ios

  1. BARD AI

    iOS 16 imeshatoka, haya ndio mabadiliko yaliyomo

    Leo Jumatatu Septemba 12, saa 2 Usiku, watumiaji wote wa iPhone 8 mpaka iPhone 14 wameanza kupata mfumo mpya wa iOS 16. iOS 16 ni mfumo mpya wa iPhone za mwaka huu, na mwaka jana ilikuwa ni iOS 15. 𝗞𝘄𝗮 𝘂𝗳𝘂𝗽𝗶 𝗶𝗢𝗦 𝟭𝟲 𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗯𝗮𝗱𝗶𝗹𝗶𝗸𝗼 𝘆𝗮𝗳𝘂𝗮𝘁𝗮𝘆𝗼: 🔘 Mwonekano mpya 🔘 Sehemu ya Lock Screen itakuwa na...
  2. BARD AI

    iOS 16 kuanza kutumika leo saa 2 usiku

    iOS 16 inategemewa kutoka leo kuanzia mida ya saa 2 Usiku, na latest report ya mwisho ambayo imevuja inaonyesha mabadiliko mapya ambayo yatawakuta wale ambao wanatumia AirPods feki! Code ya iOS16 iliyotoka wiki iliyopita inaonyesha iOS 16 ina uwezo wa kutambua kama AirPods ni original au ni...
  3. BARD AI

    Simu za iPhone zitakazoruhusiwa kutumia iOS 16

    Apple itatoa mfumo mpya wa iOS 16 kwa watumiaji wote wa iPhone 8 na kuendelea. Mfumo mpya wa iOS 16 utaanza kutoka Jumatatu ya tarehe 12 September. Credit: @ Apollo (@itsapolloo)
  4. Nafaka

    iOS 15.4 kuja na sauti ya kishoga kwenye Siri

    Kampuni ya Apple itaachia ios 15.4 itakayokuja na vipengele vingi na kimojawapo ni sauti ambayo huwezi tambua kama ni ya kiume au ya kike kwenye Siri. Msemaji wa Apple amekiri kuwa waliajiri mwanachama kutoka LGBTQ arekodi sauti inayojulikana kama American 5 ili kuunga mkonl juhudi za hao watu...
  5. KijanaHuru

    Kazi ambazo zimeshindikana ama ulishindwa kuzifanya

    Habari ya mchana, Kwa wana it wote lakini kwa upande wakutengeneza mambo haya Mobile Application Desktop Application Website Kama umewahi kutana na changamoto ya kazi kushindikana kwa vitu hivyo au unayo kazi imeshindikana au umetafuta mtu akufanyie kazi ikashindikana. Basi weka komenti yako...
  6. jay pelle

    SoC01 Njia zinazotumiwa na wezi wa mitandaoni (cyber criminals) na jinsi ya kuzuia

    Miaka kadhaa nyuma wahalifu wa mitandaoni walilenga sana Computers aina ya desktop na laptops kwani shughuli nyingi za kifedha zilizohusisha internet zilitegemea sana vifaa hivyo. Lakini kwa sasa hivi wamelenga sana watumiaji smartphone na kwa mujibu wa mtandao wa Statista watu zaidi ya Bilion...
  7. Gushleviv

    iOS 12.5.4 for Older Devices

    Salaam Wadau, Nimesikia fununu kuwa Apple wameachia Security Update kwa ajili ya Vifaa vyao vya zamani. Mfano simu ya 5s, Ipad 2 nk. Kuna yeyote mwenye hizi news? cc: Chief-Mkwawa
  8. AsteryBoy

    SOFTWARE Classic And International Adroind And iOS Mobile Application

    ...deleted
  9. MoneyHeist4

    Bye bye ios

    Baada ya miaka kama 7 hivi kuwa mtumiaji mzuri wa ios phone (iPhone) hatimae huu mwaka nahitaji kujiondoa rasmi. Sababu ya kujiondoa ni kutokana na kupangiwa baadhi ya mambo ikiwemo kunyimwa Uhuru kwenye chombo changu. Maana siwezi kudownload Movie, Siwezi kudownload Nyimbo mbalimbali yaani...
  10. Sam Gidori

    WhatsApp kutofanya kazi kwenye baadhi ya simu za Android na iPhone mwaka 2021

    Programu tumishi ya mawasiliano ya Whatsapp haitafanya kazi katika baadhi ya simu kuanzia mwaka 2021, baadhi ya vyombo vya habari vimeripoti. Programu hiyo haitafanya kazi katika simu za Android zinazotumia toleo la 4.0.2 au ndogo zaidi ya hiyo, na kwa simu za iPhone zinazotumia toleo la 9 (iOS...
  11. Kurzweil

    Telegram Launches Video Calls on Android and iOS

    Messaging app, Telegram has launched one-on-one video calls for Android and iOS. The company announced the new development noting that 2020 had highlighted the need for face-to-face communication. Telegram announced the news through a blog post which also celebrated its seventh anniversary. To...
  12. Samedi Amba

    Developer anayefanya sybmission ya kwenye playstore na appstore anahitajika

    Habari wanajamvi, Kuna wadau nimekutana nao hapa Ionic Woocommerce - Themes-Coder Wanafanya kazi nzuri sana. Sasa kuna mteja alitaka kusubmit app yake, na hana ios/playstore credentials. Sasa kama unaweza kusaidia katika hili, tuonane inbobo. Asanteni, na jumapili njema
  13. J

    SPECIAL THREADS: Post home screen (Mwonekano) wa simu za wana JF

    TAFADHALI ZINGATIA MADA HUSIKA NA UWEKE PICHA SAHIHI Natamani kuona home screens za simu za member wa JF zinaonekanaje.Una manage vipi home screen ya sim yako?unapangaje vitu au unaweka weka apps bila mpangilio kama jiko la bachelor unatumia theme gani,unatumia wallpapaper gani Pigeni screenshot...
  14. Ndengaso

    Tunaiomba jamii forums ndani ya kai ios

    Habari, leo nimenunua kitochi janja kiukweli kipo simple na kinacover mambo mengi compare na kitochi jinga cha nokia, ili nikifahamu vizuri ilibidi nimeweka smartphone langu kubwa kwenye droo na kwakweli sijalimiss sana..Ila Kwenye hili pilau pendwa kilichomiss ni jamiiforums app, ingependeza...
  15. M

    Wajanja wa Mac, come to my rescue

    My Macbook Pro doesnt boot, it keeps restarting, giving me a silly message that "Your computer restarted because of a problem. Press a key or wait a few seconds to continue" I have done all of the above but still it keeps restarting. Kama kuna mjanja ana solution naomba aniokoe.
  16. DEALFORREAL

    Nauza Samsung NX30 Camera with 18-55mm IOS + 50-200mm IOS + 30mm f/2.0 Pancake

    Nauza Samsung NX30 camera system . camera body ipo katika hali nzuri kabisa original box, CDs and camera strap. Na inauzwa pamoja na lens zake 3 kama unavyoonekana katita picha Samsung 18-55mm f/3.5-5.6 OIS III Samsung 50-200mm F4-5.6 ED OIS III Samsung 30 mm f/2.0 is pancake lens External...
Back
Top Bottom