internship

  1. Jamii Opportunities

    Internship Vacancies – (15 Posts) at UDSM March 2025

    Call for 3-Month Internship Vacancies: Agricultural Supply Chain, Food Supply Chain, and Transportation and Logistics and Related Fields (15 Posts) Background University of Dar es Salaam (UDSM) and the Kuhne Foundation (KF-TZ) have partnered to implement initiatives for a four (4) year SAFA...
  2. H

    Natafuta nafasi za internship

    Wakuu nimesomea political science and public administration specialized in international relations and diplomacy. Natafuta nafasi za internship; nafikilia JNICC. Je utaratibu wa kuomba internship jnicc upoje ?
  3. Y

    Natafuta nafasi ya Internship with (BA. In Economics) kutoka UDSM

    Habari zenu wana JF. Mimi ni binti wa kitanzania mwenye umri wa miaka Ishirini na tatu. Ni fresh graduate mwenye shahada ya Uchumi yaani (BA in Economics) kutoka University of Dar es salaam. Niko hapa kuwaomba mnisaidie nafasi ya Internship kwa wenye kampuni, connection au mnaofahamu mahali...
  4. zoyler22

    Internship TANAPA na TRA

    Nilikua nauliza km nikifanya internship kati ya hizi taasisi 2 kutakua na uwezekano wa kupata ajira zikitoka af pia hua wanalipa intern???!
  5. S

    Ninatafuta Fursa ya Kujitolea kama Mwanafunzi wa Mwaka wa Mwisho katika Sayansi ya Kompyuta [Uchakataji wa Data, Machine Learning na Akili Mnemba]

    Kwa majina naitwa Alfred Baraka Rugoye, mwanafunzi wa mwaka wa mwisho katika shahada ya Sayansi ya Kompyuta. Nimejikita zaidi katika uchakataji na uchanganuzi wa data, ujifunzaji wa mashine (Machine Learning), na akili mnemba (Artificial Intelligence). Ninatafuta fursa ya kufanya mazoezi ya kile...
  6. kikoozi

    Naomba kujua utaratibu wa kupata nafasi ya Internship kwa mwanafunzi anayemaliza mwaka wa 5 udaktari

    Habarini ndugu zangu. poleni na majukumu.. nina mdogo wangu mwaka huu anamaliza chuo course ya udaktari mwaka wa 5, baada ya hapo anatarajia kupangiwa hospitali kwaajili ya kufanya internship, kuna uwezekano akapangiwa hospitali zanje ya mkoa wa DAR ES SALAAM maana kwa sasa anasoma chuo nje ya...
  7. M

    Internship bodi ya Sukari tanzania

    Habari viongozi, mimi nimemliza chuo nimesoma data analysis, nilikiwa na uliza. Bodi ya sukari huwa inatoa internship
  8. Rocco sifredi

    ALIYEWAHI FANYA ONLINE TEST YA EACOP PROJECT MSAADA

    Habari wakuu Kuna yoyote aliyewahi Fanya online test za eacop project kwa upande wa law wanauliza maswali gani msaada make pale Kwenye description hawakusema Chochote haswa kwa watu wa administration
  9. A

    DOKEZO Kudhulumiwa malipo ya internship 2021-2022 hospitali ya Lugalo

    Mimi nilifanya mafunzo ya internship nikiwa kama daktari katika hospitali ya Lugalo kuanzia Nov 2021 mpaka Nov 2022. Hospital ina utaratibu wa kulipa call allowances kwa madaktari na nurses wanaokaa shift za usiku kila mwezi. Ajabu iliyoje miezi miwili ya mwisho yaani September na October 2022...
  10. E

    Maombi ya internship kada ya mazingira

    Habari... Napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati na kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa pumzi anayotupatia mpaka saa hii🙏..... Mimi ni mhitimu kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo SUA (Sokoine University of Agriculture), with Bsc. Environmental Sciences and Management (recent graduate). Niko hapa...
  11. Jamii Opportunities

    Internship at Tetra Tech August 2024

    Internship for Tanzania Private Sector Strengthening Project The USAID-funded Feed the Future Tanzania Imarisha Sekta Binafsi (Private Sector Strengthening) project in Tanzania, implemented by Tetra Tech International Development (International Development Jobs – Tetra Tech), is currently...
  12. Tommy 911

    Naombeni mwenye connection na internship anisaidie

    Habari za wakati huu........ mimi ni kijana wa miaka 23 nimemaliz bsc chemistry hivyo naombeni mwenye connection na internship anisaidie au kazi yoyote . Asanten
  13. Tommy 911

    NATAFUTA NAFASI YA INTERNSHIP BSC CHEMISTRY

    habarini Wana jf. mimi ni kijana wa miaka 23 nasoma bsc chemistry,Mwenge catholic university natalajia kumaliza chuo mwezi wa nane mwaka huu(2024). hivyo basi natafuta sehem ya kufany internship iwe kiwandan au migodoni kote nafany as quality controller, lab scientist and chemist. mwenye kujua...
  14. M

    SoC04 Ajira kwa watumishi tarajali (internship)

    Tarajali ni kipindi ambapo wafanyakazi hupokea mafunzo ya kazi chini ya uangalizi maalumu katika shirika ama kampuni fulani kwa kipindi cha muda fulani ili kupata uzoefu utakao muongezea thamani katika kazi yake ili apate soko katika ajira kirahisi. Hapa tanzania tuna taasisi inayowasaidia...
  15. S

    Natafuta kampuni zinatoa internship Arusha

    Wakuu habarini, Mimi nimehitimu chuo mwaka jana, Accounting and finance, nauliza sehemu apa Arusha wanatoa nafasi za internship.
  16. Jamii Opportunities

    Internship Opportunities at ADC Tanzania Limited April, 2024

    Are you ready to dig deep into the world of agriculture and consulting? Join our internship program and cultivate your skills with us! We’re on the lookout for passionate recent agricultural graduates to join our dynamic team. Whom are we looking for: Bachelor’s degree in Rural Development...
  17. edwin89

    Internship: Anahitajika msichana mwenye ujuzi wa wa IT

    Anahitajika mdada mwenye ujuzi wa wa IT Kwenye nyanja zifuatazo: 1. Graphics design 2. Microsoft package 3. Networking design and implementing 5. Social media marketing 6. Good customer care Nicheki chap inbox
  18. navah

    Internship salary for absa bank

    What is the salary scale for intern in absa bank?
  19. E

    Wapi naweza kupata uzoefu wa kazi ama internship nikiwa fresh gradute wa bsc Environmental sciences and management

    Habari za muda huu wakuu. Mm ni mwanafunzi wa mwaka wa 3 Chuo kikuu cha SUA. Ninachukua Bachelor of Science in Environmental Sciences and Management. Ninatarajia kumaliza elimu yangu ya chuo kikuu mwishoni mwa mwezi wa 7 mwaka huu. Hivyo basi nilikuwa naomba wenye uzoefu na course yangu...
  20. T

    Internship and experience

    Habarini wakuu, ninasoma DIT, Bachelor's degree in mechanical engineering, mwaka wa tatu. Sasa hivi tupo likizo, tumetumia karibu week 6 zimebaki week 3 Nilijaribu kuomba internship kwenye viwanda vingi pale Mikocheno industrial area, lakini nilikosa sababu ni kutokuwa tayari kwa viwanda kupokea...
Back
Top Bottom