ikungi

Ikungi is a town and an administrative ward in the Ikungi District of the Singida Region of Tanzania. It is the district's administrative seat. According to the 2002 census, the ward had a total population of 18,662. According to the 2012 Tanzania National Census, the population of Ikungi ward was 12,661.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    Ikungi na ujenzi wa vyumba vipya 29 vya madarasa

    Mkuu wa wilaya ya Ikungi Jerry C. Muro leo tarehe 14/12/2022 amefanya ziara ya ukaguzi na kupokea taarifa ya ujenzi wa vyumba vipya vya madarasa 29 katika shule 16 za majimbo ya Singida Mashariki na Singida Magharibi ujenzi ambao umegharimu shilingi milioni 580. Muro akiwa pamoja na Mhandisi wa...
  2. B

    Ikungi: Zaidi ya watoto 97,000 kufikiwa na chanjo ya polio

    Mkuu wa wilaya ya ikungi Mhe. Jerry C. Muro amezindua zoezi la chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa hatari wa kupooza (POLIO) linalolenga kutoa chanjo kwa watoto 97, 575 katika wilaya ya Ikungi Mhe. Muro amesema hayo wakati akizindua zoezi la chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa hatari wa polio...
  3. B

    Ikungi Walipwa Fidia na Jeshi Milioni 243.7

    IKUNGI WALIPWA FIDIA NA JESHI MILIONI 243.7 Serikali kupitia wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa imetoa fidia ya fedha kiasi cha shilingi milioni 243.7 kwa ajili ya wananchi 160 wa vijiji vya choda na mkiwa wilaya ya Ikungi Akizungumza wakati wa kikao cha utoaji wa taarifa za mapokezi...
  4. B

    DC Ikungi awapeleka watatu TAKUKURU kukwamisha ujenzi kituo cha afya Irisya wamaliza milioni 500 ujenzi haujakamilika

    Mkuu wa wilaya ya Ikungi Mhe. Jerry C. Muro leo tarehe 01/11/2022 amemuelekeza mkuu wa takukuru wilaya ya Ikungi kuanza uchunguzi wa tuhuma zinazowakabili watumishi watatu waliokuwa wanasimamia ujenzi wa kituo cha afya kata ya Irisya tarafa ya Sepuka jimbo la singida magharibi Pamoja na hatua...
  5. B

    DC Muro na ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo wilayani Ikungi

    DC MURO NA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO- IKUNGI. Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe. Jerry Muro pamoja na Kamati ya Usalama ya Wilaya wataanza ziara ya kukagua miradi ya maendeleo Wilayani Ikungi kuanzia tarehe 01 hadi 04 Novemba, 2022. Ufuatiliaji na Utekelezaji wa Ilani ya...
  6. B

    Uwekezaji Ikungi washika kasi, DC Muro atembelea uwekezaji wa alizeti

    Mkuu wa wilaya ya Ikungi Jerry C. Muro leo tarehe 21/10/2022 akiambatana na viongozi wa kamati ya usalama ya wilaya pamoja na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi wilaya wamefanya ziara ya kutembelea shamba la mwekezaji kampuni ya Alfadaws Investment Company kutoka Jordan ambao wamewekeza kwenye...
Back
Top Bottom