Ibrahim (Arabic: إبراهيم, Ibrāhīm; Arabic synonym of "Abraham") is the 14th chapter (surah) of the Qur'an with 52 verses (āyāt).
The surah emphasizes that only Allah knows what goes on inside a man's heart, implying we must accept each other's words in good faith (14:38).Regarding the timing and contextual background of the revelation (asbāb al-nuzūl), it is a "Meccan surah", which means it is believed to have been revealed in Mecca, instead of later in Medina. It was revealed around 2-3 years before Hijrah, in a later stage of Muhammad preaching in Mecca when persecution of him and fellow Muslims had become severe.
Kwamjibu wa taarifa za ujasusi wa Kidola na Kiuchumi, Madai ya Waisraeli yanaanzia katika misingi ya kidini ambapo katika Biblia (kitabu kitakatifu kwa Wakristo na Wayahudi), kitabu cha kwanza cha nabii Musa kiitwacho Mwanzo sura ya 12 inaonesha jinsi Ibrahim anavyoitwa na mwenyezi Mungu ili...
Tupeane elimu kidogo, kuna watu wanachanganya mambo. Hapa tufundishane jambo moja. Kitu cha kwanza kabisa watu wanachokichanganya ni kuhusu Ibrahim, wengi wanasema Ibrahim alikuwa Mwarabu, ndugu yangu, nikwambie tu kwamba jamaa hakuwa Mwarabu.
Ibrahim baada ya kuzaa na kijakazi ambaye alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.