Naona kabisa kumekuwa na mpasuko nchini kuna ambao wameamua kushabikia au kuunga mkono Hamas na Hezbollah na wengine ambao wanaunga mkono Israel.
Huu mpasuko si mzuri kwa nchi. Inabidi kuangalia namna ambavyo Rais wetu anaweza kuwakutanisha hawa watu akawapatisha. Sababu ni rais anayesikilizwa...
Wadau hamjamboni nyote?
Kiongozi mwingine Hamas amejeruhiwa vibaya na kombora la drone za IDF Leo huko Lebanon
Unajua kilichotokea?
Drone za IDF zilipiga na kulipua gari lake wakati gaidi huyo akitokea ndani ya nyumba yake kuelekea kwenye gari lake
Sijui ni Mungu wake kamuokoa?
Sijui IDF...
Kichapo kinaendelea, Israel yamuua MOHAMED DEIF. Huyu bwana ndio yule alosifiwa siku Kadhaa humu JF na wale jamaa!
=============
JERUSALEM (AP) — The Israeli military said Thursday that it has confirmed that the head of Hamas’ military wing, Mohammed Deif, was killed in an airstrike in Gaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.