huduma kwa wateja

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pascal Mayalla

    Nishati Safi ya Kupikia: Wiki ya Huduma kwa Wateja TotalEnergies Yamuunga Mkono Rais Samia, Kusambaza Gesi ya Majumbani Kila Kona Hadi Vijijini!

    TOTALENERGIES YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA - NISHATI SAFI YA KUPIKIA, YAANZA KUSAMBAZA GESI YA KUPIKIA. Dar es salaam, tarehe 4 Oktoba 2024 – Kampuni ya Mafuta ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, imeamua kumuunga mkono Rais Samia, kwenye kampeni ya nishati bora ya kupikia, kwa kuanza...
  2. M

    Wasafibet kitengo chao cha Huduma kwa Wateja kinawaharibia kwa kutoa lugha chafu na kuibia wateja!

    Mimi ni mteja mzuri tu wa betting companies( ambaye sometimes nabet mpaka 40M kwa mwezi). Miezi kadhaa iliyopita nilihamia Wasafibet baada ya kuona wanatoa odds nzuri na mechi nyingi zaidi in play na app yao ni user friendly( kwa hilo nawapongeza na kuwapa maua yao). Kinachonitatiza ni kitengo...
  3. wakolosai

    KERO Uzembe wa Idara ya Uhamiaji Tanzania katika Huduma kwa Wateja

    Ndugu wanajamii, Nimechoshwa na uzembe unaofanywa na Idara ya Uhamiaji Tanzania hasa kwenye masuala ya utoaji wa huduma kwa wateja. Kwanza kabisa, hakuna namba maalum ya huduma kwa wateja ambayo mtu anaweza kuipigia kwa msaada pale ambapo kuna shida yoyote. Ni aibu kuona idara kubwa kama hii...
  4. Eli Cohen

    Benki ya CRDB unapiga simu hawapokei na unaambiwa utajibiwa haraka kwenye mitandao ya kijamii, nako ukienda haujibiwi haraka

    Benki gani unapiga simu hawapokei na unaambiwa eti utajibiwa haraka kwenye mitandao ya kijamii, mitandao yenyewe ukienda haujibiwi instant. Benki gani eti miezi miwili net unafatilia mkopo unaambuliwa kupigwa calendar na miyeyusho. Kuna mtu aliwahi kusema ubora ameondoka nao kimei sasa kweli...
  5. winnerian

    CRDB huduma kwa wateja imekuwa mbovu kulinganisha na benki zote hapa nchini

    Ingia ndani kupata huduma yeyote lazima upoteze zaidi ya saa moja. Wananchi wa Tanzania ninatoa wito tuwaache CRDB na wanahisa wao wabaki wenyewe. Hawezekani benki tuipe sisi kiburi cha kutuhudumia vibaya namna hii. HAPANA HAIWEZEKANI Sasa mbaya zaidi umkute dirishani amekaa mdada ndio utajuta...
  6. Forfofo

    Masula ya huduma kwa wateja Kwa Bongo bado Tabu sana

    Ukiwa mtu ambae umesafiri sana nje ya nchi,nchi tofauti tofauti utaungana namimi katika hili. Bongo mtu kaandika namba ya huduma kwenye bango, hiyo namba ukiipiga imewekwa busy au haiko active kabisa. Km imewekwa busy basi upige zaidi ya mara moja,upige hata mara tatu ndo angalau utajibiwa kwa...
  7. Cute Wife

    Wizara/Shirika/Taasisi gani ya serikali ina huduma bora kwa wateja mpaka unatamani taasisi zote zingekuwa kama wao?

    Wakuu weekend inaendaje? Huduma kwa wateja upande wa serikali imekuwa mwiba mchungu, kila kona malalamiko tu ya watoa huduma taasisi hizo kutoridhisha na matarajio ya wateja. Tukiachana na malalamiko hayo, ni taasisi gani upande wa serikali inafanya vizuri upande wa huduma kwa wateja, yaani...
  8. Girland

    Kuna taasisi ya Serikali inaizidi DAWASA kwa huduma mbovu?

    Taasisi nyingi za serikali zinafanya kazi kwa mazoea, kiufupi hawajali kabisa kuhusu muda wa mteja. Utaambiwa Mtandao unasumbua, au rudi kesho kana kwamba leo wamesimamishwa kazi. Utafikiri hawalipwi mishahara. Kama hamtaki kutuhudumia si mseme, mnakera kweli. Pia soma: Baadhi ya Taasisi za...
  9. Mbute na chai

    KERO NBC 0800711 177 Huduma kwa wateja haipokelewi

    Nimepiga nakuambiwa simu inaunganishwa na watoa huduma zaidi ya dk 10. Hii ina maanisha wahudumu wao wamezidiwa au ndo anapokea anapojisikia!!
  10. Mussa rapper

    Naomba kuuliza au kupata msaada kutoka NMB ili kupata kadi yangu

    Habari naomba kuuliza au kupata msaada kutoka NMB kadi kutoka wilaya moja hadi nyingine inachukua muda gani kufika na mnazisafirisha kwa njia ipi? Nime-renew kadi nikaambiwa niende baada ya siku 10 nimeenda kadi imetumwa wilaya nyingine ni jumatano ya weeki iloisha nikaambiwa niijie ijumaa yani...
  11. Uwesutanzania

    NMB huduma kwa wateja inakawia sana tatizo lipo wapi?

