inapangishwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Meneja Wa Makampuni

    House4Rent Nyumba inapangishwa Tabata Shule laki mbili kwa mwezi

    Nyumba inapangishwa Tabata shule. Nyumba ipo ndani ya fensi ina vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko, choo cha ndani, maji ya bomba. Kodi laki mbili kwa mwezi Call me 0747744895 Mnakaribishwa.
  2. dalalimhenga

    House4Rent Nyumba inapangishwa Bunju

    Mahali - Bunju A Kodi - Tshs 200,000 Maelezo Zaidi - 0742141467 Chumba masta, Sebule, Jiko. Umeme luku yake, Maji ya dawasa, Fensi, Parking, Karibu Na kituo cha daladala.
  3. dalalimhenga

    House4Rent Nyumba/apartment inapangishwa Goba

    Chumba Choo ndani ( Masta ), Sebule, Choo cha public ndani Na Jiko. Kodi kwa Mwezi ni Tshs 250,000 Mahali goba, kwa awadhi Umeme Submita yake, maji Dawasa, fensi geti, parking ipo. Maelezo zaidi - 0742141467
  4. dalalimhenga

    House4Rent Inapangishwa nyumba Goba inayopakana na mbezibeach

    Chumba Choo ndani ( Masta ), Sebule Na Jiko. Kodi kwa Mwezi ni Tshs 230,000 Mahali Goba ya Karibu Na Mbezibeach Mawasiliano 074214146
  5. dalalimhenga

    House4Rent Nyumba inapangishwa Mbezi beach

    Chumba Choo ndani (Masta) Kodi kwa Mwezi ni Tshs 100,000 Mahali Mbezibeach Mawasiliano 0742141467
  6. Pirate of Carribean

    House4Rent Nyumba inapangishwa Tabata250k

    Ipo Tabata kisiwani katikati ya Mwananchi na tabata Mawenzi 1 masters 3 bedroom Dining Sittin room Kitchen. Nb haina tiles
  7. Chura

    House4Sale Hostel inapangishwa/ inauzwa

    Kwa UNYENYEKEVU mkubwa nawahabarisha kwamba Hostel Vyumba 14 inapangishwa/kuuzwa Eneo Malimbe: Mwanza Chuo Cha SAUT Bei: Milioni 6 tshs kwa mwaka Kupangishwa / Milioni 180 tshs kuuza (mauzo yanajumuisha na nyumba ya kuishi ya vyumba 3) Mawasiliano: 0719002081(whatsapp).
  8. MrsPablo1

    House4Rent Fremu kubwa sana inapangishwa Mbezi

    Fremu kama inavyoonekena ipo mbezi mwisho mitaa luguruni njia panda ya kanisa la KKT . Inafaa kwa biashara mbali mbali kama duka,ofisi,medical laboratory,dispensary,microfinance, nursery and daycare,tuition center, bakery na nyingine nyingi. ukipenda fremu bei ni laki tano kwa mwezi ina Sqm...
  9. Kocha mchezaji

    House4Rent Nyumba ya ghorofa inapangishwa Bunju B

    Nyumba nzuri na mpya iliyo na servant quarter inapangishwa Bunju B. Bei 2,500,000/- Simu: 0713763026
  10. G

    House4Rent Nyumba Inapangishwa Shs 500,000

    Nyumba (apartment) nzuri sana inapangishwa. Nyumba iko maeneo ya Kimara Korogwe, umbali 2kms kutoka Morogoro road, na sifa zifuatazo: Vyumba 3 vya kulala (kimoja ni masterbedroom) Sebule kubwa Jiko lenye makabati (kitchen cabinets) Public toilet LUKU Maji (DAWASA) Parking ya kutosha Paving...
  11. MrsPablo1

    Fremu kubwa sana ya biashara inapangishwa mbezi mwisho

    Fremu kama inavyoonekena ipo mbezi mwisho mitaa ya mbezi kwa Yusuf. Inafaa kwa biashara mbali mbali kama duka,ofisi,medical laboratory,dispensary,microfinance, nursery and daycare,tuition center na nyingine nyingi. Bei ya kupanga fremu ni laki tano kwa mwezi . Ukihitaji kuona fremu nicheki 📞...
  12. E

    Ghorofa ya kifahari inapangishwa Kigamboni Mjimwema Tsh. 800,000/=

    Nyumba ya kifahari ghorofa moja inapangishwa kigamboni mjimwema. 0756590833, 0623579290 Kitchen Shelf, Pre Paid Meter, Dining Area, Air Conditioning, Pop Ceiling, 24 Hours Electricity, Dishwasher, Wardrobe, Kitchen Cabinets, Tiled Floor, Hot Water ina vyumba vitatu vitatu na kimoja nje, yaani...
  13. DULAIKI COMPANY

    House4Rent Nyumba inapangishwa Kisasa, Dodoma. Kodi sh. 400,000/= kwa mwezi

    NYUMBA INA SIFA ZIFUATAZO 1. INAVYUMBA 3 2.UMEME 3.MAJI 4.FENSI #MALIPO 1.KODI 400,000 (LAKI NNE) KWA MWEZI. UNALIPIA MWAKA MZIMA. 2. MALIPO YA OFISI(UDALALI) 400,000/= 3. SITE VISIT 10000/= #MAWASILIANO 0762967368(WHATSAPP) 0655325457 #KARIBUNI
  14. DULAIKI COMPANY

    House4Rent Nyumba inapangishwa Kisasa Dodoma

    Ina vyumba 3, umeme na maji yapo. Ipo ndani ya fensi. Kodi. Laki sita kwa mwezi na inalipiwa kwa mwaka mzima. Kodi ya udalali: Laki sita. Site visit, 10000. Mawasiliano: 0762967368(WhatsApp)/0655325457
  15. Dalali Alpha

    House4Rent Chumba na sebule inapangishwa

    Chumba kimoja cha kulala pamoja na sebule. Eneo: Mbezi Beach Bei Tshs 100,000/Mwezi Maji ya dawasa yapo masaa 24, Usalama Upo wa kutosha, Ipo umbali wa dakika 2 kutembea kwa mguu. Tuwasiliana: 0686648630
Back
Top Bottom