iran vs israel

The relations between Iran and Israel are divided into four major phases: the ambivalent period from 1947 to 1953, the friendly period during the era of the Pahlavi dynasty from 1953 to 1979, the worsening period following the Iranian Revolution from 1979 to 1990, and the ongoing period of open hostility since the end of the Gulf War in 1991. In 1947, Iran was among 13 countries that voted against the United Nations Partition Plan for the British Mandate of Palestine. Two years later, Iran also voted against Israel's admission to the United Nations.
Iran was the second Muslim-majority country to recognize Israel as a sovereign state after Turkey. After the 1953 coup d'état, which reinstalled the pro-Western leader Mohammad Reza Pahlavi as the Shah of Iran, relations between the two countries significantly improved.
After the 1979 Islamic Revolution, Iran severed all diplomatic and commercial ties with Israel, and its theocratic government does not recognize the legitimacy of Israel as a state. The turn from cold peace to open hostility began in the early 1990s, shortly after the collapse of the Soviet Union and the defeat of Iraq in the Gulf War, after which relative power in the Middle East shifted to Iran and Israel. The conflict escalated in the early 1990s, as Yitzhak Rabin's government adopted a more aggressive posture on Iran. Rhetorical conflict heated up during the presidency of Mahmoud Ahmadinejad, who made inflammatory statements against Israel. Other factors that have contributed to the escalation of bilateral tensions include Iran's development of nuclear technology relative to Israel's long-stated Begin Doctrine, Iran's funding of Islamist groups such as Hezbollah, Palestinian Islamic Jihad and Hamas, as well as alleged involvement in terrorist attacks such as the 1992 attack on the Israeli embassy in Buenos Aires and the 1994 AMIA bombing, and Israel's alleged support for militant groups such as the People's Mujahedin of Iran and Jundallah as well as alleged covert Israeli operations in Iran including multiple assassinations and bombings.
Since 1985, Iran and Israel have been engaged in an ongoing proxy conflict that has greatly affected the geopolitics of the Middle East, and has included direct military confrontations between Iranian and Israeli organizations, such as in the 2006 Lebanon War. The conflict has played out in various ways, including through support for opposing factions in conflicts in Syria and Yemen. Iran has provided support to the Syrian government, while Israel has supported opposition groups. In Yemen, Iran has provided support to the Houthi rebels, while Israel has provided support to the Saudi-led coalition fighting the rebels. The conflict has also involved cyber attacks and sabotage against each other's infrastructure, including attacks on nuclear facilities and oil tankers. Overall, the Iran-Israel proxy conflict is a complex and ongoing conflict that has had a significant impact on the political and security dynamics of the Middle East.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Marubani wa kike walifanya shambulio la aibu na uharibifu mkubwa kwenye jamhuri ya kiislam ya Iran, kwanini Iran inasita kulipa kisasi?

    Mnamo Oktoba 1, 2024, Iran ililenga Israel kwa makombora 200, Ni mashambulizi makubwa lakini athari zilikuwa kidogo, Mabomu mengi yalikosa target yalitua nje ya mji, Mtu mmoja aliuawa ambae ni Mpalestina baada ya bomu kukosa target kwa kutua Palestina. Israel ikajibu October 26, hawakurusha...
  2. Sir John Roberts

    Iran Yajiandaa na Operation True Promise 3 kutekelezwa kabla ya Tarehe 5 November. Vyombo vya habari Nchini Israel vimeripoti

    Vyombo mbalimbali vya habari Nchini Israel na Iran vimeripoti hii Leo kuwa Iran inajiandaa kuishambulia Israel kwa makombora ya ballistic. Imeelezwa kuwa hii Leo Iran imehamisha makombora yake kuelekea magharibi mwa Iran kwaajili ya maandalizi ya kujibu mashambulio dhidi ya Israeli...
  3. Mlaleo

    Iran wawaambia Urusi kuwa ni wanafiki - Wamewaacha peke yao kwenye shida

    Kasheshe limeanza kueneza karibu nchi nzima kutowaamini Russia haswa wakati kama huu kuwa Russia sio kwamba anaweza kuwa bega kwa bega na Iran wakati wa Shida tu ila Russia hana uwezo pia wa kuwazuia Israel. Russia wakizidiwa na Ukraine wanakuja kwetu tunawasaidia Drone na maroketi, tumewaomba...
  4. Echolima1

    Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

    Israeli ilifanya mashambulizi makubwa dhidi ya Iran Jumamosi asubuhi, kama sehemu ya kisasi chake dhidi ya shambulio la kombora kutoka Tehran mapema mwezi huu. Shambulizi hilo kutoka kwa Iran linaibua hofu kwamba mzozo wa muda mrefu kati ya majeshi haya yenye nguvu unaweza kugeuka na kuwa vita...
  5. kimsboy

    Marekani inachunguza uvujaji wa taarifa za siri za kijasusi kuhusu mipango ya Israel ya kulipiza kisasi dhidi ya Iran

    Marekani inachunguza uvujaji wa taarifa za siri za kijasusi kuhusu mipango ya Israel ya kulipiza kisasi dhidi ya Iran, kulingana na watu watatu wanaofahamu suala hilo. Mmoja wa watu hao amethibitisha uhalali wa nyaraka hizo. Wameanza kutafuta mchawi,zingekua ni za Iran, Russia au China humu...
  6. U

    Inasikitisha Iran kuwafukuza raia milioni 2 wa Afghanistan waliokimbia utawala wa Taliban

    Wadau hamjamboni nyote? Huwezi amini lakini huo ndiyo ukweli Yaani kwa ndugu wavunja undugu kwa ndugu mmoja mwenye neema kumtimua nduguye mwenye shida Serikali ya Kiislamu ya Jamhuri ya Iran imeamua kuwatimua bila huruma Ndugu zao raia wa nchi inayofuata sheria za Kiislamu ya Afghanistan...
  7. D

    Hakuna nchi yenye uthubutu Dunia hii kama Iran. Wanajivunia nini?

    Sifichi, ile mara ya kwanza nasikia kuwa Iran kamshambulia Israel nilibisha sana na kuapa kabisa kuwa kamwe hawezi. Hana ujanja huo. Nilipotembelea vyombo vyA habari kujiridhisha na kukuta ni kweli kwamba missiles 180+ zimetoka Iran huko na kutua Israel nilibaki mdomo wazi kwa mshangao...
  8. M

    Mwenyezi Mungu huleta nusura yake kimaajabu- Huenda Ukombozi wa Wapalestina utapitia Iran

    Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema halali usingizi, na anaona kila kitu kinachoendelea katika matendo ya wanadamu. Katika nyakati mbalmbali katika historia ya mwanadamu Mwenyezi Mungu ametoa msaada na kunusuru wanaodhulumiwa pale ambapo usingetegemea. Binafsi naanza kufikiri kuwa Mapinduzi ya...
  9. Sodoku

    Viongozi watatu Wakuu wa Hezbollah waliouawa mpaka sasa, mmoja hajamaliza siku 5!

    Bado nakataa kuamini. Sitaki kabisa kuamini. Hivi ni kweli? Ama naota? inakuaje kuaje?haiingii akilini? Nadhani sasa Khayatollah ajishike vizuri. Hawa jamaa si watu wazuri. Akae kwa kutulia sana. Sisi tuliwategemea sana Hezbollah. Sasa tunashindwa kuelewa. Nini kinaendelea huko. Maana tulisema...
  10. State Propaganda

    Kuna kila viashiria Israel kufanya mashambulizi dhidi ya Iran leo Oktoba 4, 2024

    Kuna tetesi za kiintelijensia zisemazo kuwa utawala wa Kizayuni umepanga kufanya shambulio la makombora dhidi ya viongozi wa serikali ya Jamuuri ya Kiisalam wa Iran waoongozwa na Himam Ayatollah Khamenei leo ijumaa kwa kuwavizia wakiwa misikitini.
  11. Venus Star

    IRAN - "Victim Card Strategy" Inawaumiza Kichwa Wazungu na Wazayuni wa Israel

    Victim Card Strategy ni nini? Victim Card Strategy (mbinu ya kujifanya mwathirika) ni mbinu ambapo mtu au kundi la watu hujifanya kuwa waathirika wa hali fulani au mazingira, kwa lengo la kupata huruma, uungwaji mkono, au kuepuka lawama. KWA NINI IRAN HAIWEZI KUSHAMBULIWA NA MAREKANI NA...
  12. H

    Israel kuishambulia Iran leo usiku, Marekani yaja juu

    Kwa mujibu wa tovuti mbali mbali za kimataifa zimesema kuwa kuna uwezekano wa Israel KUISHAMBULIA IRAN leo usiku kama Kujibu shambulio la Iran la apo juzi. Inasemekana Israel tayari umeanza mipango ya kuishambulia Iran leo huku kukiwa na hofu ya Israel KUISHAMBULIA visima vya mafuta vya Iran...
  13. U

