information technology

  1. Business information technology vs information technology.

    Wakuu naombeni ushauri wenu juu hizi kizi. Kati y business information technology na information technology ipi ni nzuri zaidi.. naingia degree mwaka wa kwanza (business information technology) pale UDSM na tayari nimeshai-confirm.. but wengine wanasema et information technology ni bora zaidii...
  2. Natafuta mwanafunzi aliyesoma bachelor in computer science or information technology, awe anakaa Dar es Salaam

    Kama kichwa Cha habari kinavyosema ambaye Yuko dar anicheki, kama amemaliza chuo mwaka huu ndo itakuwa vizuri.
  3. C

    Nina certificate ya Information Technology, natafuta kazi Dar es Salaam au Mwanza

    Ndugu watanzania, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 mwenye changamoto ya kukosa ajira. Naomba msaada wa ajira yoyote ile kwani nina uhitaji sana. Elimu yangu nilifanikiwa kumaliza kidato cha nne na kujiunga na chuo cha Uandishi wa Habari nikasoma semester moja ila sikufanikiwa kumaliza...
  4. Information Technology expert - For Hire

    I'm well experienced, reliable and affordable IT expert, Able to attend calls and work anywhere inside and outside Tanzania. My customers are Organizations, Institutions, Businesses and Private individuals. You can hire me for one time job or long term contract I'm specialized in the...
  5. N

    Information technology

    Habari ndugu, jina Nicodemus mollel makazi Arusha Tanzania maombi yangu nimesoma information technology(IT),ngazi ya cheti nimebase upande wa TECHNICIAN Natafuta kazi ya IT au yoyote inayohusiana na mambo ya IT email: nicklasmollel@gmail'com asanteni
  6. Kazi/Ajira masaa ya ziada

    Habari Wana JF! Poleni kwa shughuli za kila siku za ujenzi wa taifa letu pendwa. Leo npo jukwaa hili nipate mawazo/maoni/ushauri wenu. Kwa sasa ninafanya kazi za sales kwenye kampuni moja ndogo hapa jijini Dar es Salaam. Ajira hii naitumikia kuanzia asubuhi saa 1 na hadi kufikia mchana saa 6...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…