huduma za intaneti

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Watchman

    LGE2024 Mgombea ACT- WAZALENDO: Mkituchagua tutaweka Wi-Fi ya bure kwenye Ofisi za Serikali za Mitaa

    Mgombea nafasi ya Uenyekiti wa Mtaa wa Msimbazi Bondeni, Kata ya Mchikichini jimbo la Ilala jijini Dar es Salaam kupitia chama cha ACT Wazalendo, Risasi Semasaba ameahidi kufunga huduma ya mtandao ya Wi-Fi kwa ajili ya wananchi watakaofika katika ofisi za Serikali za Mitaa kupata huduma. Soma...
  2. N

    Kuna kila dalili zifikapo nyakati za uchaguzi mtandao utapunguzwa kasi ama kuzimwa kabisa. Tufanye nini kukabiliana na hali hiyo?

    Wananchi wenzangu hili lilijidhihirisha wakati wa uchaguzi wa mwaka 2020, lilijidhihirisha wakati wa maandamano ya Kenya (labda Ili Gen Z wa huku wasiige tabia mbaya), wakati wa vuguvugu la msiba wa Kibao. Wakati wa yale maandamano baadhi ya hotuba na jana nimeona tena hali hiyo ambayo mpaka...
Back
Top Bottom