indonesia

Indonesia ( (listen) IN-də-NEE-zhə), officially the Republic of Indonesia (Indonesian: Republik Indonesia [reˈpublik ɪndoˈnesia] (listen)), is a transcontinental country in Southeast Asia and Oceania, between the Indian and Pacific oceans. It is the world's largest island country, with more than seventeen thousand islands, and at 1,904,569 square kilometres (735,358 square miles), the 14th largest by land area and 7th in the combined sea and land area. With over 267 million people, it is the world's 4th most populous country as well as the most populous Muslim-majority country. Java, the world's most populous island, is home to more than half of the country's population. The country's capital, Jakarta, is the second-most populous urban area in the world.
The sovereign state is a presidential, constitutional republic with an elected legislature. It has 34 provinces, of which five have special status. The country shares land borders with Papua New Guinea, East Timor, and the eastern part of Malaysia. Other neighbouring countries include Singapore, Vietnam, the Philippines, Australia, Palau, and India's Andaman and Nicobar Islands. Despite its large population and densely populated regions, Indonesia has vast areas of wilderness that support a high level of biodiversity. The country has abundant natural resources like oil and natural gas, coal, tin, copper, gold, and nickel, while agriculture mainly produces rice, palm oil, tea, coffee, cacao, medicinal plants, spices, and rubber. China, the United States, Japan, Singapore, and India are Indonesia's major trading partners.
The Indonesian archipelago has been a valuable region for trade since at least the 7th century when Srivijaya and then later Majapahit traded with entities from mainland China and the Indian subcontinent. Local rulers gradually absorbed foreign influences from the early centuries and Hindu and Buddhist kingdoms flourished. Sunni traders and Sufi scholars brought Islam, while Europeans introduced Christianity through colonisation. Although sometimes interrupted by the Portuguese, French and British, the Dutch were the foremost colonial power for much of their 350-year presence in the archipelago. The concept of "Indonesia" as a nation-state emerged in the early 20th century and the country proclaimed its independence in 1945. However, it was not until 1949 that the Dutch recognised Indonesia's sovereignty following an armed and diplomatic conflict between the two.
Indonesia consists of hundreds of distinct native ethnic and linguistic groups, with the largest one being the Javanese. A shared identity has developed with the motto "Bhinneka Tunggal Ika" ("Unity in Diversity" literally, "many, yet one"), defined by a national language, ethnic diversity, religious pluralism within a Muslim-majority population, and a history of colonialism and rebellion against it. The economy of Indonesia is the world's 16th largest by nominal GDP and 7th by GDP at PPP. The country is a member of several multilateral organisations, including the UN, WTO, IMF, G20, and a founding member of Non-Aligned Movement, Association of Southeast Asian Nations, Asia-Pacific Economic Cooperation, East Asia Summit, Asian Infrastructure Investment Bank, and Organisation of Islamic Cooperation.

View More On Wikipedia.org
  1. Mr SGR

    Maisha na fedha ya Indonesia

    Habari wana JF, nimefanya application ya kwenda kusoma Masters nchini Indonesia kwa kutumia scholarship ya serikali ya Indonesia. Wakati napitia package ya Scholarship yao nmeona currency yao ni ndogo kuliko Tanzania(1 Ind rupee= 0.15 TZS). Naomba ufafanuzi hapa kwa anayejua 1. Hizi pesa za...
  2. JanguKamaJangu

    Kimbunga Kikali cha Freddy kinaelekea Afrika Mashariki

    Kimbunga ambacho kimesafiri zaidi ya maili 2,500 katika Bahari ya Hindi kina uwezekano wa kufika Ukanda. Kimbunga cha Tropiki Freddy kilifika katika Pwani ya Kusini ya Indonesia, mwezi huu Februari na kusababisha dhoruba kutokana na upepo mkali wa kasi ya 165 mph. Umoja wa Mataifa (UN) umesema...
  3. Black Butterfly

    Tanzania yasaini makubaliano ya Ushirikiano na Indonesia kwenye Sekta ya Umeme na Gesi

