israeli

Israeli Jews or Jewish Israelis (Hebrew: יהודים ישראלים, romanized: Yehudim Yisre'elim) are Israeli citizens and nationals who are Jewish through either their Jewish ethnicity and/or their adherence to Judaism. The term also includes the descendants of Jewish Israelis who have emigrated and settled outside of the State of Israel, where they are predominantly found in the Western world. The overwhelming majority of Israeli Jews speak Hebrew, a Semitic language, as their native tongue.
Israeli Jews trace their origins back to the ancient Israelites and Hebrews, and, as a population, are a least partially descended from ancient Middle Eastern Semitic populations. The Jewish population in Israel comprises all of the communities of the Jewish diaspora, including Ashkenazi Jews, Sephardi Jews, Mizrahi Jews, Beta Israel, Cochin Jews, Bene Israel, Karaite Jews, and many other groups. The Israeli Jewish community manifests a wide range of Jewish cultural traditions and encompasses the full spectrum of religious observance ranging from the Haredim, who observe Orthodox Judaism, to the Hilonim, who maintain a secular Jewish lifestyle. Among Israel's Jewish population, over 25 percent of schoolchildren and over 35 percent of all newborns are of mixed Ashkenazi and Sephardi/Mizrahi descent, and these figures have been increasing by approximately 0.5 percent annually. Over 50 percent of the entire Israeli Jewish population is of at least partial Sephardi/Mizrahi descent.Despite the ongoing debate over the question of determining Jewish identity among Israeli Jews, the Jewish status of a person, which is considered a matter of nationality by the Israeli government, is registered and controlled by the Israeli Interior Ministry, which requires a person to meet the Halakhic definition to be registered as a Jew. In a December 2017 estimate by the Israel Central Bureau of Statistics, the Israeli Jewish population stood at around 6,556,000 people, comprising 74.6 percent of the total population of Israel (if the Arab populations in East Jerusalem and the Golan Heights are included).A 2008 study by the Israel Democracy Institute shows that a plurality of Israeli Jews (47 percent) identify as Jews first and as Israelis second, and that only 39 percent consider themselves to be Israelis first and foremost.Jews living in the Holy Land prior to the establishment of the State of Israel in 1948 were commonly referred to in English as "Palestinian Jews" (in reference to the Palestine region and its British Mandate) and in Hebrew as HaYishuv HaYehudi Be'Eretz Yisra'el (lit. 'The Jewish Community in the Land of Israel').

View More On Wikipedia.org
  1. GENTAMYCINE

    Wakatoliki wenzagu tumeshaanza kuyaandaa Machozi, kwani Mimi sipendi Unafiki na Kufichaficha nadhani Israeli hatomuacha Mtu huko Vatican

    Kama Ulaya ndiko kuna Kila Kitu cha Kumzuia Israeli asikibonyeze Kitufe, ila wameshindwa je, kuna sababu ya Kufichana?
  2. george aloyce

    Hii ndio sababu kuu vita haitakuja kuisha Palestina vs Israeli

    MGOGORO PALESTINA, ISRAEL: UTAKATIFU JERUSALEM KIKWAZO CHA AMANI KISIASA na kihistoria kwa marejeo ya miaka 500 hadi milenia moja iliyopita, Israel ni wavamizi, waliingia kwenye miliki ya Palestina na kuunda taifa lao ndani ya ardhi ya Wapalestina. Miaka 76 iliyopita (mwaka 1947), hakukuwa na...
  3. A

    Israeli inatorosha madini kutoka Congo kupitia Rwanda

    Inaonekana hata Rais Kagame angetamani hii migogoro iishe ila ni kama kuna shinikizo kubwa sana ambalo hata yeye anashindwa kulimudu. https://x.com/Sentletse/status/1885081658363203707?s=19
  4. M

    Nani wa kuisimamisha Israeli kwa huu ubabe anao onesha Mashariki ya kati?

