israel na hamas

An armed conflict between Israel and Hamas-led Palestinian militant groups has been taking place chiefly in the Gaza Strip and southern Israel since 7 October 2023. The fifth war of the Gaza–Israel conflict since 2008, it has been the deadliest for Palestinians in the entire Israeli–Palestinian conflict, and the most significant military engagement in the region since the 1973 Yom Kippur War.
The war began when Hamas-led militant groups launched a surprise attack on Israel on 7 October, which involved a rocket barrage and a few thousand militants breaching the Gaza–Israel barrier and attacking Israeli civilian communities and military bases. During this attack, 1,139 Israelis and foreign nationals were killed, including 815 civilians. In addition, 251 Israelis and foreigners were taken captive into Gaza, with the stated goal to force Israel to release Palestinian prisoners. Hamas said its attack was in response to Israel's continued occupation, blockade of Gaza, and settlements expansion, as well as alleged threats to the Al-Aqsa Mosque and the plight of Palestinians. After clearing militants from its territory, Israel launched one of the most destructive bombing campaigns in modern history and invaded Gaza on 27 October with the stated objectives of destroying Hamas and freeing hostages.
Since the start of the Israeli operation, more than 39,000 Palestinians in Gaza have been killed, of whom 52% of identified were women and children. Israel's tightened blockade cut off basic necessities and attacks on infrastructure have caused healthcare collapse and an impending famine. By early 2024, Israeli forces had destroyed or damaged more than half of Gaza's houses, at least a third of its tree cover and farmland, most of its schools and universities, hundreds of cultural landmarks, and at least a dozen cemeteries. Nearly all of the strip's 2.3 million residents were forcibly displaced. Over 100,000 Israelis remain internally displaced.
The war continues to have significant regional and international repercussions. Large, primarily pro-Palestinian protests have taken place across the world, calling for a ceasefire. The International Court of Justice is reviewing a case accusing Israel of committing genocide in Gaza. The United States has given Israel extensive military aid and vetoed multiple UN Security Council ceasefire resolutions. Meanwhile, the Axis of Resistance has engaged, with its groups attacking American military bases in the Middle East; the Yemeni Houthi movement attacking commercial ships allegedly linked to Israel, incurring a US-led military response; and the ongoing exchange of strikes between Lebanon's Hezbollah and Israel risking the eruption of another full-scale war.

View More On Wikipedia.org
  1. U

    Mabasi matatu yaliyojaa mabomu yalipuka kwa wakati mmoja Tel Aviv, yalikuwa matupu na yamelipuka kabla ya wakati

    Wadau hamjamboni nyote? Mabasi matatu yalilipuka katika mji wa Bat Yam, kusini mwa Tel Aviv, katika tukio linaloshukiwa kuwa la kigaidi. Polisi wa Israeli waliofika katika tukio hilo wameeleza kuwa kuna vifaa vilivyokuwa kwenye mabasi mawili havikulipuka. Waziri wa Usafiri, Miri Regev...
  2. Jackal

    Rais Trump asitisha visa za wanafunzi wa kigeni walioandamana kuipinga Israeli baada ya mashambulizi ya kigaidi ya Oktoba 7,2022

    Rais wa Marekani, Donald Trump, alisaini agizo la kupambana na chuki dhidi ya Wayahudi na kuahidi kuwafukuza wanafunzi wa vyuo vikuu wasio raia pamoja na wengine waliokuwa sehemu ya maandamano ya kuunga mkono Palestina dhidi ya Israel. Agizo hilo kutoka kwa Trump lilisema kuwa Wizara ya Sheria...
  3. Webabu

    Hamas wavalia kombati mpya za kijeshi kukabidhi mateka. Kila mmoja kapewa begi na shahada

    Picha za wapiganaji wa Hamas wakati wa makabidhiano ya mateka zimetajwa kuwa ni ushahidi kuwa vita vya zaidi ya mwaka mmoja havikuwamaliza wapiganaji hao. Wakati huo huo video hizo zimewaudhi mno wahafidhina wa kiisrael akiwemo Ben Giver aliyewahi kupendekeza kutumika bomu la nyuklia kupambana...
  4. Eli Cohen

    Pongezi kwa Netanyahu kwa kusuasua kwa muda mrefu katika kufanya maridhiano ili ajipatie nafasi ya kuwakanda vilivyo hamas

