π Igunga, Tabora
βοΈ MBUNGE NGASSA KUANZA ZIARA JIMBONI
βοΈ KUHUTUBIA MIKUTANO SITINI (60)
βοΈ KUFANYA ZIARA KATA KUMI (10), VIJIJI THELATHINI (30)
Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa, anaanza ziara ya Kikazi Jimboni kwa ajili ya kutoa mrejesho wa Bunge la Bajeti kwa...