Us forces seized advanced conventional weapons and other lethal aid from Iran that were bound for Houthi-held areas of Yemen on a vessel in the Arabian Sea on Jan. 28, the US Central Command said in a statement on Thursday.
Over 200 packages containing medium-range ballistic missile components...
Wanakumbi.
Waasi wa Houthi wa Yemen walishambulia meli nne za kivita za Marekani katika Bahari Nyekundu katika muda wa saa 24 zilizopita
Ndege ya Jeshi la Wanamaji la Uingereza HMS Diamond iliripotiwa kuharibiwa vibaya. Ingawa Uingereza inakanusha uharibifu wowote, meli iliondolewa kutoka eneo...
Israel sasa inapitisha mizigo yake kwa njia ya barabara ndani ya mataifa ya Waarabu, huku magaidi ya dini yakipambana kushambulia meli, waarabu kwenye mataifa mengine wanafaidi, hamna cha dini wala mshikamano....kimsingi hela.
Israel is using a land route for the import of goods through the...
Jeshi la Wanamaji la Marekani limeripoti kwamba limekamata silaha zilizotumwa na Iran kuwapa waasi wa Houthi wa Yemen wiki iliyopita.
Jeshi la Marekani (CENTCOM) lilitangaza katika taarifa siku ya Jumanne kwamba Seals wa Jeshi la Wanamaji la Marekani walipata silaha hizo wakati wa shambulio la...
Hii ni baada ya hayo magaidi ya kidini kupigwa na Marekani, sasa kila mmoja anajtokeza kuwalaani.....
The United Arab Emirates (UAE) has voiced serious concerns regarding the impact of recent attacks by Houthi militants on shipping vessels in the Red Sea, deeming them an "unacceptable threat"...
Jeshi la Marekani linaendelea na mashambulizi ya ziada dhidi ya waasi wa Houthi nchini Yemen, siku moja baada ya kuanzisha wimbi la mashambulizi katika maeneo karibu 30 nchini humo ili kudhalilisha uwezo wa kundi la waasi linaloungwa mkono na Iran kushambulia meli za Bahari Nyekundu, maafisa...
Ajabu sana yaani, kwamba hawa magaidi wa kidini ilipaswa waachwe waendelee kulipua meli za watu bila kufanyiwa chochote, jameni Mungu tulinde sana haya mataifa ya uzombi wa kidini yasije kuwa supapawa dunia hii.....
In a statement on Friday, Kanaani described the attacks on Yemen as a clear...
Serikali ya Falme Za Kiarabu (UAE) imelaani vikali mashambulizi yanayofanywa na magaidi wa Houthi dhidi ya meli mbalimbali katika bahari ya sham.
Pia wanamgambo hao wanaoungwa mkono na Iran wamekiri kuuwawa kwa viongozi wake wapatao watano ktk shambulizi lililofanywa siku kadhaa zilizopita na...
Urusi wajifunze kwa ujinga wao wa kutaka kushikamana na mazombi wa dini ile...
Houthi militants mistakenly targeted a tanker carrying Russian oil in a missile attack on Friday off Yemen, British maritime security firm Ambrey said.
The United Kingdom Maritime Trade Operations (UKMTO)...
Magaidi ya kidini yanaendelea kupigwa huku yaking'aka kwamba yatalipa kisasi......
The US military early Saturday struck another Houthi-controlled site in Yemen that it had determined was putting commercial vessels in the Red Sea at risk, a day after the US and Britain launched multiple...
Katika mji mkuu unaodhibitiwa na kundi la kigaidi la Houthi unaojulikana kama Sana'a, mamilioni ya raia wa Yemen (Yemenis) wajitokeza kuandamana kupinga mashambulizi dhidi ya kundi la Houthi.
Kundi la Houthi limeripotiwa kufanya mashambulizi ya mara kwa mara katika Meli zinazopita katika...
Ndege za jeshi la anga la Uingereza (RAF) zalipua kambi za kijeshi za kundi la Houthi, nchini Yemen.
Kambi mbili tofauti zinaonekana kwenye video, zikilipuliwa na makombora ya kivita kutokea angani.
Kundi la Houthi limeleta shida katika Bahari ya Sham kupelekea usafirishaji kukwama. Marekani...
Rais BIden wa Marekani amethibitisha kuwa Majeshi ya Marekani na Uingereza yamefanya mashambulizi dhidi ya kikundi cha Houthi nchini Yemen
Rais Biden amesema mashambulizi hayo ni kulipa kisasi dhidi ya mashambulizi ya kikundi hicho cha Houthi ndani ya Red Sea
≈==============
UK Prime Minister...
Hawa jamaa walidhani kila siku itakua sikukuu
At least 10 Houthi rebels were killed today and two wounded when US forces struck their boats in the southern Red Sea, two sources at Yemen’s Hodeida port say.
The US military earlier said it had destroyed several small boats operated by the...
Hawa Houthi wana historia ya kulipua mabomu Saudi Arabia na hiyo ni mojawapo wa sababu kuu inafanya iwe vigumu kuwapiga.
Ifahamike Marekani huilinda sana Saudi, isingekua kwa Marekani pale Saudi pangekua majivu, sijui hata wafuasi wa ile dini wangekua wanaenda wapi kupiga shetani mawe.
Hapa...
Wanaukumbi.
Vikosi viwili vya Jeshi la Wanamaji la Marekani ambavyo vilitumwa kwenye Bahari Nyekundu ili kuwazuia waasi wa Houthi wanaoshirikiana na Iran sasa vimeondolewa kwenye bahari ya Mediterania, ingawa mashambulizi ya vikosi vya Houthi yanaendelea bila kusitishwa.
Siku ya Alhamisi, USS...
Waziri wa ulinzi wa Israel amesema nchi yake iko vitani maeneo saba tofauti.Akaongeza kusema kuwa kutokana na hilo tayari wameshaanza kushambulia kwa nguvu maeneo sita kati ya hayo kulipiza kisasi.
Maeneo hayo aliyataja kuwa ni Iraq,Syria,Lebanon na Yemen.Mengine ni Gaza,ukiongo wa Magharibi na...
Kwamba inaonewa tu, hao magaidi wanafanya yao huko bila Iran kuhusika..........
Iran denied on Saturday U.S. accusations that it was involved in planning attacks by Yemen's Tehran-aligned Houthi movement on commercial vessels in the Red Sea, the semi-official Mehr news agency reported.
The...
Haya mataifa yameungana kubuni mbinu za kupambana na hayo magaidi yenye mlengo wa kidini......
MANAMA, Bahrain — The US and a host of other nations are creating a new force to protect ships transiting the Red Sea that have come under attack by drones and ballistic missiles fired from...
Egyptian air defense shot down a suspected drone off the Red Sea coast near the resort town of Dahab on Egypt's eastern Sinai coast, two security sources said.
---
A spokesman for Yemen's Iranian-allied Houthis said the group had attacked the Israeli Red Sea resort city of Eilat...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.