houthi

  1. S

    Houthi:" tupo tayari kuishambulia Israel endapo makubaliano yatasitishwa

    Mikono yetu ipo kwenye trigger na tupo tayari kwa mapambano kama Israel atasitisha makubaliano na kuamua kushambulia gaza-HOUTHI HOUTHI wametoa msimamo huo mara baada ya Hamas kudai hawatoachia mateka siku ya jumamosi wakidai Israel wamekiuka na kuvunja makubaliano. Hali kadhalika Waziri...
  2. ILAN RAMON

    Israel yaichakaza miundombinu ya magaidi wa Houthi na kumjeruhi mkuu wa WHO

    Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Tedros Adhanom akiwa na wafanyakazi wengine wamenusurika kuuawa katika shambulio la anga, linalodaiwa kufanywa na ndege za kivita za Israel kwenye uwanja wa ndege wa Yemen, ambalo limesababisha vifo vya watu watatu na wengine kujeruhiwa. Mhariri |...
  3. Bams

    Waziri Mkuu wa Israel Aapa Kutumia Nguvu Kubwa Kuwapiga Houthi; Mkuu wa Mossad Ataka Israel Ianze Kuipiga Iran.

    Baada ya shambulio la kombora la Houthi tokea Yemen kutua eneo la wazi, na kujeruhi kiasi watu 16, huku mitambo ya ulinzi wa anga ya Israel ikishindwa kulizuia, jana Jumapili 22 Oktoba 2024, Baraza la vita la Israel lilifanya kikao na kuufikia uamuzi kuwa Houthi wa Yemen wapigwe kwa nguvu kubwa...
  4. A

    Al Houthi wa Yemen Wametungua ndege mbili za US

    American hata kubali utasikia ana dai sababu ni friendly 🔥 ni uwongo mtupu zimetunguliwa na Yemen Wengine wanasema ndege.moja.
  5. S

    Wapiganaji wa Houthi waenda Urusi kuisambaratisha Ukraine

    Wababe wa kivita kutokea pande za redsea "Yemen", Wanamgambo wa Houthi wameenda Urusi kusaidia mapambano.Ripoti inasema idadi kubwa ya wanamgambo wamechukuliwa na Urusi kwenda kupigana na vikosi vya Ukraine. Aidha Afisa wa marekani nchini Yemen bwana Tim lenderking amesema Mazungumzo ya kina...
  6. jmushi1

    Marekani yatilia shaka mahusiano ya Urusi na Houthi

    Urusi inaweza kutoa msaada kwa Wahouthi wanaoungwa mkono na Iran huku wakihatarisha njia kuu za meli. Afisa mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani alisema Moscow inashirikiana na waasi katika "kiwango kikubwa." Afisa huyo aliiambia BI kwamba usaidizi wa Urusi ungekuwa "wasiwasi mkubwa...
  7. A

    Al Houthi Wamepiga 2 US Carriers

    https://youtu.be/3LEOiCREXQs?si=fF40X0s_eaQoZe1- Habari ya mjini ndio hio, US na UK wanapiga we Yemen afu Al Houthi anawapelekeaa moto si wa kawaida. Msemaji wa Al Houthi wa Yemen anasema wamepiga leo carries mbili za US zilikuwa zinajiandaa kushambulia Yemen, ikabidi waharibu plan za US na...
  8. MK254

    Israel kuweka kambi ya kijeshi Somaliland ili itumie kushambulia Houthi

    Hii ni kwa ajili ya kupambana na magaidi wa Houthi wenye mlengo wa uislamu. Japo sijajua imekaa vipi maana huko Somaliland si ndio wale wale ambao wameathirika na uzombi pia..... ================================= Israel is interested in establishing a military base in northern Somalia in...
  9. Eli Cohen

    Wanaharakati wa Palestina mbona hamkupiga kelele watoto wa Yemen kufa na utapiamlo kutokana na vita ya Houthi?

    Mimi kila siku nawaambia kuwa harakati yenu sio kuhusu haki wala ukombozi wowote. Harakati yenu ni ya itikadi na chuki. Full stop. Hamkuandamana kabisaa wala kuanzisha nyuzi nyingi kumshutumu houthi kama vile mnavyo mshutumu israel. Kwa nini? Eti kisa ni Muyahudi. Hio inaprove unafiki na...
  10. kimsboy

    LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran

    Nimeona nije na uzi maalum wa kupeana updates wa vita mpya inayotarajiwa kulipuka kati ya Iran na Israel muda wowote kuanzia sasa Inaonekana inayokuja mashariki ya kati itakua sio ya mchezo Yemen tayari keshaandaa wanajeshi laki 4 Iraq kuna wanajeshi laki 2 na nusu Hezbollah wapo zaidi laki...
  11. Exile

