innocent bashungwa

Innocent Bashungwa (Bashungwa)
Innocent Lugha Bashungwa (born May 5, 1979) is a Tanzanian politician and a member of the Chama Cha Mapinduzi political party. He was elected MP representing Karagwe in 2015.

View More On Wikipedia.org
  1. Stephano Mgendanyi

    Bilioni 840 Kutumika Ujenzi wa Miundombinu Iliyoathiriwa na El-Nino

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Serikali tayari imeelekeza kiasi cha Shilingi Bilioni 840 (Dola za Marekani Milioni 325) katika ujenzi wa miundombinu ya barabara, madaraja na makalvati yaliyoharibiwa na mvua kubwa za El-Nino na Kimbunga Hidaya ambapo maandalizi ya utekelezaji...
  2. Roving Journalist

    Serikali yasema imeweka mazingira mazuri kwa Wahandisi Wanawake kushiriki katika utekelezaji wa miradi

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Serikali imeweka mazingira wezeshi kwa ajili ya kutoa fursa kwa Wahandisi Wanawake kushiriki kikamilifu utekelezaji wa miradi mbalimbali ya ujenzi na matengenezo ya barabara na madaraja nchini. Ameeleza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
  3. Stephano Mgendanyi

    Serikali Yatangaza Neema kwa Wahandisi Wanawake Utekelezaji wa Miradi ya Barabara na Madaraja

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Serikali imeweka mazingira wezeshi kwa ajili ya kutoa fursa kwa Wahandisi Wanawake kushiriki kikamilifu utekelezaji wa miradi mbalimbali ya ujenzi na matengenezo ya barabara na madaraja nchini. Ameeleza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
  4. Roving Journalist

    Bashungwa amkabidhi Dkt. Msonde Taasisi ya TEMESA na TBA, ataka mageuzi ndani ya Miezi Mitatu

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuelekeza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Charles Msonde kuhakikisha anazisimamia Taasisi za Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kufanya mabadiliko na kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazokabili Taasisi hizo ili...
  5. Sir John Roberts

    Pre GE2025 Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030

    Huyu kijana nimemwangalia sana na kumfuatilia sana utendaji wake wa kazi. Nadiriki kusema Tanzania baada ya Samia 2030 huyu kijana ana faa na ana sifa zote muhimu kama kiongozi wa nchi. Kwanini nasema hivyo naweka mambo machache hapa chini. Hata hivyo neno langu siyo sheria. 1. Ni mchapakazi...
  6. RWANDES

    2030 kuna uwezekano mkubwa Kafulila na Bashungwa wakapewa kijiti cha kuongoza nchi mama hatabiriki huko mbeleni

    Nikikumbuka zama za kina nchimbi walipokuwa na makundi ya uraisi walichofanyiwa na mzee wa msoga sitosahau. na nukuu "Mimi nilikuwa mpole Sana sasa nawaletea mkali". Mama Samia kwa jinsi navyomuona 2030 huenda akafanya kama ya jk 2015 maana namuona siyo muongeaji anawaangalia vijana wake...
  7. Stephano Mgendanyi

    Pre GE2025 Bashungwa Agawa Mitungi ya Gesi 300 kwa Wanawake na Wenye Mahitaji Maalum

    BASHUNGWA AGAWA MITUNGI YA GESI 300 KWA WANAWAKE NA WENYE MAHITAJI MAALUM 📌 Kuunga mkono Agenda ya Rais Samia ya nishati safi ya kupikia. 📌 Karagwe kuwa kinara wa nishati safi ya kupikia. 📌 Zoezi la ugawaji wa mitungi ya gesi ni endelevu kwa Wanakaragwe. Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Jimbo la...
  8. J

    Bashungwa: Makandarasi wazawa kupewa miradi hadi yenye thamani ya bilioni 50

    MAKANDARASI WAZAWA KUPEWA MIRADI HADI YENYE THAMANI YA BILIONI 50: BASHUNGWA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Serikali kupitia Wizara ya Fedha imesikia kilio cha Makandarasi Wazawa na imeamua kupandisha wigo wa thamani ya miradi kwa Makandarasi hao kutoka kiasi cha Shilingi Bilioni...
  9. Roving Journalist

    Serikali yasema Tsh. Bilioni 93 zimetolewa Singida kwa ajili ya uwekaji wa Taa, Barabara na Madaraja

    Serikali imetoa kiasi cha takribani Bilioni 93 Katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan madarakani kwa ajili ya miradi ya uwekaji taa za barabarani, Ujenzi na matengenezo ya Barabara, Pamoja na ujenzi wa madaraja. Kiasi...
  10. Cute Wife

    Pre GE2025 Bashungwa akiwa kilabuni na baadhi ya wananchi jimboni kwake wakimpigia chapuo Rais Samia pamoja na yeye kuchaguliwa tena 2025