    Tangu October 7 2023 tumeshuhudia vurugu za kijeshi za Israeli kujibu unyama waliofanyiwa na Hamasi,idadi kubwa ya raia wakiuwawa na kuteseka kutokana na mapigano kati ya Israel na Hamas Lebanoni pia mapigano kati ya Hezbollah na Israel yameleta maafa makumbwa Serikali ya mapinduzibua Irani...
  5. Z

    Papa Francis asema kinachoendela huko Gaza sio vita bali ni ukatili unaofanywa na Israeli dhidi ya watoto

    Papa Francis alaani vikali kinacho iendela huko Gaza na kuilamu Israeli kwa ukatili wanao ufanya dhidi ya watoto. Amesema kinacho fanywa na Israeli sio vita bali ni ukatili dhidi ya watoto, amesema jambo hilo linamuumiza sana roho yake kuona kila kukicha watoto wanauliwa kwa makombora ya...
  6. Yoda

    Wakristo wanaoilaani na kuishambulia Israeli taifa teule wamepotoka?

    Ni sahihi kwa Mkristo kuipinga, kuibagaza, kuilaani na kushambulia taifa teule la Israel wakati Biblia imejaa maandiko tele yanayoonyesha Israel ni taifa teule ambalo ukilibariki na wewe utabarikiwa ? Mkristo kuilaani Israel sio kwenda kinyume na maandiko yanayomuongoza pamoja na viongozi wake...
  7. R

    Wajue Wazelote, magaidi wa Kiisraeli waliotamalaki enzi zile za Yesu, husemekana kuwa ndio kundi la kwanza la magaidi duniani

    Kaskazini mwa nchi ya Israeli, kwenye miteremko ya milima ya Golani, (Golan Heights) ndani ya kijiji kiitwacho Gamala, katika jimbo la Galilaya, alizaliwa kijana mmoja aliyepewa jina la Yuda. Kijana Yuda alikuja kuwa mtu msumbufu nzima ya Israeli! Kipindi hicho Waisraeli walikuwa wakipitia...
  8. M

    Inasemekana Asad alikuwa anaisaidia Israeli kuwashambulia Iran na Hesbolah nchini kwake alipokuwa madarakani

    Wanajamii waswahili walisema kikulacho kimo nguoni mwako, usemi huu umedhihirika baada nyaraka kuvuja zikionyesha utawala wa aliyekuwa rais wa Syria Asad alikiuwa akishirikiana na serikali ya Israeli kuwabonda Iran na Hesbolah Kama mtakumbuka ndege za Isreli zilikuwa zinashinda zikipiga...
  9. Jackwillpower

    Israel imefanya la kustajaabisha huko Syria

    Israeli imefanya la kustajaabisha huko Syria Imeshambulia ngome (bezi) za Syria kwa 80% kwa mashambulizi 250 ambayo yameharibu meli, ndege, vifaru na maghala yote ya makombora na silaha zilizokuwa zinatumiwa na Assad, Hezbollah na Iran kwa kile ilichokiita kuzuia silaha hizo zisiangukie...
  10. E

    Israeli military attacked more than 250 targets in Syria: Report

    An Israeli security source tells local media that the country’s military has carried out “one of the largest attack operations in the history of its air force” in Syria following al-Assad’s removal. The unnamed source told the state-funded Israeli Army Radio that “more than 250 military targets...
  11. G

    Jeshi la Israeli limechukua udhibiti wa kilele cha Mlima Hermoni upande wa Syria bila pingamizi, eneo la kimkakati linalotazama Lebanon na Syria

    Ni eneo la kimakati lililowaumiza Israel vichwa kwa muda mrefu, kilele cha mlima Hermon kiliwapa advantage kubwa Syria na Hezbollah kuichunguza na kuishambulia Israel. Israel imetwaa eneo hili bila pingamizi katika kile kinachodhaniwa "hakuna kitu cha Bure", Israel waliweza kutoa msaada mkubwa...
  12. Yoda

    Kwa nini Netanyahu tu ndio analaumiwa Israel huku Rais wao akiachwa? Kwa nini ICC haijamtaka Rais ambaye ni mkuu wa nchi Israel?

    Tangu vita vya Israel na Hamas vianze anayesemewa kwa mabaya yote ni waziri mkuu tu wa Israel Benjamin Netanyahu wakati Israel wana Rais ambaye anasaini kila kitu! Kwa nini Rais wa Israel amenyamaziwa katika shutuma inazotupiwa Israel kuhusu utendaji wa jeshi lake dhidi ya Hamas wakati yeye...
  13. R

    Hawa Hamas wanaopigana dhidi ya Israeli ni kina nani hasa?