    Ziara ya Waziri wa Nishati, January Makamba nchini Indonesia imemalizika kwa kuimarisha ushirikiano wa nchi hizo mbili katika sekta ya umeme, mafuta na gesi. Makamba kwa nyakati tofauti alikutana na Waziri wa Nchi anayeratibu biashara zinazomilikiwa na Serikali, Luhut Pandiaitan, Waziri wa...
  4. JanguKamaJangu

    Indonesia: Bunge kupitisha Sheria, watakaofanya ngono kabla ya ndoa Kwenda jela

    Bunge linatarajiwa kuipitisha sheria hiyo mwezi huu Desemba 2022 ambapo adhabu yake ni kifungo cha hadi mwaka mmoja. Sheria hiyo ikipitishwa itawahusu raia wote wazawa na wageni na piaitaruhusu wazazi wa watu ambao hawajaoa kuwaripoti watoto wao kama wameshiriki kufanya tendo hilo. Uchumba...
  5. JanguKamaJangu

    Watoto waliofariki kwa matatizo ya figo Indonesia wafika 133

    Idadi hiyo imeongezeka kutoka 99 ya awali chanzo kikitajwa ni matumizi ya dawa za kifua za Watoto, ambapo mamlaka zimesema uchunguzi unaendelea. Kuna wagonjwa 241 wa majeraha ya figo katika majimbo 22, wengi wao ni watoto chini ya miaka mitano. Dawa hizo ambazo zimepigwa marufuku ni...
  6. JanguKamaJangu

    Indonesia: Watu 129 wafariki uwanjani baada ya mechi ya soka kuvurugika

    Moja ya tukio baya katika mchezo wa soka limetokea baada ya askari Polisi kurusha mabomu ya machoni kwa mashabiki hali iliyosababisha mkanyakago na watu zaidi ya 180 wakijeruhiwa baada ya timu ya Arema FC kupoteza mchezo dhidi ya Persebaya Surabaya. Baada ya mchezo huo machafuko yalianza na...
  7. M

    Kuku mweusi ni kuku ghali zaidi duniani

    According to Greenfire Farms, the Ayam Cemani is the "most unique chicken on the planet." It's found in Indonesia and its pitch black color is what's made it famous. Not only are their feathers and skin a dark hue, but their bones, muscles and organs are even black. Many kinds of chicken have...
  8. The Sheriff

    Indonesia yazuia Yahoo, Paypal kwa kushindwa kufuata sheria za leseni

    Indonesia imezizuia Yahoo, kampuni ya malipo ya Paypal na tovuti kadhaa za michezo ya mtandaoni kwa kushindwa kufuata sheria za leseni. Sheria zilizotolewa mwishoni mwa Novemba 2020, zinazipa mamlaka nguvu kubwa ya kulazimisha mifumo kufichua data ya watumiaji fulani, na kuondoa maudhui...
  9. Cheology

    The 17th Group of 20 (G20) Heads of State and Government Summit will take place in October 2022 in Bali, Indonesia

    Urusi imesema itakuwepo. ==== The 17th Group of 20 (G20) Heads of State and Government Summit will take place in October 2022 in Bali, Indonesia. Under the Indonesian Presidency, the G20 in 2022 will focus on the theme “Recover Together, Recover Stronger”. The Leaders' Summit is the climax of...
  10. beth

    Macocha Moshe Tembele ateuliwa kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Indonesia

    Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Macocha Moshe Tembele kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Indonesia Balozi Tembele alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataita (Multilateral Cooperation) kabla ya kuteuliwa na Rais Samia
  11. kidadaa

    Kusafirisha mizigo kutoka Indonesia kuja Tanzania

    Habari wadau, nauliza kama kuna mfanyabiashara yoyote anasafirisha mzigo kutoka Indonesia kuja Tanzania, au anafahamu kampuni yoyote inayosafirisha mizigo kutoka huko kuja huku. Natanguliza shukrani kwa msaada.
  12. Enkaly

    Why is the Indonesian president allowing Putin into Indonesia for the G 20 meeting?

