injini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    KWELI Ndege ya Precision yazimika injini ikiwa angani

  2. Analogia Malenga

    Ndege ya Precision yazimika injini ikiwa angani

    Abiria ndani ya ndege ya Kampuni ya Precision, jana waliingiwa na hofu ya usalama wao baada ya injini moja kuzima ikiwa angani. Ndege hiyo yenye namba PW 467 ikitokea Kahama, ikielekea Dar es Salaam kupitia Mwanza, ilizima injini baada ya dakika 51 kuruka kutoka uwanja wa ndege wa Mwanza...
  3. S

    Ujerumani yaipigia magoti Canada irejeshe injini (ipo kwenye vikwazo) ya mitambo ya gesi ya Urusi Ujerumani, ili kuiokoa Ujerumani na uhaba wa gesi

    EU+NATO washindwa tena ktk kutekeleza vikwazo walivyokubaliana na kuviweka wao wenyewe juu ya kuminya matumizi ya gesi ya Urusi ili kuipunguzia Urusi pesa ipatazo toka kwenye biashara hiyo. Mabeberu waliweka vikwazo ktk vipuri vya miundombinu ya gesi. Ujerumani ilipeleka injini fulani Canada...
  4. nnaleke3

    Je hili ni tatizo kwa injini ya gari yangu?

    Habari za weekend wakubwa,,,moja kwa moja niende ktk mada hapo juu Mimi ni mgeni kidogo ktk kumiliki vyombo vya moto yaani gari,kwa hiyo ningeomba kujuzwa juu ya hali ninayoiona kila siku asubuhi pindi ninapowasha hiyo gari Natumia gari aina ya chaser GX100 ila kila siku asubuhi nikiwasha gari...
  5. Offshore Seamen

    Oil sahihi Kwa injini za Boti

    Boti ndogo zinatumia injini za Nje(Outboard Engine) zimetengenezwa kulingana na mapigo ya injini (engine stroke/cycle). Hapa kuna aina mbili (2) injini kulingana na mapigo Kuna 2 Stroke Outboard Engines na 4 Stroke Outboard Engines. Watumiaji wengi wa boti au vyombo vidogo vya majini wamekuwa...
  6. Frumence M Kyauke

    Jinsi Injini ya Ndege aina ya Jet inavyofanya kazi

    Bila shaka umewahi kujiuliza 'injini ya ndege za abiria inafanyaje kazi? Na huenda hukupata majibu! Ukiendelea kusoma,utapata jibu la swali hilo, Kwanza, hebu tuone sehemu za injini ya ndege. Zifuatazo ni sehemu kuu tano za injini ya ndege (Jet Engine) 1.Air inlet Hii ni sehemu ya mbele kabisa...
  7. L

    Ajenda ya AU 2063 na miradi inayotekelezwa na China ya BRI ni injini ya ukuaji Afrika

    Nchi za Afrika zimejiwekea mikakati ya kiuchumi kulingana na maslahi na hali halisi ya kila nchi. Lengo kuu ni kufikia maendeleo endelevu na kuhimiza ukuaji wa kiuchumi ambao unafaisha watu wengi. Benki ya Maendeleo ya Afrika inakadiria kwamba kiwango cha ukuaji wa uchumi wa Afrika kwa mwaka huu...
  8. Mantombazane

    Wamiliki wa mabasi fanyeni service za bodi na ndani ya mabasi siyo injini tu

    Kuna kitu nimeona wamiliki wa mabasi ya abiria wanajisahau kuhusu service za magari yao. Wengi wanajikita kwenye injini, spring na mabush tu lakini hawajali kabisa service za ndani ya mabasi na bodi kwa ujumla ambazo ni sehemu muhimu kwa abiria zitakazo wafanya wapende kusafiri na mabasi yenu...
  9. Ndikwega

    Gari kutikisika Injini ikifikia speed 100Khr na kuendelea!

    Habari ya Majukumu Wakuu! Nina gari yangu Ndogo IST, Nikijaribu Kukanyagia walau nifike 120Km/Hr, Speed ikifika tu 100 na Kuendelea napata Mtikisiko Mkubwa saana wa Injini. Naomba Kueleweshwa tatizo lake na Tiba yake! Naombeni Karibuni Kunisaidia kutatua hili tatizo pamoja na Chanzo Chake...
  10. N

    Injini gani ya pikipiki mchina inaweza kaa kwenye pikipiki aina ya TVS

    Pole na kazi wakuu!! Msaada katika Hilo tafadhali
  11. The ricco king

    SoC01 Akili ya binadamu ndio muhimili mkubwa wa maendeleo yote

    Dunia ya leo imesheheni mataifa mengi na jamii nyingi kutoka kila pande ambazo kila moja ya jamii hizo iko na desturi na utamaduni wake wa pekee. Tamaduni na desturi hizo zinaweza kuwa chanzo cha kuongezeka au kudorora kwa maendeleo katika jamii husika, mfano mzuri ni uzingatiaji wa afya ya...
  12. Ndikwega