    Tupate elimu kidogo wana JF: Hamas ni chama cha siasa ambacho kinatawala ukanda wa Gaza. Ingawa ni chama, lakini pia Hamas ni kundi la wanamgambo wenye silaha mfano wa jeshi. Hamas ni ufupisho wa maneno Harakat al-Muqawama al-Islamiyya ambapo kwa Kiswahili ni Vuguguvu la Upinzani la Kiislamu...
  14. R

    Untold Story: Mjue Simon Magus, mchawi tishio kutoka Israel aliyekaribia kuufuta Ukristo Duniani

    Miaka ile Yesu anazaliwa, kulikuwa na kijiji kimoja kiitwacho Gitta, kilichopo ndani ya Samaria, hapo hapo nchini Israeli. Katika kijiji hicho, alizaliwa kijana mmoja, ambaye twaweza kusema alikuja kuwa adui hatari zaidi kuwahi kutokea katika historia nzima ya Ukristo. Tunathubutu kusema...
  15. R

    Hivi ndivyo Israel walivyomuua Hassan Nasrallah, simba aliyeisuka Hezbollah kwa miaka 30

    Ijumaa ya tarehe 27 September 2024, katikati ya makao makuu ya Hezbollah yaliyopo kwenye mtaa uitwao Danieh kwenye viunga vya jiji la Beirut nchini Lebanon: Kikao cha kimkakati kilikuwa kikiendelea katika chumba kilicho ardhini kwenye handaki mahali hapo. Chumba hiki kilikuwa chini umbali wa...
  16. Kiminyio 01

    Israeli kusitisha mapigano na Hezbollah, je ni hatua ya Israeli kujiimarisha zaidi au ni mbinu na mkakati wa kumfifisha Iran?

    Israel kupitia Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu imetangaza kukubali kusitisha mapigano dhidi ya kundi la Hezbollah la Lebanon, hatua inayodhaniwa kumaliza vita hivyo vilivyodumu ndani ya mwaka mmoja na kuua takriban watu 3,800. Rais Joe Biden ametangaza kuwa Marekani imesaidia kufanikisha...
  17. dem boy

    Israeli-Gaza war: Zaidi ya wanajeshi 6 wa Israeli wajiua huku maelfu wakumbwa na matatizo ya afya ya akili

    Katika hali ya kushangaza,jamaa wakiwa full-combated huku wakiwa wamejibebesha kila aina ya vifaa vya kisasa juu ya miili yao kuwasaidia kwenye battle ground dhidi ya Hamas,hapo ni baada ya jets na tanks za kisasa kusasfisha njia ili kuweka mteremko zaidi lakini mambo yamekuwa si mambo kwa...
  18. Ritz

    Eneo la 7.7-decare kwenye Mlima Herzl litahamishiwa kwa Wizara ya Ulinzi ya Israeli ili kutoa mahali pa kuwazika wanajeshi wa Israeli waliokufa

    Wanaukumbi. Redio ya Jeshi la Israeli: Eneo la 7.7-decare kwenye Mlima Herzl litahamishiwa kwa Wizara ya Ulinzi ya Israeli ili kutoa mahali pa kuwazika wanajeshi wa Israeli waliokufa.. ========================= Israeli Army Radio: A 7.7-decare area on Mount Herzl will be transferred to the...
  19. Ritz

    CNN imeripoti kwamba wanajeshi wa Israeli wanaorejea kutoka Gaza "wanakumbwa na kujiua"

    Wanaukumbi. CNN imeripoti kwamba wanajeshi wa Israeli wanaorejea kutoka Gaza "wanakumbwa na kujiua." Kuongezeka kwa viwango vya kujitoa mhanga miongoni mwa wanajeshi hao kunaonyesha hali mbaya ya kisaikolojia inayowapata wale waliohusika katika mauaji ya kimbari yanayoendelea Gaza. Wachinjaji...
  20. matunduizi

    Israeli ni Wakristo waliozaliwa mara ya pili, sio wale jamaa pale Middle East

    Wagalatia 3:28 ,29 Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala huru. Hapana mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu. Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi. Ni hayo tu. Mfano mimi sio mmatumbi kimsingi ni...
Back
Top Bottom