    Wakuu na nyuki wa mama, Kweli tutaona mengi kabla ya uchaguzi 2025. Mkiwa mnawapa script hawa hata mfanye kuedit basi ili ziendane nao. Wananchi wanaongea unaona kabisa kasukua huyoo anatapika! Mngekuwa mnafanya kazi kweli na kuwajibika wala msingekuwa mnatumia nguvu kiasi hiki. Wananchi...
  11. Stephano Mgendanyi

    Bunge lapitisha bajeti wizara ya ujenzi kwa asilimia 100

    Kwa kauli moja Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya ujenzi ya Shilingi trilioni 1.77 kwa asilimia 100 ambayo inakwenda kutekeleza vipaumbele tisa kwenye miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa barabara, madaraja, vivuko, mizani na ukamilishaji viwanja vikubwa vya ndege. Jana Mei 29,2024 Waziri...
  12. TODAYS

    KERO Kigongo - Busisi: Hali ya huduma ya vyoo hairidhishi pamoja na wahusika kukusanya mapato

    Pamoja na kukusanya mapato kila siku ya Shilingi 500 kupanda kivuko, lakini kuna Shilingi 200 kwa kila anayetumia huduma ya vyoo hapa ferry. Kitu kinachochefua ni huduma mbovu ikiwepo na ubovu wa vyoo, maji hakuna, vyoo vichafu na hazifanyiwi usafi. Nimeshangazwa sana na hali hii kutokana na...
  13. Pfizer

    Bashungwa: Wizara ya Ujenzi imejipanga kurudisha miundombinu iliyoharibika

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema wizara kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imejipanga kufanya matengenezo makubwa kwa lengo la kurudisha mawasiliano kwenye barabara, madaraja, makalvati pamoja na vivuko zilizokatika kutokana na mvua za El-Nino. Akizungumza na Shirika la...
  14. J

    Waziri Bashungwa: Upotoshaji wa vivuko Kigamboni una maslahi binafsi

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewatoa hofu wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam wanaotumia usafiri wa vivuko eneo la Kigamboni -Magogoni juu ya taharuki kuhusu huduma inayotolewa na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) nakueleza kuwa imetengenezwa na watu wenye maslahi binafsi. Ameyasema...
  15. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa azikutanisha TEMESA na Azam Marine uboreshaji Huduma za Vivuko

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameukutanisha Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) na Kampuni ya M/S Azam Marine kujadili namna ya kuendelea kushirikiana kwa pamoja kuboresha utoaji wa huduma za usafiri wa vivuko katika eneo la Magogoni – Kigamboni jijini Dar es Salaam. Kikao hicho...
  16. Crocodiletooth

    Happy birthday Innocent Bashungwa, kwanini baadhi ya viongozi hutenguliwa ghafla!

    Bwana Inno alivyokataa Bilioni 5 za Hayati kwenye miaka ya 2018 Alitokea mfanyabiashara mmoja alimfuata Bwana Inno ofisini pale Wizara ya Biashara, na alifika pale akaanza kumshawishi ili amkubalie ombi lake la kwenda kumuombea kibali cha kuagiza sukari kutoka nje kwa sababu wakati huo SHUGA...
  17. Roving Journalist

    Waziri wa Ujenzi awaondoa Watendaji wa TEMESA Kivukoni Dar kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewaondoa Watendaji wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Meneja wa Vivuko Kanda ya Mashariki na Kusini Mhandisi Lukombe King’ombe na Mkuu wa Kivuko cha Magogoni - Kigamboni, Idd Stamili Juma kwenye nafasi zao na kuagiza kupangiwa kazi nyingine kwa...
  18. DodomaTZ

    Mbunge wa Sumve, Kasalali Kasalali Mageni: Mawaziri wanatupa ahadi hewa tu, Wananchi wa Sumve hatuna lami hata Mita moja

    Mbunge wa Sumve, Kasalali Mageni amechangia Bungeni Jijini Dodoma, leo April 4,2024 ambapo katika mchango wake amemuomba Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa kuzungumza na Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa kutekeleza majukumu...
  19. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa aagiza TEMESA kuboresha Huduma za Vivuko

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuagiza Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Lazaro Kilahala kuhakikishia anasimamia masuala ya usalama katika vivuko vyote nchini ili viweze kutoa huduma bora pamoja na kulinda usalama wa mali na abiria. Aidha, Bashungwa ametoa wiki moja...
  20. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa atoa miezi miwili TEMESA kufanya Mageuzi

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa miezi miwili kwa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kukamilisha taratibu zote za kiutendaji na Marekebisho ya Kisheria ili kuuwezesha Wakala huo kutekeleza majukumu yake kibiashara ifikapo mwaka mpya wa fedha 2024/25. Bashungwa amezungumza hayo jijini...
Back
Top Bottom