internship

  1. Masokotz

    Paid Internship opportunity

    Intern- Operations Assistant Description Callab Tanzania Company Limited is company established with the purpose of providing laboratory equipment testing and calibration services in Tanzania.The Company is the first private company to offer such services in Tanzania. The Company provides world...
  2. Jamii Opportunities

    Internship at Tanzania Investment and Consultant Group Ltd

    Position: Internship Dar es Salaam Tanzania Investment and Consultant Group Ltd Specializing in all aspects of Project Development ,Investment and Business consulting. EXCITING EMPLOYMENT OPPORTUNITY Tanzania Investment and Consultant Group Ltd is a consulting firm focused on serving the...
  3. Adejohn

    Natafuta internship au kujitolea popote

    Habari za saizi jamani samahanini mimi ni mwanamke miaka 24, nimemaliza chuo Bachelor of Business Adminstration mwaka huu. Natafuta internship au kujitoleapopote kampuni au kiwandani nipo tayari kuanza muda wowote ata sasa napatikana Dar es Salaam
  4. B

    Natafuta nafasi ya Internship

    Mimi kijana wa miaka 23 Nina Diploma ya Land and Mine surveying natafuta nafasi ya Internship kwa kampuni yoyote inayojihusisha na masuala ya land surveying nipo Dodoma namba yangu 0699239068.
  5. J

    Naomba nafasi ya Internship

    Wakuu habari. Mimi ni kijana wa kitanzania, jinsia ME nimekuja hapa kwa nia ya kuomba nafasi kwa Internship kwenye NGO, Kampuni au sehemu yoyote watakao ona nafaa. Elimu : Nina Degree ya Sheria LLB Makazi Dar es salaam Umri :20's Mawasiliano: 0787460347
  6. Mwamuzi wa Tanzania

    Vipi zile nafasi za Internship TBS walishaita watu?

    Habari, Ilikuwa 21 April TBS walitoa tangazo la internship kwa nafasi mbalimbali. Vipi walishaita vijana kwa ajili ya usaili na kuanza kazi? Nimeingia kwenye website yao sijaona tangazo lolote, ni bado mchakato au watu wamepigiwa simu direct?
  7. V

    Waziri Ndaki na Katibu (Mifugo) Nzunda, Uhalisia kuhusu kuomba kusitisha mafunzo atimizi (internship) kwa Madaktari wa Mifugo

    Waziri Ndaki na katibu(mifugo) Bw. Nzunda, Uhalisia kuhusu kuomba kusitisha mafunzo atimizi (internship) kwa madaktari wa mifugo. kutoka kwa Vet Surgeon Habari Mh. Mashimba Ndaki , pole na majukumu na hongera kwa kuwezesha sekta ya mifugo kuendelea kusonga mbele. Kulingana na Takwimu za 2020...
  8. Mtu Kwao

    Ni changamoto na mafanikio yapi ulipitia wakati ukifanya internship/ kujitolea?

    Habari Wana jamvi, Katika dunia ya Sasa hasa nchini kwetu swala la ajira limekuwa ni kilio kikubwa sana. Siku hizi kupata ajira ni kama bahati au connection yani kupata ajira kwa ujuzi wako imekuwa nadra sana. Wapo waliomaliza chuo nakupa kazi moja kwa moja wapo walio subiri kwa zaid ya miaka...
  9. Flowerpot

    Natafuta internship au kazi pale nitakapo maliza Diploma 2 in computer science. Au constructive criticism

    Habari, mimi ni mwanafunzi IFM mwaka wa pili dip in CS(nilianza certificate). Namaliza masomo mwezi wa 7. Natafuta internship, kazi au hata ushauri wa portfolio na skills. Nina skills za Html, css, JavaScript. JAVA (na oop), Oracle Sql, kotlin (na oop), adobe illustrator na blender 3D. Android...
  10. Mrkaswahili

