ilemela

Ilemela District is one of the seven districts of the Mwanza Region of Tanzania with a postcode number 33200. It is bordered to the north and west by Lake Victoria, to the east by Magu District, and to the south by Nyamagana District. Part of the region's capital, the town of Mwanza, is within Ilemela District. The district commission's office is located in Buswelu area of Mwanza town.
As of 2012, the population of the Ilemela District was 343,001.Mwanza International Airport is located in Ilemela District.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    The.Rais Samia,Je,unafahamu/unajua unavy hujumiwa Katika Manispaa ya ILEMELA?

    Kwanza kabisa Nianze kwa kukupongeza kwa namna unavyotekelaza majuku yako kwa namna ya kipekee kiasi kwamba nchi imetulia. Kama ilivyo kwaida ya Binadamu, wapo wanaobeza utendaji wako, wapi wanaofurahia,wapo wanaotoa ushauri, wapo wanaokosoa na wapo wapambe ambao kazi yao ni kukusifu mchana lkn...
  2. saidoo25

    DED aliyepigwa fitina na Msukuma akatumbuliwa sasa aingarisha Ilemela

    Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Geita Vijijini Eng. Modest Apolinary aliyetumbuliwa na Hayati Dkt. John Magufuli baada ya kupigwa fitna za uongo na Mbunge Kasheku Musukuma sasa anaonekana kufanya mageuzi makubwa katika Manispaa ya Ilemela baada ya kurejeshwa na Rais Samia Suluhu Hassan...
  3. Said Cosmetics

    Viwango vya tozo katika stendi mpya ya mabasi Nyamhongolo, Ilemela

    TANGAZO KUHUSU VIWANGO VYA TOZO KATIKA STENDI MPYA YA MABASI NYAMHONGOLO
  4. Roving Journalist

    Ilemela, Mwanza: Afisa Biashara wa Manispaa alalamikiwa na Wafanyabiashara Wadogo

    Salaam Wakuu, Afisa Biashara Manispaa ya Ilemela, amelalamikiwa na Wafanyabiashara wadogo kwamba anafanya kazi kwa kukomoa na hasikilizi Matatizo yao. Wafanyabiashara wadogo Manispaa ya Ilemela wameomba Serikali iwasikilize kilio chao kuliko kuwafungia biashara. Hapa chini ni nukuu ya Maneno...
  5. Sigara Kali

    Ushauri: Nipo Wilaya ya Ilemela Mwanza, kwa mtaji mdogo naweza fanya biashara gani?

    Wakuu Salamu kwenu Nipo Wilaya ya Ilemela kata ya Shibula katika Jiji la Mwanza Sasa Nina laki 5 (500,000/-) je hii naweza kufungua biashara gani ambayo itanipa faida fresh na haitakuwa na usumbufu usumbufu Nahitaji ushauri wenu na mawazo yenu hasa kutoka kwa wazoefu wa biashara. Asante
Back
Top Bottom