Most smart people prefer to be quiet for the following reasons:
1. Most of them are generally introverted.
The brightest people are generally introverted. a strong correlation between intelligence and introversion. This is not to say that the brightest people are always introverts or that...
FAMILY INTELLIGENCE; UTAJUAJE MCHUMBA WAKO NI MWAMINIFU KATIKA MAPATO/FEDHA?
Kwa Mkono wa, Robert Heriel.
Basi Mimi Taikon nikajiingiza katika Mkondo WA mapenzi. Nikasema Acha niyapime mambo yote yaliyomo huko, kisha nitoe Hesabu Kwa kadiri ya akili yangu ilivyo Kwa wakati huu ningali kijana...
It was when schools were Schools and education was Education,
When education was real a key to life,
And whoever got educated became successful.
People were taught how to think, fitting their mind in any problem,
Instead of being fixed on what to think and programmed into robots.
Education...
When speaking of the modern-day technology world we cannot carve out Artificial Intelligence and Machine Learning. Some of you might have heard about this interesting and fascinating technology aspects but maybe we don’t really understand what capabilities come along with them. I want to talk...
Kila siku zaidi ya tweets milioni 500 zinaandikwa na watu mtandaoni duniani ambazo ni sawa na tweet bilioni 200 kwa mwaka duniani. Ongeza na picha zinazokadiriwa kufika milioni 350 ambazo huwekwa facebook na watumiaji, jumlisha na zaidi ya masaa 720,000 ya maudhui ya video mpya zinazowekwa...
Ila ana point kweli huyu mwamba, maana hv ndo tunaweza kuepukana na simcard tax za Mzee Mwigu.
Kwa hio kajamaa kanamaanisha na sisi Tanzania tutakuwa na ka CIA ketu na ka FBI au sio? Ila sisi ni kwenye mambo ya hela.
Sawa, nimekuelewa.
===
REVENUE INTELLIGENCE BUREAU (RIB)
(Kumradhi Mama...
1. Siasa ni ugonjwa na ukikomaa unakuwa kilema kisicho tibika wala kugusika. Mfano mzuri uvimbi uote nyuma ya kisogo halafu uunganike na "nerve system" hata uende wapi "operation yake ni ngumu sana maana kuna matatu hapo wakikufanyia upasuaji unaweza kupona, kupata kichaa au kufa kabisa.
2...
Habari Wana JF,
Leo tutaendelea na mada yetu ya akili bandia upande wa afya.
Tutaangazia nyanja mbalimbali za afya ambapo akili bandia AI hufaunya kazi na nini matazamio yake siku za mbeleni.
Kama tulivyoona awali kwamba AI hutegemea maelfu ya data kukusanywa na kujazwa kwenye kifaa kama vile...
Njia rahisi zaidi ya kuelewa uhusiano kati ya Akili bandia (AI), Machine Learning (ujifunzaji wa mashine), na Deep Learning (ujifunzaji wa kina) ni kama ifuatavyo.
-Kujifunza kwa mashine (Machine Learning) ni sehemu ndogo ya programu ya AI ambayo hujifunza yenyewe. Inajifanya upya yenyewe...
Katika maisha yetu ya leo, kwa namna moja au nyingine tunatumia Artificial Intelligence- intellijensia ya kutengenezwa(Sijapata Kiswahili Fasaha, wana jamvi waweza saidia) kupitia vifaa vya kieletroniki kama simu, computer, luninga n.k.
Artificial Intelligence (AI) ni nini?
Mwaka 1956, mwana...
Kwanini bado mnatumia C++ kwenye hii course?
Naona bado na ninyi mnakuwa wazembe au labda vyuo husika vinawaforce kufanya hivyo, labda nipate maelekezo kidogo hapa.
Maana naona PYTHON ndo imejaa vitu vingi muhimu vilivyopo kwenye hii course, but why mnadeal na algorithm pekee why not other...
Kwa nini Watanzania wanavutiwa na mtu mkali? Mara nyingi nimekuwa nikisikia watu wakimwagia sifa Kiongozi fulani kwa kuwa ni mkali, nimesikia watu wakisema kwa mfano ka Jafo kanafaa sana kuwa Rais kakali sana'', ukali unahusiana nini na Uongozi mzuri na makini wa nchi ? Vipi kuhusu intelligence...
Zifwatazo ni picha kwa ajili ya watu intelligence tu.
Sija zielezea maana zinaeleweka
1
2
3
4.
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
Karibuni mwenye nyongeza
N.B; kama aujaelewa uliza
Saddam Hussein, C.I.A & Italian Military Intelligence Service (SISMI): Tuhuma za wizi wa Uranium Powder (Yellowcake) kutoka migodi ya kampuni za Ufaransa nchini Niger!
UTANGULIZI SEHEMU YA KWANZA
===========
Nyaraka za kughushi za mkataba wa kuuziana madini ya uranium huko chini Niger hapo...
Huu ni ushauri kwa vyama husika - ACT Wazalendo na CHADEMA. Tunawashaurini kukaa, kubaliana (juu ya role, cooperation principles and operational modality) na kisha undeni JEIT iwasaidie kukusanya intelligence za uchaguzi wakati wa kampeni.
Lisha ichambue na kuwashauri namna ya kupanga na...
Wasalaam, Jamii Forums.
Nchi yetu inapitia katika kipindi ambacho inataka kuongozwa na Mataifa ya Magharibi kwa kila namna ili wanyonye Rasilimali zetu.
Fedha kutoka Taifa moja ya Ulaya zinatarajiwa kuingizwa nchini kwa Style ambayo vyombo vya ulinzi na Usalama lazima ziwe makini kwani...
Huyu dogo ni Graduate wa Chuo Kikuu. Ndoto zake siku zote imekuwa ni kufanya kazi Usalama wa TAIFA.
Jana walikuwa kwenye msiba mtaani Mimi nilikuwa nje ya mji. Dogo anasema mahali walipo kuwa wamekaa Kuna Jamaa mmoja aliniponda Sana Mimi. Kwamba naringa Sana. Najisikia Sana kwa sababu nna...
Na saboso JR
Kampuni nyingi za kibiashara, wajasiriamali na wafanyabiashara kwa kawaida wamejaribu kufungua biashara zao na kuwekeza kwa kasi kubwa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha miundombinu bora ya utoaji huduma na bidhaa kwa kiwango cha juu, kuajiri wa wafanyakazi wengi na kuwapatia mishahara...
His administration reportedly funded the lab in 2015.
For once a reporter asked a pertinent question at a White House daily virus briefing. On Friday one reporter asked President Trump if he was aware of U.S. Intelligence reports that the Obama administration sponsored the Wuhan lab, the same...
Sitakupa maelezo marefu sana ya kupoteza muda wako, ila umakini na faragha ni muhimu sana nyakati hizi za kimageuzi ya mitandao na ukuaji wa teknolojia.
Kwa watumiaji wa vifaa ya kimtandao kama simu na kompyuta iwe ya mezani au mipakato jaribuni sana kuwa na umakini ikiwa utaacha kutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.