huduma za fedha

  1. G

    Kwanini vijana wanaojitafuta kwa kufanya kazi za ujuzi wana uhakika wa kumaintain kuliko vijana wenye maduka na huduma za fedha?

    Kwenye level ya vijana wanaojitafuta, Ni sababu ipi inayowafanya vijana wengi wanaofanya kazi za ujuzi kuweza ku maintain kuzidi vijana wenye maduka na huduma za fedha Wenye ujuzi: wajenzi Wachomeleaji wa vyuma Wapishi / wakaanga chips mafundi rangi mafundi tv / simu / ;aptop / radio wasusi...
  2. Bob Manson

    Mawakala wa huduma za fedha kwa mitandao ya simu acheni dharau

    Nimefika kwa wakala kwa lengo la kutoa pesa kutoka mtandao wa simu, anasema hana salio la kutosha. Wakati huo naona watu wengine wanatoa na wanaondoka. Aliniuliza unatoa kiasi gani nikamwambia 3000/= ghafla akakunja sura na kusema hana salio. Sasa kosa langu ni lipi hapo? Au hicho kiasi ni...
  3. Roving Journalist

    RC wa Arusha atembelea Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongela (katikati), akiwasili katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid jijini Arusha yanapofanyika Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa, yenye kauli mbiu “Elimu ya Fedha, Msingi wa Maendeleo ya Uchumi”. Kushoto ni Kamishna Msaidizi wa Idara ya Uendelezaji wa...
  4. B

    “Benki ni SimBanking” kuongeza ujumuishi wa huduma za fedha, Moshi

    Wakazi wa Moshi mkoani Kilimanjaro wameonekana kuipokea vyema promosheni ya “Benki ni SimBanking” ikiwa ni sehemu ya jitihada za Benki ya CRDB kuongeza ujumuishi wa Watanzania kwenye huduma za kibenki. Wakazi hao waliojitokeza kwa wingi katika uzinduzi wa promosheni hiyo mkoani Moshi walionyesha...
  5. julaibibi

    Ipi njia rahisi kutuma fedha nje ya nchi?

    Samahani, hivi ni njia ipi rahisi kutuma fedha nchi za nje?
Back
Top Bottom