    Hamas walitegemea watachapwa hata miezi 3 alafu UN na Iran waingilie kati wawaokoe ila kilichofatia ni miezi kadhaa ya kusaidiwa kwenda kugombaniana mabikra 72 huko waendapo.
  5. Eli Cohen

    Ukitoa ndoa za kileo, utapeli mkuu unaofata ni hamasa na vibaraka wao

    Mtoto mdogo kama huyu ananyimwa haki yake ya malezi bora yasiyokubikwa na asili ya ukanda, uadui, hofu na damu lakini too bad atalelewa na matapeli watakaomwambia kuwa wayahudi, wakristo na wazungu ndio adui yake mkubwa. Then, ataenda achokoze Israel, apewe kipondo, alafu ndugu zake wa bongo...
  6. U

    Marwan Barghouti: Kwanini mfungwa huyu anahusishwa na mpango wa amani wa Israel na Hamas?

    Barghoit anasadikiwa kuwa ndio Mandela wa Palestina. Habari kamili: Mwanasiasa wa Kipalestina, Marwan Barghouti, kiongozi wa vuguvugu la Fatah ambaye kwa sasa anazuiliwa katika jela ya Israel, ni mhusika mkuu katika makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Hamas. Katika mpango huo...
  7. Ritz

    Zoezi la kubadilishana mateka na wafungwa litaanza Jumapili saa 8:30 a.m. (06:30 GMT), kati Israel na Hamas

    Wanaukumbi. 🚨QATAR ANNOUNCES ISRAEL-HAMAS CEASEFIRE TO START SUNDAY A Qatari-brokered ceasefire will go into effect Sunday at 8:30 a.m. IST (06:30 GMT), with Israel and Hamas agreeing to a hostage-prisoner exchange. 33 Israeli hostages (women, children, and elderly) will be freed over 6 weeks...
  8. M

    Yemen yatangaza kusitisha operesheni za kijeshi dhidi ya Israel baada ya makubaliano ya HAMAS na Israel

    Serikali ya Yemen almaarfu Houthi imetangaza kusitisha operesheni zao za kijeshi dhidi ya Israel baada ya Israel kuingia makubaliano ya kusitisha vita na HAMAS. Wahouthi ambao waliiwekea Israel kizingiti (blockade) ili meli zake au zinazokwenda kwake zisipite, hivi karibuni imekuwa ikiipiga...
  9. Dalton elijah

    Israel Na Hamas Kusitisha Mapigano

    Masharti ya makubaliano kati ya Israel na Hamas kwa ajili ya kusitisha mapigano huko Gaza na kuachiliwa kwa mateka yanataraji kukamilika. Hatua hiyo inakuja wakati Rais wa Marekani Joe Biden akisema makubaliano yako ukingoni kutimia, na kwamba utawala wake unashughulikia suala hilo kwa haraka...
  10. M

    Gaza: Mpango wa amani kati ya Israel na Hamas uko karibu kufanikiwa

    Matumaini mapya ya kusitisha vita vya GAZA yaanza kuonekana mara baada ya Wapatanishi (Misri na Katari) kueleza kuwa, kundi la wapiganaji la HAMAS limebadili Msimamo wake wa awali wa kutotoa orodha ya mateka walioko hai mpaka sasa. Kundi la wapiganaji la HAMAS limekubali wanajeshi wa ISRAEL...
  11. ILAN RAMON

    Ripoti mpya yafichua shirika la UNRWA lilishirikiana na Hamas katika shughuli za kigaidi huko Gaza

    Ripoti mpya ya shirika la Israel, IMPACT-se, imefichua kuwa zaidi ya asilimia 10 ya wakuu wa shule na maafisa wa elimu waandamizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) katika Ukanda wa Gaza ni wanachama wa Hamas au Jihad ya Kiislamu ya Palestina. Uchunguzi...
  12. U

    Serikali ya Qatar yaiagiza kikundi cha kigaidi cha Hamas kufunga ofisi zake zilizoko Doha na kuondoka mara moja

    Wadau hamjamboni nyote? Hatimaye Hamas waagizwa kuondoka mara moja kutoka Qatar. Magaidi hao wamekuwa kikwazo kwenye mchakato wa kupatikana amani kwa kugomea mipango yote ya kusitisha mapigano pamoja kukataa kuwaachia mateka wanaowashikilia Uamuzi huo wa Qatar umetokana na ushauri wa Serikali...
  13. econonist

