Kumekucha!
Binadamu wanapenda kupewa maneno laini, hawapendi ukweli, wanapenda sifa hata wasizozistahili.
Yapo Matoto ya hovyo,
Wapo wazazi wa hovyo bila kujali ni wanani,
Hayo Matoto yakikua ndio yanaleta kizazi cha hovyo hovyo,
Unakuta kiongozi hovyo,
Mchungaji hovyo,
Sheikhe Hovyo...