infinix

  1. P

    Phone4Sale Infinix smart 7Hd

    Infinix smart 7hd Storage 64Gb Bei 140,000/= Ubungo darajan 0️⃣7️⃣6️⃣9️⃣5️⃣0️⃣3️⃣9️⃣6️⃣8️⃣
  2. M

    Nauza Simu Infinix hot 40 pro

    Nauza simu NI mpya kabisa Infinix hot 40 pro GB 256 Ram 16
  3. K

    Phone4Sale Infinix Smart 8 ipo sokoni

    Infinix smart 8 Imenunuliwa mwezi wa 7 mwaka huu. RAM 3GB Storage 64GB Battery 5000mAh Bei 220,000/= maongezi kidogo yapo. Mwenye uhitaji karibu inbox Asante.
  4. Achimwene2014

    Muuzaji wa simu mpya aina ya Infinix anahitajika

    Wakuu kuna dada mmoja anajihusisha na uuzaji wa simu za Infinix ila simkumbuki na uzi wake sijaupata humu jf. Hivyo kama bado anaendelea na huduma hii naomba tuwasiliane. Nawasilisha.
  5. BabaMorgan

    Infinix, Tecno na Itel ni friendly kwenye matumizi ya MB

    Nina experience ya muda mrefu wa kutumia Infinix, Tecno na Itel Kuna kitu nimenotice baada ya kuachana na matumizi ya simu hizo kimsingi ukweli usemwe hizo simu ziletengenezwa kuminimize cost kuanzia price ya kununulia mpaka maintenance. Wakati natumia Infinix wiki kadhaa nyumba bundle la jero...
  6. jahanbaksh

    Chukua Infinix Smart 7 au Sony Experia 8 kwa 170 na 180

    Sony Experia 8 Rom 64 GB PRICE 180
  7. 90sgeneration

    Fib & spring sofaset 390k

    Sofaset nzuri sanaa ya fiber na springs pia. Ipo mbezi Contact: 0697224996
  8. Action and Reaction

    Kioo cha Infinix Hot 10i kinauzwaje kwa duka!

    Mafundi simu wanasema pamoja na ufundi ni 45 mpaka 55 elfu.... Sasa me nataka nijue gharama ya kioo chenyewe ili ikiwezekana nibadishe mwenyewe hicho kioo!
  9. Action and Reaction

    Naomba mnijuze kioo cha Simu aina ya Infinix Hot 10i kinauzwaje kwa duka!

    Hivi vioo bya simu sikujui wanauje maana mafundi wengi wanakwambia, kubadili kioo ni 45 mpaka 55 elfu... Me nataka nijue bei ya kioo pasipo ufundi
  10. Dj_pacha the baddest

    INFINIX HOT 11 Play haingizi charge kabisa

    Habari wanazengo? Mwezi ulipoita nilichukua simu aina ya Infinix hot 12 play nikawa natumia lakin charge yake nikasahau Mkoa flani na mimi nikaenda mkoa mwingine sasa nikawa naitumia na simu ilikuwa na asilimia 100% na ilipokuwa inapungua nikawa natumia charge ya infinix lakini tofauti na...
  11. Cheology

    Simu aina ya Samsung nimeidharau sana. Wenye infinix bakini nazo nafuu

    Yaani nimetumia hii aina kwa mara ya kwanza. Ina upuuz mwingi sana. App lazima uzipe ruhusa. Yaani ni kama upuuzi. Haya mambo ya katalog eti sijui kuonekana unamiliki uninga mtupu
  12. L

    Phone4Sale Infinix hot 11 play gb 64 clean kabisa bei 170k

  13. kagombe

    Infinix x612 nikipiga picha picha inageuka juu chini

    Habari za humu jamani naombeni msaada simu yangu infinix hd model x612. Camera imenizingua nikipiga picha picha inageuka juu chini na ya nyuma ndio imegoma ata kufunguka kabisa msaada wenu waku inaniletea juu ujumbe ninapojaribu kufunguka camera ya nyuma (The damaged is some function are...
  14. sky soldier

    Simu za Tecno, Infinix, Itel, n.k ni nzuri kwa bajeti lakini zinatumia soc zilizopitwa na muda, Ni sawa na kununua gazeti jioni,

    Tatizo la hawa ndugu zetu kina tecno hawatumii Soc (System on chip) mpya, soc huwa zinashikilia Ram, camera, modem za kunasa mtandao, wifi na vifaa vingine, soc ni kama roho ya simu. Yani wao wanachofanya ni kusomba Soc za zamani zilizopitwa na muda ambazo huwa zimepungua bei, Tatizo sio soc za...
  15. Pang Fung Mi

    Kiama cha marejesho nimechukua simu Infinix note 5 kwa wadaiwa wangu watumishi kama Serikali haiwajali na mimi sina huruma

    Sasa watumishi wanaokopa kwangu kwa riba watakiona cha moto mpaka akili ziwarudi pumbavu zao, marejesho yakichelewa sina huruma na hawa ngedere tukiwaambia waache ujinga wa kujilegeza hawataki. Awamu hii serikali mdebwedo hadi mseme ngedere nyie. Na ikipita leo ngedere watasaga meno niliwaambia...
  16. hamza mahundu

    Infinix smart 3 plus inuzwaa laki moja Ru, 100000/=

    GB 32 ram 2..hain ttzo location; dare slam-mbibo call 0656376814 WhatsApp ; 0755056814 lofto
  17. Nyamwage

    Baada ya kuuziwa infinix kwa 700k ni mwaka na miezi miwili sasa zimepita nimesamehe nishaurini tena wakuu

    Niaje Maumivu yameisha ila simu haikuwahi kunisumbua kwa chochote bado iko good kwa kila idara sanasana upande wa camera sema kuna ngosha mmoja katokea kaielewa anataka kunipa 400k hapo ninampango niongezeze 300k ili itimie 700k sasa nataka mnishauri ni mkwaju gani wenye akili timamu...
  18. daraja la kigamboni

    INFINIX YA 1.5ml hii hapa

    Ni infinix zero ultra
  19. MFALME WETU

    INAUZWA Infinix Hot 10i for sale

    Simu inauzwa Infinix Hot 10i 64GB Mali halali, mwenye nayo kapata dharura ana shida na pesa ya haraka. Price 150k. Location [emoji625]Dar es Salaam. 0676721372 | 0768315019
  20. Tajiri wa kusini

    Nimewafukuza watu kwenye sherehe baada ya kugundua wanatumia Tecno na infinix

    Ninachukizwa na nawachukia watu wote wanaotumia tecno,infinix na itel yaani kwangu mie nawaona ni wahujumu uchumi wa nchi yetu yaani inakuaje mtu anatumia au watu wanatumia tecno,infinix au infinix huo si umama? Yaani kiukweli watu au watu wanaotumia hizo kiukweli serikali inapaswa kuwafungulia...
Back
Top Bottom