iphone

  1. E

    Phone4Sale Nauza iPhone 11 Boxed

    Boxed iPhone 11 Plain 64GB ni 650,000/- 128GB ni 710,000/- Offer Price🤝 Fixed Price🤝 CALL/SMS/WHATSAPP 0683731404 MASASI NA Likoma
  2. W

    Phone4Sale Iphone X for sale

    Ina GB 64 Haina TT Haina Face Id Battery healthy 80% Mbezi magufuli
  3. Natumia Iphone 7 plus ila haifungui Social Media Mpaka Na Data

    Habarini. Natumia iphone 7 plus nikifungua whatsapp,Facebook,instagram,tiktok. Mpaka niwe na Data’ wakati iphone zingine hata kama hauna data zinafungua whatsapp,facebook,IG.
  4. P

    Phone4Sale Iphone 11 pro mac

    iphone 11 pro max Storage 64gb Face ipoo Bh 💯 Bei 700,000 (fixed 🙏) Ubungo Darajani 0️⃣7️⃣6️⃣9️⃣5️⃣0️⃣3️⃣9️⃣6️⃣8️⃣
  5. Nauza hii phone 13 Pro

    Apple Iphone 13 pro 128 GB •Face id✅ •Battery health 81 •Ina network lock(unaweza tumia •Gevey sim card au ukalipia deni ikawa unlocked) Simu Imetumika wiki moja tu tangu itoke nje ya nchi Price 950,000/= Kimara Dar es salaam 0757187238
  6. Iphone x 256gb kwa 250,000 tsh

    Wakuu habari Ninauza iphone x ina 256gb bei ni 250,000 tsh. Iphone x 256gb Battery 75% Goba dar es salaam 0628395636 - Direct call ama normal message
  7. Ipi simu bora kati ya iphone 12 pro na Samsung Galaxy A35 mwaka huu 2025?

    Leo nimeenda dukani kununua Galaxy A35 yenye storage ya 256 GB na kwa bahati mbaya sikuipata. Katika kuangaza macho nikaiona iphone 12 pro used ina battery health ya 86%. Nikavutiwa kuikagua na kweli bado ina vitu kadhaa vinavyovutia ila sikushawishika kuinunua hiyo pamoja na kuwa na bei sawa...
  8. P

    Phone4Sale Iphone X Tsh. 345,000/=

    Iphone X 🛑Storage 256Gb 🛑Clean 🛑True Tune✅ 🛑Face Id✅ 🔋BH 100% 💰Bei 345,000/= 📍Ubungo Darajani 0️⃣7️⃣6️⃣9️⃣5️⃣0️⃣3️⃣9️⃣6️⃣8️⃣
  9. Smartphone za Oppo na Vivo zipo underrated sana. Wana vyuma vina camera iPhone yoyote haiweki mguu!

    Tuache Xiaomi na Huawei, hao habari nyingine kabisa. Yaani sio Samsung wala Apple apo atasogeza flagship yake. Tuongelee hawa wawili, Oppo na Vivo. Ukiwachukulia poa utasema ni garbage nyingine kutoka kwa Mchina, ila aisee hawa jamaa wana flagship kali sana. Mfano: Vivo X100 Ultra, na Oppo...
  10. iphone 11 plain for sale

    Wakuu niko na iPhone 11 plain hapa naiuza, 128gb, Face id bado ipo Battery health now inasoma 73% Ina crake kidogo kioo cha nyuma,. Kama unahitaji hit my dm Asap! Kama uko Songea pia itapendeza zaidi, uje uione mwenyewe
  11. Camera ya iPhone

    Habari iPhone 12 imeingia Maji camera Hazipo Sawa na Face ID haisomi Msaada
  12. icloud ya iphone yangu imejaa sina hela ya kulipia kuna njia nyingine ya kupata space bila kulipia??

    wakuu nambieni Huu mwaka sitaki kulipa bills za ajabu ajabu.
  13. Nauza iphone X 64gb

    Iphone X 64gb Face ipo Battery 100 Power button haifanyi kazi 0743586474
  14. Siku hizi mwanamke kwenye gari na iphone hachomoki

    Sijui ni umaskini, ujinga, laana, au ni tamaa mbaya. Ijapokuwa sio wanawake wote, lakini asilimia kubwa ya wanawake (wengine ni Wake za watu) hawawezi kuwakataa kimapenzi wanaume wafuatao; 1. MWANAUME MWENYE GARI - Sikuhizi ni ngumu sana mwanamke kumkataa mwanaume mwenye gari, hata kama...
  15. iPhone ni Simu Pekee inayokuepusha na Wadakuzi au Kupelelezwa

  16. Indonesia imepiga marufuku uuzaji na matumizi ya iPhone 16 na Apple Watch Series 10

    Indonesia imepiga marufuku uuzaji na matumizi ya iPhone 16 na Apple Watch Series 10 kutoka Apple kutokana na kampuni hiyo kushindwa kutimiza ahadi za uwekezaji. Serikali ya Indonesia imesema kuwa Apple haijatekeleza ahadi zake za kifedha, jambo lililosababisha uamuzi huo. Kampuni hiyo ya...
  17. Watumiaji wa Iphone hiyo Space inamaana gani Au Inajazwaje?

    Msaada Kwenye Mshale Unajazaje Hiyo Nafasi
  18. *HII ISSUE YA GOOGLE PIXEL NA IPHONE IMEKAAJE?*

    Wadau, hivi hii IMEKAAJE ...Nina google pixel, nikiweka status video mtu mwenye iphone kwake haifunguki,na hata ukimtumia video haifunguki kwake. Tupeane ujuzi
  19. G

    Mnaoichukia Israel msitumie Iphone, Google, Window, n.k. makapuni makubwa ya kompyuta na mawasiliano hutegemea zaidi Israel kuwabunia bidhaa na huduma

    Nimeona kuna movements za ku boycott / kugomea bidhaa zenye uhusiano na Israel, nimepata wazo nije kuwasapoti wadau kwenye huu mgomo kwa kuwashauri muweke mkazo zaidi kukaa mbali kwenye simu na computer kwasababu bidhaa na huduma hizi nyingi wanaozibuni ni wayahudi wa Israel. China ndipo vilipo...
  20. Je, Apple wanadanganya kuwa stolen iPhone haiwezi kutumika tena?

    Mimi shabiki sana wa bidhaa za Apple hasa iMac,simu yao ya Kwanza kumiliki ni iPhone 3Gs mwaka 2010,tulikua tunapata changamoto ya kudownload apps ambazo hazipo Appstore kutokana na utundu nikajua ku jailbreak iPhone na ku install Cydia (3rd part store). Ilipotoka iPhone 5s ulinzi wa Apple...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…