IFM Investors is an Australian investment management company specialises in Debt Investments, Infrastructure, Listed Equities and Private Equity. The Company is owned by 27 major not-for-profit Australian pension funds. IFM Investors’ focus is on improving the retirement outcomes of more than 15 million workers globally represented by their investors. Headquartered in Melbourne, Australia, IFM Investors also has offices in a number of other countries. The company is chaired by former minister of the Australian Labor Party and ACTU secretary Greg Combet.
Chuo cha Usimamizi wa Fedha kinatoa Course nzuri sana, inaitwa Social Protection. Taaluma hii ni muhimu kwa Dunia ya sasa, na hapa Tanzania kuna gap sana.
Sasa cha ajabu ndani ya hiyo Course kumewekwa Hesabu, tena ngumu ngumu.
Lengo lenu nini?
Mnatukwaza Manguin'
Kuna jamaa nimekuta wanahoji mahali juu ya huyu Jamaa anaitwa Samora ambaye ni fundi viatu wa muda mrefu pale IFM na sasa amehamia Dodoma, wanasema jamaa ndie aliyekua anatoa connection za kazi kwa wanafunzi wengi sana kwa Maboss wa BoT na Watu mabalimbali.
Je, Samora ni nani?
Habari wakuu, naomba kupewa ushauri na uzoefu wenu juu ya maisha ya uanafunzi kati ya UDOM na IFM katika suala zima za mazingira ya kuishi na gharama za maisha
IFM mpaka leo bado hawajapeleka majibu ya Diploma kwa waliopata sap na matokeo yametoka toka tarehe 3 mwezi huu wa kumi sijajua sababu nini lakini ukiwauliza wanasema watapeleka wakat dirisha la awamu ya Pili inakalibia kufungwa kwahiyo hawatawez kuanza chuo kwa mwaka huu kitu ambacho si kizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.