Siku ya Kimataifa ya Familia ni maadhimisho yanayofanyika kila mwaka tarehe 15 Mei kwa lengo la kukuza uelewa kuhusu umuhimu wa familia na kusherehekea jukumu muhimu ambalo familia zinao katika jamii.
Ni fursa ya kutafakari kuhusu masuala yanayohusiana na familia, kama vile afya, elimu, usawa...
Wasalaam,
Ile siku ni Leo tarehe 15 Mei, 2024. Kila mkoa unaadhimisha na wilaya zake na kata zake na vijiji vyake.
Vyombo vya habari vinapaza sauti. Ukiona kimya uliko, basi kuna mtu hajatimiza tu wajibu wake wa kupaza sauti au wa kusikiliza sauti iliyopazwa.
Sisi tuko Dodoma, Viwanja vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.