Habari za muda huu Wana Jf. Niende Moja kwa Moja kwenye mada.
Leo Kuna sehemu nilienda kupata lunch na boss wangu, mmoja hv, maeneo ya slipway....nilipoingia wash room wakati natoka nikakuta na huu Mkufu kwenye ngazi. Nahisi unaweza kuwa wa thamani.
Mm sio mjuzi sana wa mambo haya ya...