    Inachukua mpaka masaa mawili pindi unapohitaji kuongea na watoa huduma kwa wateja, je shida ipo wapi? Uchache wa watoa huduma au ni uzembe wa watoa huduma? Au kuna tatizo kwenye kituo cha huduma kwa wateja? Ni NMB BANK
  12. Mad Max

    NMB Bank: Kitengo cha Mawasiliano mnatuma meseji zisioeleweka hafu ata hamtubembelezi wateja

    NMB kisa mna namba yangu nilijiunga na NMB Mobile ndio mmeamua kunitumia msg kibabe ata haieleweki. Huduma gani itakayositishwa? Huduma ya Bank au Mobile? Na itasitishwa hadi lini (kwa muda gani)? BTW situmiagi huduma zenu ni account ya kuingiza mshahara tu.
  13. peno hasegawa

    Mwenye namba ya kuongea na huduma kwa wateja Vodacom ambayo sio 100

    Kampuni ya Vodacom,imekuwa na usumbufu mkubwa sana. Ukitaka kuongea nahuduma kwa wateja inakuwa ngumu,wanakuunganisha na online zao ambazo huwezi kumpata mhudumu wao. Mwenye namba zao za Moja kwa moja tafadhali? Tunaomba TCRA iingilie kati,Kuna shida kubwa kwa watu walio wengi na maskini
  14. A

    KERO Huduma ya tiGO Pesa Mastercard kuna changamoto kubwa sana ambayo nimekuwa nikitoa taarifa kwa huduma kwa wateja hawashughulikii

    Nimeongea leo na huduma kwa wateja wanadai niongee na Kampuni niliyolipia wanipe ARN. Sasa mbona zamani ilikuwa hakuna mambo kama haya ya ARN ilikuwa muamala ukifeli pesa zinarudi directly Tigopesa. Naongea hivi kwasababu hili tatizo limeanza kutokea kipindi hiki cha week 2 hizi nimefanya...
  15. TRA Tanzania

    Ofisi za TRA kuwa wazi Juni 8 na 9, 2024 nchi nzima

    Dar es Salaam, 07 Juni, 2024: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inapenda kuwafahamisha Walipakodi na wananchi kwa ujumla kuwa, ofisi za TRA nchi nzima zitakuwa wazi kuwahudumia walipakodi siku ya Jumamosi tarehe 08 Juni, 2024 na Jumapili tarehe 09 Juni, 2024 kuanzia saa 2:30 asubuhi hadi saa...
  16. H

    SoC04 Katika miaka mitano ijayo nakuendelea Taasisi za umma ziboreshe vitengo vya huduma kwa wateja

    Vitengo vya huduma kwa wateja katika mashirika, taasisi za umaa na kwenye serekali za mitaa vinapaswa kuboreshwa katika miaka mitano ijayo nakuendelea kwa sababu ndivyo vinabeba dhima ya utaoji wa huduma kwa wananchi Kwani kwenye baadhi ya taasisi za umaa Zimekuwa zikiacha kuweka mkazo kwenye...
  17. mirindimo

    Video: Huduma kwa wateja Taasisi za Umma mbovu. Nimepiga simu Nest (PPRA) nusu saa hakuna anayepokea. Siasa zisiue huduma kwa jamii

  18. A

    KERO Huduma kwa wateja UTT Amis ni mbovu, simu zinakatwa au hazipokelewi kabisa na kwenye mitandao ya kijamii hawajibu

    Habari ndugu wadau!? Kuna nini kinaendelea kwenye mifuko ya uwekezaji UTT Amis? Huduma zao kwenye upande wa kupokea simu imekuwa ni janga, hazipokelewi ziadi ya kukatwa. Hii inatia wasiwasi kwa watu tuliopo mbali na ofisi zao hatujui kinachoendelea kuhusu pesa zetu, lakini pia maswali mengi...
  19. I am Groot

    Customer care: Kuna shida kubwa sana kwa makampuni mengi hapa nchini kuwa na poor customer care kwa wateja wake. Toa ushuhuda wako hapa!

    Kama mteja, uliwahi kukumbana na aina gani ya ugumu pale ulipohitaji msaada kutoka kwa huduma kwa wateja?
  20. P

    Bolt kwanini hamna namba ya huduma kwa wateja? Mtu una dharura kupata msaada mpaka usubiri majibu Instagram, kweli?

    Wakuu kwema? Twende moja kwa moja kwenye mada. Huduma ya Bolt ukititokea unataka kuwasiliana nao labda umepoteza kitu au una malalamiko kwenye huduma yao, hakuna chaguo la kuwapata moja kwa moja kwa njia ya simu kwanini? Wanakimbia nini? Yaani wameweka njia ya kuwasiliana nao kwa njia ya email...
Back
Top Bottom