Habari!
Mimi ni mwanafunzi wa Ordinary Diploma In Electrical Engineering, NTA Level 5 ( second year ). Taasisi: Dar es salaam Institute of Technology.
Nina maombi ya kujitolea kufanya kazi katika taasisi, kiwanda, ofisi au karakana yoyote inayohusiana na shughuli za umeme, mpaka mnamo tarehe 5...