Mauti ya mtu ni siri kubwa, na ni kitendawili kigumu kukitegua.
Ingekuwaje tungejua tutakufa lini?
Nasukumwa kuandika uzi huu baada ya kuondokewa na mpendwa wangu Dunstan Charles, msoma ramani mkongwe wa mbio za magari.
Jana nimeonana naye muda kama huu, nilikuwa nataka anisaidie kuniendesha...
WaTanzania wenzangu, ni mawazo tu yanayoingia akilini, wakati tunapofunuliwa yanayofanyika huko ndani ya serikali yetu yanayohusu ufujaji mkubwa wa pesa za wananchi.
Huu ni utaratibu unaojulikana, kwamba kila mwaka CAG anatoa ripoti yake kuonyesha ni namna gani serikali ilivyosimamia matumizi...
Nimekuwa nikijiuliza hali ingekuwaje kama mpambano kati ya Urusi na Ukraine ungekuwa MMOJA DHIDI YA MMOJA na wengine wakawa watazamaji tu.
Ukraine wameshakiri kuwa sehemu kubwa ya silaha zake ziliharibiwa siku ya kwanza ya vita. Bila nchi za magharibi kumpatia ukraine silaha muda wote saa hii...
Hello JF,
Nimesikia hilo sakata la Mnaigeria kutaka kubakwa Zanzibar...
Ila nimesikia rating ya hio hotel imekua 1.1 kutoka 4 something...
This means reputation imekwenda..
Sijui ita deal vipi na aftermath
Anyway,
Nimefikiria rating system ikiwekwa kwenye mawizara,wabunge na watumishi wa...
Wadau wana kimataifa ningepata kupata mawzo yenu, je kama marekani ya leo ingeshindwa kwenye vita ya ukombozi dhidi ya taifa mama Uingereza, je hili taifa namba moja kwa uchumi na jeshi duniani lingekuwepo?
Na kwa wale wote walioanzisha hili vuguvugu la ukombozi kingewatokea nini?
Ingekuwaje kama...
1. Binadamu akila chakula mara moja halitena mpaka mwisho wa maisha yake
2. Muda wote upo macho hamna usingizi
3. Jua wala umeme haupo duniani
4. Viumbe wote ni jinsia moja
5. Hakuna matajiri wala masikini
6. Binadamu hana tumbo la kuhifadhia chakula
7. Hakuna...
Sijaelewa embu nielimishwe
Askofu Gwajima alianza kutilia shaka chanjo hii akiwa bungeni. Akiwa kanisani ameendelea kutia shaka. unajua tutofautishe kutia shaka na kupinga.
Sasa kwa sababu mahubiri take kama mbunge yameonyesha kudhalilisha bunge, je angekuwa RAIA wa kawaida hukumu yake...
Nawasalimu ndugu zangu, natumai hamjambo wote.
Ndugu zangu sote tunakumbuka ni wapi nchi yetu ilipokuwa imefkia kwa ufupi ilikuwa inaenda shimoni kwa maana kila kitu kiliharibika na alihitajika kiongozi mwenye kaliba ya JPM kuitoa nchi Mahali ilipokuwa.
Nani hakumbuki hata viongozi wa upinzani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.