    Rais Biden wa Marekani asema hakuna chochote kitachotokea nchini Iran leo

    Wadau hamjamboni nyote? Rais wa Marekani joe Biden amesema kuwa siku ya leo hakutakuwa na kitu chochote kitakachotokea Iran ______ Biden says ‘nothing going to happen today’ in Iran WASHINGTON — US President Joe Biden says he did not believe any Israeli strikes against Iran would come today...
  14. Mathanzua

    Shambulio kubwa la makombora ya Iran liliharibu kituo cha ndege za kivita za F-35 cha Nevatim nchini Israel

    Ni wazi kuwa Iran ilishambulia makombora ya balistiki takriban 200 Jumanne jioni hii, kuelekea kwenye vituo vya kijeshi na kijasusi vya taifa la Israel kama shambulio la kulipiza kisasi lililoitwa Operesheni True Promise II. Shambulio hilo liliwasha king'ora katika maeneo yote ya Israeli na...
  15. MK254

    Rais wa Iran asema nchi yake haitaki kuwa sababu ya machafuko Mashariki ya Kati, raia wapanga foleni kununua bidhaa kwa hofu

    Marekani nayo imeiomba Israel isipige maeneo ya nyuklia. Huyu rais wa Iran angeyasema haya kabla hawajatuma makombora, japo yalipanguliwa yote kiasi cha kutomdhuru mtu yeyote Israel. Majibu yanakuja, muda wowote, raia wa Iran wanaweweseka kwenye mafoleni ya kusaka mafuta na bidhaa...
  16. G

    Kwa mara ya kwanza taifa mwanachama UN kumpiga Maarufuku Katibu wa UN , Alipaswa akemea uvamizi wa Iran kwa Israel, Hongera Israel no unafiki

    Katibu wa UN Kama kiongozi wa umoja wa mataifa yote alipaswa akemea hadharani uvamizi wa Iran nchini Israel. Ila naamini Israel wanaweka rekodi sawa ili siku akivamia Iran katibu wa UN usiingize mdomo Pia Israel inaendelea kutengeneza ushahidi wa kuonyesha anavyochokozwa na mataifa mengine na...
  17. Richard

    Israeli yapima namna ya kujibu mashambulizi yalofanywa na Iran jana, lakini kiuhalisia Israeli haina uwezo wa kushambulia Iran peke yake

    Baada ya Iran kutuma makombora ya Ballisctic jana kaskazini mwa Israeli na kuharibu baadhi ya miundombinu ikiwemo majengo ya idara ya ujasusi ya Mossad, Israeli imekuwa kimya ikifanya vikao vya kupanga namna ya kujibu mapigo. Kwa mujibu wa wachambuzi kadhaa wa masuala ya vita, Iran ilifanikiwa...
  18. Mi mi

    Tuwafahamu washirika muhimu wa Israel na Iran duniani

    Washirika muhimu wa haya mataifa mawili hasimu[ Israel na Iran ] hapo mashariki ya kati ambao wapo bega kwa bega nao katika ushirika muhimu wa kiuchumi, kiulinzi na kiushawishi leo tuwafahamu kidogo in case huu uhasimu ukizaa vita kubwa tegemea kuona kishindo kikubwa sana mashariki ya kati...
  19. mtwa mkulu

    Athari za mashambulizi ya makombola ya Iran dhidi ya Israel

    Sulbakheri Tehrani...Shkamooni Dar es salaam......Asalam aleykum Tehran, Baghdad na Syria... Mpaka jioni hii Kwa majira ya Africa Mashariki hakuna tunachoweza kuficha kuhusu athari zilizojitokeza kuhusiana na makombora yaliyofurushwa na iran. Iran ilirusha takribani makombora 180 kuelekea...
  20. Mindyou

    Urusi yatoa tamko zito baada ya Iran kushambulia Israel. Waitupia lawama Marekani!

    Urusi imeto lawama kali kwa Marekani, ikisema kuwa inahusika na mambo yanyoendelea kwa sasa huko Middle East. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi, Maria Zakharova, aliita sera yawa Rais Joe Biden huko Middle East kuwa imeshindwa kabisa. Zakharova alitoa kauli hiyo kupitia ujumbe wa...
Back
Top Bottom