ini

The INI file format is an informal standard for configuration files of computing platforms and software. INI files are simple text files with a basic structure composed of sections, properties, and values.In MS-DOS and 16-bit Microsoft Windows platforms up through Windows ME, the INI file served as the primary mechanism to configure operating system and installed applications features, such as device drivers, fonts, startup launchers, and things that needed to be initialized in booting Windows. INI files were also generally used by applications to store their individual settings.Starting with Windows NT, Microsoft favored the use of the registry, and began to steer developers away from using INI files for configuration. All subsequent versions of Windows have used the Windows Registry for system configuration, and applications built on the .NET Framework use special XML .config files. The APIs still exist in Windows, however, and developers may still use them.
The name "INI file" comes from the commonly used filename extension .INI, which stands for "initialization". Other common initialization file extensions are .CFG, .conf, and .TXT, especially CONFIG.SYS and 'config.txt' occurrences.
Linux and Unix systems also use a similar file format for system configuration. In addition, platform-agnostic software may use this file format for configuration. It is human-readable and simple to parse, so it is a usable format for configuration files that do not require much greater complexity.
Git configuration files are similar to INI files.For example, the platform-agnostic PHP uses the INI format for its "php.ini" configuration file in both Windows and Linux systems.Desktop.ini files determine how a directory is displayed by Windows, such as the icon used by that directory.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Bigirimana alifeli vipimo vya afya Ulaya, anaumwa homa ya ini

    Kuumwa ni ibada na usimuombee mtu ugonjwa ila ukweli usemwe Ulaya wachezaji wote kabla ya usajili hupimwa afya ila huku tumeona watani wanashusha tu vifaa, hatujaona wala kusikia wakipimwa afya. Mpira sio mchezo wa draft au karata, mpira ni vita unatumia energy nyingi sana uwanjani. Sasa huyu...
  2. Mambo yanayokuweka katika hatari ya kuugua ugonjwa wa Ini

    Virusi vya homa ya ini vipo vya aina 5 (A, B, C, D,E). Aina mbili za virusi (B Na C) zimetajwa kuwa ndio sababu kuu za ugonjwa wa homa ya ini ambayo husambaa kupitia damu na majimaji ya mwili. Wataalamu wa afya wanasema virusi hivi vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza mtu mara 100 zaidi ya...
  3. Naomba msaada wa tiba ya homa ya ini

    TIBA YA HOMA YA INI NI IPI? Ndugu zangu, Wanajukwaa wenzangu Kuna Ndugu yangu amekuwa akisumbuliwa na Maumivu ya Mbavu za Kulia pamoja na Kukojoa Mkojo wenye rangi ya Kahawia na Kutokwa na Jasho Jingi wakati wa Usiku. Baada ya vipimo alionekana ana hepatitis B na Tayari ini limeshaanza...
  4. Chanjo ya Homa ya Ini ina gharama au ni bure?

    Nilikuwa napenda kujua kuhusu chanjo ya homa ya ini kama inatolewa bure ama inagharama. Msaada wenu tafadhari.
  5. Kwanini magonjwa ya figo, ini pamoja na mapafu yanaondoa vijana wengi sana?

    Zamani ilionekana UKIMWI ni tishio kwa Dunia nzima, kwa dhana kwamba ni lazima mtu atakufa tu. Siku hizi magonjwa ya ini, mapafu kujaa maji, Figo kushindwa kazi yake yamekuwa tishio sana na yanaondoa uhai wa watu wengi sana hasa vijana. Sijui sababu kubwa ni matumizi ya pombe au sigara bila...
  6. Fahamu kwanini Homa ya Ini ni hatari zaidi ya UKIMWI

    Watu wengi hawafahamu Ugonjwa wa Homa ya Ini maarufu kama HEPATITIS B ugonjwa huu unasababishwa na kirusi anaeitwa hepatitis B virus ugonjwa huu unawezamuingia mtu mwilini kwa njia ya majimaji yatokanayo mwilini kwa mtu alie athirika na ugonjwa huu Umoja wa mataifa wamesema Ugonjwa huu unaua...
  7. Msaada. Homa ya Ini B. Mume anawezaje kumkinga mkewe?

    Ikiwa mume anayo hiyo homa, anaweza kushiriki tendo la ndoa na asimuambukize mkewe? Pia kuhusu uzazi, anaweza kumpa mkewe mimba na mtoto kuzaliwa salama bila kurithi ugonjwa?
  8. Hii shida kwenye baadhi ya VICOBA , itaisha lini?

    Nimekuwa nikishuhudiwa kuhusu mafanikio makubwa, Waliyopata, Kutokana na huu mfumo wa kifedha,maarufu kama VICOBA Lakini hata hivyo, Wengine mfumo huu umesababisha maumivu makali kwao, Na kuwaacha wakilia, Mfano, nimekuwa nikipata taarifa toka kwa watu wangu wa karibu, ambao...
  9. Fanya haya ili biashara unayoianzisha isife

    1. Fanya biashara unayo ielewa vizuri zaidi, usiige tu kwa kuona mwingine anafanikiwa. Hakikisha wewe mwenyewe una ujuzi nayo. 2. Hakikisha umeyasoma mahitaji ya wateja wako watarajiwa. Hakikisha umeyaelewa kiundani zaidi mahitaji yao na unaweza kuwatimizia ipasavyo. 3. Amua kujenga mahusiano...
  10. E

    Kuvuka muda wa kuchoma dozi ya pili ya chanjo ya homa ya ini (hepatitis B)

    Salamu waheshimiwa. Nilipata chanjo ya homa ya ini (hepatitis B) dozi ya kwanza tarehe 26/3/2021, nikaambiwa nirudi kupata dozi ya pili baada mwezi mmoja yaani dozi ya pili natakiwa nipewe tarehe 26/4/2021 Kwa bahati mbaya sana nipo mbali na hospitali kwa sasa, ninauliza je nikichelewa wiki...
  11. R

    Yafahamu maradhi yanayoshambulia Ini na dalili zake

    Yajuwe maradhi ya ini na dalili zake JE! UNAJUWA KUWA:- Ini ni katika viungo muhimu sana katika mmeng'enyo wa chakula mwilini. Ini husaidia kuondosha sumu za vyakula na katika utunzaji wa glucose ambayo hutumika katika kutupatia nguvu na nishati. Kiungo hiki kinaweza kushambuliwa na maradhi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…