    There are two reason First, Indonesia is a sovereign and independent country that can allow or invite whoever it wants into our country regardless of his or her political affiliation or actions. Second, the G20 is an economic forum, and Russia with its $1.4 Trillion economies are amongst the...
  13. BigTall

    #COVID19 Indonesia kuipa Tanzania dawa za Uviko-19 za milioni 345

    Serikali za Tanzania na Indonesia zimekubaliana kushirikiana katika kuboresha huduma za afya kwa faida ya pande zote mbili. Hayo yamebainika Machi 8, 2022 ambapo Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu alikutana na Tri Yogo Jatmiko, Balozi wa Jamhuri ya Indonesia nchini Tanzania katika ofisi za Wizara...
  14. Robidinyo

    Indonesia: Mwalimu wa shule ya Kiislamu aliyebaka wanafunzi 13 ahukumiwa kifungo cha maisha jela

    Herry Wirawan (katikati) mkuu wa shule ya wasichana ya Kiislamu aliyepatikana na hatia ya kubaka wanafunzi, akisindikizwa na maafisa wa usalama wakati wa kusikilizwa kwa hukumu katika mahakama ya wilaya ya Bandung, Java Magharibi, Indonesia, Februari 15, 2022. Rafi Fadh / AP Mahakama moja ya...
  15. Roving Journalist

    41 inmates die of fire outbreak in prison in Indonesia

    A fire broke out early Wednesday morning in a prison in Tangerang, a town west of the Indonesian capital. "Forty-one inmates have died, eight have been seriously injured and 72 have minor injuries," Jakarta Police Chief Fadil Imran told reporters. Television footage showed fire department...
  16. beth

    Jakarta, Indonesia: Shule 600 zafunguliwa baada ya maambukizi kupungua

    Mji Mkuu wa Nchi hiyo, Jakarta umefungua Shule zipatazo 600 baada ya Kanuni zilizowekwa kudhibiti mlipuko wa COVID19 kulegezwa. Mamlaka zimesema kiwango cha maambukizi kimepungua kutoka mwezi uliopita ambapo Taifa hilo lilitangazwa kuwa kitovu cha maambukizi ya Virusi vya Corona Barani Asia...
  17. beth

    #COVID19 Indonesia yaanza kulegeza kanuni za kudhibiti Corona baada ya maambukizi kupungua

    Kutokana na kupungua maambukizi ya CoronaVirus Taifa hilo litaanza kulegeza Kanuni kuanzia kesho Agosti 24 ambapo maeneo ya kufanya manunuzi na nyumba za ibada katika baadhi ya Miji zitaruhusiwa kufunguliwa. Maeneo ya Ibada na Migahawa itatakiwa kufanya kazi kwa kiwango cha 25% na maeneo ya...
  18. beth

    #COVID19 Indonesia: Sekta ya Afya yalemewa na ongezeko la wagonjwa wa COVID-19

    Hospitali katika Kisiwa cha Java Nchini humo zinakabiliwa na uhaba wa Oksijeni, Dawa, Vitanda na Wafanyakazi wakati huu ambapo ongezeko la maambukizi ya COVID19 limepelekea Sekta ya Afya kulemewa. Imeripotiwa kuwa, Hospitali kadhaa zimelazimika kufunga huduma za dharura kutokana na kukosa...
  19. beth

    #COVID19 Indonesia kuchukua hatua za dharura kukabiliana na ongezeko la maambukizi ya Corona

    Kufuatia ongezeko kubwa la maambukizi ambalo limepeleka Sekta ya Afya kulemewa, Rais Joko Widodo amesema Indonesia itachukua hatua za dharura ili kukabiliana na hali ya mlipuko. Kirusi Delta ambacho kilisababisha ongezeko kubwa la maambukizi India mwezi Aprili na Mei kimetajwa kusambaa katika...
  20. Analogia Malenga

    Mafuriko yaliyokumba Indonesia na Timor Leste yawaua watu 50

    Flores Mashariki mwa Indonesia ni miiongoni mwa maeneo yaliyoathiriwa zaidi na mafuriko hayo Watu wapatao 50 wamefariki kufuatia mafuriko na maporomoko ya udongo kukumba Indonesia na Timor Leste siku ya Jumapili. Mvua kubwa iliyonyesha katika nchi hiyo ilisababisha uharibifu mkubwa huku maji ya...
Back
Top Bottom