hot 11

    Wakuu kwa bahati mbaya kioo cha kamera ya simu yangu aina ya Infinix Hot 11 (kamera tatu Kwa nyuma). Kimecrack hivyo kufanya camera kutokupiga picha angavu. Msaada Kwa wapi naweza pata replacement na itakuwa bei gani. Kwa Sasa nipo Mwanza.
  2. Suzy Elias

    Zanzibar: Rais Mwinyi ameongeza mshahara kwa Watumishi kwa 15%

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Mwinyi ametangaza ongezeko la mshahara kwa 15% Kutokana na utaratibu huo kima cha chini cha mshahara kitapanda kutoka Tsh. 300,000 hadi Tsh. 347,000 sawa na asilimia 15.6 Ongezeko hilo linatarajiwa kutolewa kutumia mfumo wa...
  3. CEYLON

    Phone4Sale Infinix Hot11 inauzwa

    Inauzwa 290000, Ina ram gb4 Rom gb128 Battery 6000mah Ant-theft alert Android 11 Finger print Simu ipo katika hali nzuri Simu ipo dar
  4. Frankdaniel711

    Phone4Sale Infinix Hot 9 play

    Habari wana if Nauza simu yangu infinixy hot 9 PLAY aina tatizo lolote Ni: 2ram 32Gb 4g Line 2 Camera ni 8 mbele nyuma 13 Uwezo wa better ni 6000MAH Simu ni yangu mwenyewe naiuza 195,000 maongezi tunaongea nipo dar es salaam Chanika Namba zangu za WhatsApp au kupiga 0756774813 Asante
  5. bafetimbi

    Phone4Sale Nauza infinix HOT 10i 215,000

    Simu hiyo wazee haina kasoro wala mkwaruzo Ina GB 64 3--6GB RAM 720×1600 pixels 13 MP (1440p) Betri 6000mAh, inakaa na chaji muda mrefu mno 6.52
  6. dvj nasmiletz

    Punguzo maalum infinix hot 10 kwa laki na nusu tu, karibu

    Memory gb32 Ram 4 Condition NEW kwenye box lake Zipo nyingi Karibuni Mikoan tunatuma kwa gharama zako Namba zipo hapo
  7. F

    Kumbumbuku - Je kipande hili ulikiimbaje wakati huo kipo hot miaka ya 78?

    Sikiliza Video clip hii - hawa ni Orchestre Kiam wimbo unaitwa Moni. Sikiliza kutoka 6:40 hadi 7:50
  8. Ramon Abbas

    Phone4Sale Infinix hot 8 kwa 160,000 only

    ram 2gb rom 32gb simu haina changamoto yoyote napatikana kariakoo Dsm sms 0625750755
  9. Shadow7

    Borussia Dortmund (The Black and Yellows) - Official Thread

    WELCOME TO BORUSSIA DORTMUND OFFICIAL THREAD Ballspielverein Borussia 09 e. V. Dortmund, commonly known as Borussia Dortmund [boˈʁʊsi̯aː ˈdɔɐ̯tmʊnt],[2] BVB, Full name Ballspielverein Borussia 09 e. V. Dortmund Nickname(s) Die Borussen Die Schwarzgelben (The Black and Yellows) Der BVB...
  10. Sky Eclat

    Si lazima ujenge swimming pool, kuna hot water tub

  11. Mkushi Mbishi

    Msaada mafundi naflash infinix hot 9 play x680 inagoma

    Wakuu habari zenu, Nimeletewa INFINIX hot 9 play x680 tatizo Ni frp Nimejaribu kuflash kwa Sp flash tool ujumbe unaokuja ni huu kwenye picha hivyo naomba MSAADA wenu tutagawana hii pesa ya bando.
  12. Chizi Maarifa

    Amkeni, amkeni wamekuja tena. INFINIX HOT 10T. Imekuwa launched

    Kuna jamaa yangu ananishawishi namu ninunue anadai zinakaa sana na charge na best Camera. 48 mega pixers 4GB Ram Memory 64 GB Battery yake 5000 Mah Bei tsh 380,000 wadau wa simu tushauriane. Mimi nimekuwa nikitumia sana Huawei na Samsung. But jamaa kwa kigezo cha Battery kukaa nadhani kuna...
  13. Shadow7

    Fahamu sifa kubwa ya Infinix Hot 10 PLAY zaidi ya Samsung A02S

    Habari nimeona ni share na nyinyi hii, Katika ushindani wa soko la simu kampuni nyingi za simu zimejikuta zikitoa simu zenye kushabihiana sifa. Kwa leo tuliangalizie kwa ndani simu aina ya Infnix Hot 10 Play na Samsung Galaxy A02s.na mwisho wa makali hii nadhani tutakuwa tumepata kufahamu ipi...
  14. Pascal Mayalla

    Uchaguzi 2020 Kawe kunani? Why is a hot cake? Wamejitokeza wagombea 176! What is so special ? Kuchinja watu 175 kubaki 1, is not a joke!.Je, atakuwa nani?

    Wanabodi, Declaration of Interest. Mimi Paskali Mayalla ni mkazi wa Kawe, nimezaliwa Kawe, nimesoma primary Kawe, nimesoma sekondari Kawe, nimehudhuria JKT kambi ya Mlalakuwa, nimesoma Chuo cha uandishi wa habari IJMC pale Makumbusho, nimeajiriwa TVT pale Bamaga, nimeoa Kawe, naishi Kawe, na...
  15. M

    Ngoma mpya ya King Kiba (So Hot) ni hot kweli kweli

    Mfalme muda wowote kuanzia sasa anaenda kuachia pin Mpya inayokwenda kwa jina LA so hot. Ni ngoma matata usipime ===============
  16. Root root AE

    Phone4Sale Nauza Infinix hot 8

    Simu ishauzwa. Nashukuruni sana.
  17. The Assassin

    Tanzania kuna natural hot springs ngapi?

    Naomba kuuliza, je Tanzania tuna visima vya maji ya moto vya asili vingapi? Mimi najua kuna Majimoto iko Katavi na Majimoto iko Serengeti ila nasikia kuna nyingine iko Manyara na nyingine Moshi, sasa sina hakika kuhusu hizo mbili za Manyara na Kilimanjaro maana hii nchi hizo taairfa haziko...
  18. Izzi

    Infinix Hot 8 Lite - Inauzwa (Dar)

    SOLD!
  19. stellasmith

    Pic Of Your Favorite Celebrity

    Monalisa ni mmoja wa wahusika wenye vipaji na ninampenda Celeb24x7.com
Back
Top Bottom