    Ukiachana na internship za uhasibu

    Habari za wakati huu waungwana natumai wote muwazima wa afya tele na kama kuna mwenye khitilafu za kiafya basi twamuombea kwa Mungu aweze kumponya amiin. Nilipost siku za nyuma kutafuta internship ya uhasibu katika taasisi yeyote ndani au nje ya jiji la Mwanza kwanza sikubahatika kupata ila...
  11. Metamorphosis

    Natafuta nafasi ya internship kwenye NGOs ama Serikalini

    Habari wanaJF! Mimi ni kijana, mwenye umri wa miaka 24. Nimehitimu 2021 shahada ya Usimamizi wa Mifumo ya Afya (Bachelor's Degree in Health Systems Management) ya chuo kikuu Mzumbe. Kwasasa natafuta mahali pa kujifunza zaidi kwa vitendo. Interest yangu ni kwenye NGOs lakini hata nikipata...
  12. Johnyy

    Mshahara wa Internship private sectors upoje?

    wana jf,samahan mshahara kwa intern private sector upoje na je mda ukiisha unaweza update?
  13. AvailableIntern

    Looking For Unpaid Internship (ICT)

    Looking For: Unpaid Internship in IT fields, specifically Networking, Database Management, Web Development. Name: AvailableIntern Sex: Female Age: 26yrs Address: Kigamboni, Dar es Salaam Education: Diploma in ICT (2019) Certifications: CCNA (2020) Skills: i) Network Simulation (Packet...
  14. Mbomozo

    Ninahitaji nafasi ya kufanya 'Internship'. Nimesoma Bsc of science in Computer science HCIA (5G,AI,DataCom &Python) Certificate

    Salaam, Mimi ni kijana wa kiume mwenye Umri wa Miaka 26 na makazi yangu ni Mwanza wilaya ya Nyamaghana. Mwaka huu 2021 nimehitimu Bachelor of science in computer science, Lengo la thread hii ni kuomba nafasi ya internship or volunteering opportunity (paid or unpaid), katika kampuni yoyote...
  15. Jamii Opportunities

    Internship Vacancies at Musoma Utalii Training College

    About the College Musoma Utalii Training College is a college registered by Ministry of Education, National Council for Technical Education (NACTE) and Vocational Education Training Authority (VETA). We are offering different courses as per society needs. The College is located near Bweri Bus...
  16. K

    Serikali ianzishe mfumo wa "internship" kwa Walimu wahitimu kuliko kujitolea

    Habari JF, Hakuna kitu kinaumiza kama msomi na mwalimu aliyesomea na kufuzu mafunzo ya ualimu na kwenda kufanya kazi katika shule za serkali kwa kujitolea bure Hakika hii haikubaliki, ni unyonyaji wa kiwango kisichoelezeka. Mtu kufanya kazi bure ndani ya nchi hii ni kinyume na haki za binadamu...
  17. Jamii Opportunities

    Internship Opportunities at Railway Children Africa (RCA)

    INTERNSHIP OPPORTUNITY IN DAR ES SALAAM OVERVIEW Railway Children Africa (RCA) is Non-Governmental Organisation (NGO) registered in Tanzania NO. 1563, and affiliate of our parent company Railway Children UK With over ten years working in Africa, we are committed to safeguarding and promoting...
  18. Jamii Opportunities

    Internship opportunities at OBLICQ LIMITED

    Overview OBLICQ LIMITED is a Tanzanian privately owned company incorporated and registered under the Companies (Act), Cap. 212, R.E. 2002. The company focuses on delivering the best solutions out of technology. OBLICQ provides range of ICT services including Enterprise software Implementation...
  19. K

    Serikali iwatazame vijana hawa katika ajira

    Natanguliza salamu ya Amani na upendo wangu kwenu wote pia nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Baadhi ya viongozi wamekuwa wakisema vijana waliosoma wachangamkie fursa za kujiajiri kwa kulima ,kufuga kuku,kuuza machungwa na biashara nyinginezo ili waweze kujiajiri na...
Back
Top Bottom