israel na hamas

  1. Sodoku

    Ili kuleta Umoja nchini Tanzania nashauri Mh. Rais awakutanishe Israel na Hamas na Hezbollah kuwapatanisha.

    Naona kabisa kumekuwa na mpasuko nchini kuna ambao wameamua kushabikia au kuunga mkono Hamas na Hezbollah na wengine ambao wanaunga mkono Israel. Huu mpasuko si mzuri kwa nchi. Inabidi kuangalia namna ambavyo Rais wetu anaweza kuwakutanisha hawa watu akawapatisha. Sababu ni rais anayesikilizwa...
  2. U

    Kiongozi Hamas ajeruhiwa vibaya, gari lake lasambaratishwa na drone za IDF akitokea ndani ya nyumba yake akielekea kupanda gari lake

    Wadau hamjamboni nyote? Kiongozi mwingine Hamas amejeruhiwa vibaya na kombora la drone za IDF Leo huko Lebanon Unajua kilichotokea? Drone za IDF zilipiga na kulipua gari lake wakati gaidi huyo akitokea ndani ya nyumba yake kuelekea kwenye gari lake Sijui ni Mungu wake kamuokoa? Sijui IDF...
  3. Carlos The Jackal

    Israel yathibitisha kumuua Mohamed Deif, kiongozi wa kijeshi wa HAMAS

    Kichapo kinaendelea, Israel yamuua MOHAMED DEIF. Huyu bwana ndio yule alosifiwa siku Kadhaa humu JF na wale jamaa! ============= JERUSALEM (AP) — The Israeli military said Thursday that it has confirmed that the head of Hamas’ military wing, Mohammed Deif, was killed in an airstrike in Gaza...
Back
Top Bottom