    Helikopta iliyobeba viongozi wa Iran na Houthi imepata ajali

    Ripoti zinaongelea kuhusu ajali ya helikopta magharibi mwa Iran, ikiwa imebeba viongozi wa Iran na Wahouthi. Hakuna taarifa rasmi kuhusu idadi ya waliofariki au kujeruhiwa kwa sasa kwani uchunguzi unaendelea. BREAKING: IRANIAN HELICOPTER CRASH WITH TOP LEADERS ON BOARD Reports are coming in...
  12. Sun Zu

    Houthi warusha makombora ya masafa marefu katikati ya Tel Aviv

    Houthis say they fired ballistic missile at Tel Aviv airport. LIVE updates: aje.io/mycvl0 The Yemen-based group’s military spokesperson says it launched an attack on Ben Gurion airport during the arrival of Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu. There was no immediate reports of damage or...
  13. Webabu

    Houthi kufanikiwa kuzamisha meli ya tatu kabla Vita vya Gaza kusitishwa

    Meli moja iitwayo Sounion iko mbioni kuzama baada ya wanamgambo wa Houth kuishambulia kwa makombora mfululizo wakiwa kwenye boti ndogo ndogo huko bahari nyekundu karibu na Yemen. Meli hiyo iliyokuwa ikitokea Iraq kuelekea Ugiriki ilikuwa ina mabaharia 25 ambao tayari wameshaokolewa wakati meli...
  14. Mr Chromium

    Baada ya Ethiopia, Israel inataka kuitambua Somaliland kama nchi ili kupambana na Houthi wanaotaka kuungana na Al Shabab wa Somalia

    Somalia inapata ugumu baada ya mambo kuzidi kwenda Kombo! Wakati wako kwene vita ya maneno na Taifa lenye heshima kubwa Afrika kwa kutotawaliwa na wakoloni la Ethiopia, mtanange umegeuka nakua kilanga kikubwa dhidi ya Somalia hasa kwa wale wakereketwa wa “GREAT SOMALIA” baada ya Taifa dogo...
  15. MK254

    Houthi walionywa sana, kwamba wayafanye huko mbali na Israel, hawakuskia

    Hawa magaidi ya waislamu, Houthi wamekua wakifanya maugaidi ya kidini huko mbali na Israel, walikua wanaonywa mambo yao hayo yaishie huko, juzi walithubutu kufikisha drone moja Israel, wamepokea kipigo ambacho hawajafanyiwa siku nyingine, yaani ukitazama videos kwa kweli hiki ni kipigo...
  16. Ritz

    Yemen Houthi: Tutajibu mashambulizi Israel nchi yeyote itakayozua makombora tutaishambulia

    Wanakumbi. BREAKING: TAARIFA RASMI YEMENI HOUTHI "Adui wa Israeli walianzisha uchokozi wa kikatili dhidi ya Gavana wa Hodeidah, wakilenga na uvamizi mara kadhaa kwenye kituo cha umeme kinachosambaza umeme katika mji wa pwani wa Hodeidah. Pia ililenga bandari ya Hodeidah na matangi ya mafuta...
  17. MK254

    Houthi wailalamikia US kwamba inapiga bila kuchagua pakupiga

    Walalamika na kusema USA wameanza mashambulizi ya kupiga popote na hii inaleta hatari kwa wasiohusika..... Muhammad Ali Al-Houthi condemns American-British strikes in Yemen, alleging aid to Gaza blockade; Red Sea shipping attacks persist. By REUTERSMARCH 23, 2024 03:27Updated: MARCH 23, 2024...
  18. M

    Wa Houthi wa Yemen wamemfanya Chris Lukosi aongee kwa unyonge

    Mzuka wanajamvi! Ukimsikia Mzee wa Dungu Jeshi akiongea kwa unyonge kwenye hii video kweli hali ni mbaya red sea. Uchumi wa duniani ulishaanza kuimarika baada ya covid na vita ya Ukraine. Hamas akaharibu tena sasa Israel naye anazidisha. Wa Houthi wamesema Israel akisitisha kuishambulia Gaza...
  19. MK254

    Iran yalalamika kwa kichapo kinachoendelea dhidi ya Yemen na magaidi wa Houthi

    Mabomu yanashushwa kama mvua, imebidi Iran itoe neno..... Iran has condemned the latest strikes by the United States and Britain on Yemen, saying they were seeking to “escalate tensions and crises” in the region. The condemnation comes after American and British forces carried out fresh...
  20. L

    Mashambulio ya anga yanayoongozwa na Marekani dhidi ya Houthi hayawezi kumaliza mgogoro katika Bahari Nyekundu

    Marekani na Uingereza zimefanya mashambulio mfululizo ya anga dhidi ya maeneo kadhaa yaliyolengwa ya kundi la Houthi la nchini Yemen hivi karibuni, lakini kundi hilo linadai kuwa, halijayumbishwa na mashambulio hayo na kuahidi kulipiza kisasi. Wachambuzi wanasema, mashambulio hayo ya kijeshi...
Back
Top Bottom