Intern- Operations Assistant
Description
Callab Tanzania Company Limited is company established with the purpose of providing laboratory equipment testing and calibration services in Tanzania.The Company is the first private company to offer such services in Tanzania.
The Company provides world...
Position: Internship
Dar es Salaam
Tanzania Investment and Consultant Group Ltd
Specializing in all aspects of Project Development ,Investment and Business consulting.
EXCITING EMPLOYMENT OPPORTUNITY
Tanzania Investment and Consultant Group Ltd is a consulting firm focused on serving the...
Habari za saizi jamani samahanini mimi ni mwanamke miaka 24, nimemaliza chuo Bachelor of Business Adminstration mwaka huu.
Natafuta internship au kujitoleapopote kampuni au kiwandani nipo tayari kuanza muda wowote ata sasa napatikana Dar es Salaam
Mimi kijana wa miaka 23 Nina Diploma ya Land and Mine surveying natafuta nafasi ya Internship kwa kampuni yoyote inayojihusisha na masuala ya land surveying nipo Dodoma namba yangu 0699239068.
Wakuu habari.
Mimi ni kijana wa kitanzania, jinsia ME nimekuja hapa kwa nia ya kuomba nafasi kwa Internship kwenye NGO, Kampuni au sehemu yoyote watakao ona nafaa.
Elimu : Nina Degree ya Sheria LLB
Makazi Dar es salaam
Umri :20's
Mawasiliano: 0787460347
Habari,
Ilikuwa 21 April TBS walitoa tangazo la internship kwa nafasi mbalimbali.
Vipi walishaita vijana kwa ajili ya usaili na kuanza kazi?
Nimeingia kwenye website yao sijaona tangazo lolote, ni bado mchakato au watu wamepigiwa simu direct?
Waziri Ndaki na katibu(mifugo) Bw. Nzunda, Uhalisia kuhusu kuomba kusitisha mafunzo atimizi (internship) kwa madaktari wa mifugo.
kutoka kwa Vet Surgeon
Habari Mh. Mashimba Ndaki , pole na majukumu na hongera kwa kuwezesha sekta ya mifugo kuendelea kusonga mbele.
Kulingana na Takwimu za 2020...
Habari Wana jamvi,
Katika dunia ya Sasa hasa nchini kwetu swala la ajira limekuwa ni kilio kikubwa sana.
Siku hizi kupata ajira ni kama bahati au connection yani kupata ajira kwa ujuzi wako imekuwa nadra sana.
Wapo waliomaliza chuo nakupa kazi moja kwa moja wapo walio subiri kwa zaid ya miaka...
Habari, mimi ni mwanafunzi IFM mwaka wa pili dip in CS(nilianza certificate). Namaliza masomo mwezi wa 7. Natafuta internship, kazi au hata ushauri wa portfolio na skills.
Nina skills za Html, css, JavaScript. JAVA (na oop), Oracle Sql, kotlin (na oop), adobe illustrator na blender 3D. Android...
Habari za wakati huu waungwana natumai wote muwazima wa afya tele na kama kuna mwenye khitilafu za kiafya basi twamuombea kwa Mungu aweze kumponya amiin.
Nilipost siku za nyuma kutafuta internship ya uhasibu katika taasisi yeyote ndani au nje ya jiji la Mwanza kwanza sikubahatika kupata ila...
Habari wanaJF!
Mimi ni kijana, mwenye umri wa miaka 24. Nimehitimu 2021 shahada ya Usimamizi wa Mifumo ya Afya (Bachelor's Degree in Health Systems Management) ya chuo kikuu Mzumbe.
Kwasasa natafuta mahali pa kujifunza zaidi kwa vitendo. Interest yangu ni kwenye NGOs lakini hata nikipata...
Salaam,
Mimi ni kijana wa kiume mwenye Umri wa Miaka 26 na makazi yangu ni Mwanza wilaya ya Nyamaghana. Mwaka huu 2021 nimehitimu Bachelor of science in computer science, Lengo la thread hii ni kuomba nafasi ya internship or volunteering opportunity (paid or unpaid), katika kampuni yoyote...
About the College
Musoma Utalii Training College is a college registered by Ministry of Education, National Council for Technical Education (NACTE) and Vocational Education Training Authority (VETA). We are offering different courses as per society needs. The College is located near Bweri Bus...
Habari JF,
Hakuna kitu kinaumiza kama msomi na mwalimu aliyesomea na kufuzu mafunzo ya ualimu na kwenda kufanya kazi katika shule za serkali kwa kujitolea bure
Hakika hii haikubaliki, ni unyonyaji wa kiwango kisichoelezeka. Mtu kufanya kazi bure ndani ya nchi hii ni kinyume na haki za binadamu...
INTERNSHIP OPPORTUNITY IN DAR ES SALAAM
OVERVIEW
Railway Children Africa (RCA) is Non-Governmental Organisation (NGO) registered in Tanzania NO. 1563, and affiliate of our parent company Railway Children UK
With over ten years working in Africa, we are committed to safeguarding and promoting...
Overview
OBLICQ LIMITED is a Tanzanian privately owned company incorporated and registered under the Companies (Act), Cap. 212, R.E. 2002. The company focuses on delivering the best solutions out of technology. OBLICQ provides range of ICT services including Enterprise software Implementation...
Natanguliza salamu ya Amani na upendo wangu kwenu wote pia nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Baadhi ya viongozi wamekuwa wakisema vijana waliosoma wachangamkie fursa za kujiajiri kwa kulima ,kufuga kuku,kuuza machungwa na biashara nyinginezo ili waweze kujiajiri na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.