    Wapiganaji 100 wa Hamas wakamatwa na IDF

    Wapiganaji 100 wa Hamas wamekamatwa Leo na jeshi la Israel IDF. Kwa Sasa wapo Chini ya ulinzi. Haya yanatokea baada ya kuonekana wapiganiji wa Hamas wamo ndani ya Hospitali huko Gaza. Ndipo walipozungukwa na kuzidiwa mashambulizi na kuamua kussurender. Kwa Sasa wapo sehemu salama wanatoa...
  14. kimsboy

    Marekani inachunguza uvujaji wa taarifa za siri za kijasusi kuhusu mipango ya Israel ya kulipiza kisasi dhidi ya Iran

    Marekani inachunguza uvujaji wa taarifa za siri za kijasusi kuhusu mipango ya Israel ya kulipiza kisasi dhidi ya Iran, kulingana na watu watatu wanaofahamu suala hilo. Mmoja wa watu hao amethibitisha uhalali wa nyaraka hizo. Wameanza kutafuta mchawi,zingekua ni za Iran, Russia au China humu...
  15. Mindyou

    Video: Benjamin Netanyahu ajitokeza hadharani kibabe baada ya kuwepo na taarifa ya nyumba yake kushambuliwa na drone

    Wakuu, Kuna hii video inasambaa. Baada ya taarifa kutapaka mitandaoni kwamba nyumba ya Benjamin Netanyahu imeshambuliwa na drone kutoka kwa Hezbollah na kusababisha wengi kuhoji usalama wa kiongozi huyo, hatimaye simba huyo wa vita amejitokeza. Soma pia: Makazi ya Netanyahu yaliyopo Caesaria...
  16. G

    Nchi zilizoingia kushirikiana na Iran hazina tofauti na mtu anaecheza michezo ya kipumbavu matokeo ya mchezo huwa ni ya kipumbavu

    Nchi zilizoingia kushirikiana na Iran hazina tofauti na mtu anaecheza michezo ya kipumbavu na matokeo ya mchezo huwa ni ya kipumbavu. Lebanon, Yemen, Palestine, Syria, wanaendelea kupata matokeo ya kipumbavu, hakuna future kwenye hizi nchi zilizowahi kuwa na nuru hapo miaka ya nyuma. Iran...
  17. U

    Netanyahu sasa imetosha, uwafanyie wepesi ndugu zetu wa Palestina, naamini wameshajifunza na hivyo hawatorudia tena kufanya makosa

    Wadau hamjamboni nyote? Naomba sote kwa nguvu moja bila kujali itikadi zetu mniunge mkono ninapoa. WITO kwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyau awaonee huruma ndugu zetu wa Mashariki ya kati na hivyo asitishe vita. Netanyau hao ndugu zetu ni wanyonge kwako na hakuna namna wanaweza kushindana nawe...
  18. green rajab

    Israel wanaendelea kushambulia makanisa huko Lebanon

    Wanamgambo wa Israel wanaendelea kuonesha chuki zao kwa kuvamia makanisa ya kuyabomoa huko Lebanon 🚨🇮🇱🇱🇧 BREAKING: ISRAEL just BOMBED another Christian Church in Lebanon. How could any Christian support these satanic terrorists?
  19. Satirical Yet Awesome

    Hizbollah waomba Ceasefire

    BREAKING 🚨🚨 Hezbollah’s Desperation: Unconditional Ceasefire Plea Naim Kassem, Nasrallah’s former deputy, admitted Hezbollah’s military distress by calling for an unconditional ceasefire. He demanded Israel halt its fire first, with details to be discussed later, a move Israel may resist. "We...
  20. kimsboy

    Israel washambulia Total Energies za Mfaransa

    Israel kuonyesha kuchanganyikiwa washambulia Total Energies za mfaransa. Katika kuonyesha kuchanganyikiwa Israel wameshambilia ofisi, maghala, na Sheli za kampuni ya Total Energies za mfaransa huko Beirut Lebanon. Hii inajiri baada ya Macron kutangaza hawatowapa Israel silaha tena na kuzitaka...
Back
Top Bottom