    Naomba Kujua Ipi ni Injini Nzuri ya gari kati ya Petrol ama Diesel

    Wakuu Salaam. Naomba Kujua Faida za Injini ya Petrol pia za Diesel. Na Je, ni Injini ipi bora kati ya hiz mbili. Interms of Durability na Performance. Naombeni Michango yenu.
  13. Sky Eclat

    Kibonzo: Injini imegoma, mama anashauriwa anunue tu mpya

  14. KIMOMWEMOTORS

    Picha: Sababu na madhara ya injini kuchemsha

    SABABU ZA INJINI KUCHEMSHA na MADHARA YAKE Na Kimomwe Motors (T) Ltd- Waagizaji Magari. 1. Maji ya kawaida haswa yenye chumvi yasiyo na Coolant. Hii inaweza tengeneza kutu ambayo hua kama tope na mwisho kuziba njia za maji katika rejeta yako. 2. Kutofanya kazi kwa feni. Inawezasababishwa na...
  15. KIMOMWEMOTORS

    Special thread: Kutana na waagizaji wa magari kutoka Japan

    HABARI YA MAJUKUMU? KIMOMWE MOTORS (T) LTD, TUNAPENDA KUKUKARIBISHA KUAGIZA GARI LAKO KWA GHARAMA NAFUU, HARAKA NA UHAKIKA KUPITIA KAMPUNI YETU. VILE VILE TUNAKUKARIBISHA KATIKA FURSA YA BIASHARA YETU NA UKAWEZA KUTENGENEZA KIPATO CHA ZIADA ENDAPO TU UTAWEZA KUAGIZA GARI AMA KUMLETA MTEJA...
  16. Namichiga

    Hivi ni lini propaganda zitakoma kuwa ndio injini ya kuendesha siasa za Tanzania?

    Kwanza nianze na ufafanuzi wa kimantiki wa neno utawala, utawala(Excutive) katika nchi ni genge(syndicate), kwa maana ya kuwa ni kundi la watu lililojumuika pamoja na kujiwekea mienendo, kanuni na utaratibu wa kuongoza na kutawala nchi. Na genge hilo lina msambao kuanzia ngazi za juu kabisa za...
  17. B

    Injini ya ndege ya United Airlines yalipuka angani

    20 February 2021 Denver, Colorado USA Ndege moja ya abiria ya shirika la ndege la United Airlines aina ya Boeing 777 mruko namba 328 toka kiwanja cha ndege cha mji wa Dever kwenda Honolulu injini yake moja ililipuka ikiwa angani kiasi cha futi 13,000 (ft) na kusambaza mabaki yake ktk kitongoji...
  18. Kichuguu

    Hatua za awali Injini Automatic Transmission ikikataa kuwaka!

    Juzi kuna mteja alituita kuwa gari yake aliipaki na kuingia kwenye supermarket kupata mahitaji yake. Ila baada ya kurudi kwenye gari haikuwaka kabisa, ingawa taa zilikuwa zinawaka, radio inafanya kazi wiper zinafanya kazi ila stator motor ilikuwa haigoti kabisa. Tukatuma fundi wetu kwenda...
  19. Pascal Mayalla

    Kama Yalivyo Mafuta ya Total Kuongoza Kwa Ubora, Pia Vilainishi vya Total Vinaongoza Kwa Ubora, Vinadumisha Injini

    Madereva wa Tanzania, Wahimizwa Kutumia Vilainishi Vyenye Ubora, ili Magari yao Yadumu Zaidi na Zaidi Kampuni ya mafuta ya Total, ambayo ndio kampuni inayoongoza kwenye uuzaji na usambazaji wa mafuta na vilainishi nchini Tanzania kwa zaidi ya miaka 50, wamehimizwa kutumia vilainishi vyenye...
  20. JituMirabaMinne

    Taa yoyote nyekundu kwenye dashboard ya gari yako siyo ya kuipuuza

    Asilimia kubwa ya magari huwa yanakuwa na warning lights(taa za tahadhari) za aina tatu. Aina hizi nitazitofautisha kulingana na rangi za hizo warning lights. Aina hizo ni kama ifuatavyo. 1. Kijani/Blue 2. Njano/Rangi ya machungwa 3. Nyekundu Namba moja ipo tu kwa ajili ya kukupa taarifa...
Back
Top Bottom