israeli

Israeli Jews or Jewish Israelis (Hebrew: יהודים ישראלים, romanized: Yehudim Yisre'elim) are Israeli citizens and nationals who are Jewish through either their Jewish ethnicity and/or their adherence to Judaism. The term also includes the descendants of Jewish Israelis who have emigrated and settled outside of the State of Israel, where they are predominantly found in the Western world. The overwhelming majority of Israeli Jews speak Hebrew, a Semitic language, as their native tongue.
Israeli Jews trace their origins back to the ancient Israelites and Hebrews, and, as a population, are a least partially descended from ancient Middle Eastern Semitic populations. The Jewish population in Israel comprises all of the communities of the Jewish diaspora, including Ashkenazi Jews, Sephardi Jews, Mizrahi Jews, Beta Israel, Cochin Jews, Bene Israel, Karaite Jews, and many other groups. The Israeli Jewish community manifests a wide range of Jewish cultural traditions and encompasses the full spectrum of religious observance ranging from the Haredim, who observe Orthodox Judaism, to the Hilonim, who maintain a secular Jewish lifestyle. Among Israel's Jewish population, over 25 percent of schoolchildren and over 35 percent of all newborns are of mixed Ashkenazi and Sephardi/Mizrahi descent, and these figures have been increasing by approximately 0.5 percent annually. Over 50 percent of the entire Israeli Jewish population is of at least partial Sephardi/Mizrahi descent.Despite the ongoing debate over the question of determining Jewish identity among Israeli Jews, the Jewish status of a person, which is considered a matter of nationality by the Israeli government, is registered and controlled by the Israeli Interior Ministry, which requires a person to meet the Halakhic definition to be registered as a Jew. In a December 2017 estimate by the Israel Central Bureau of Statistics, the Israeli Jewish population stood at around 6,556,000 people, comprising 74.6 percent of the total population of Israel (if the Arab populations in East Jerusalem and the Golan Heights are included).A 2008 study by the Israel Democracy Institute shows that a plurality of Israeli Jews (47 percent) identify as Jews first and as Israelis second, and that only 39 percent consider themselves to be Israelis first and foremost.Jews living in the Holy Land prior to the establishment of the State of Israel in 1948 were commonly referred to in English as "Palestinian Jews" (in reference to the Palestine region and its British Mandate) and in Hebrew as HaYishuv HaYehudi Be'Eretz Yisra'el (lit. 'The Jewish Community in the Land of Israel').

View More On Wikipedia.org
  1. Ritz

    IDF yathibitisha kuwaua watekwa wake 3 wa Israeli

    Wanaukumbi. Jeshi la Israel limethibitisha kwa mara ya kwanza habari zilizoripotiwa na Channel 12: mateka Ron Sherman, Nick Beizer, na Elia Toledano waliuawa kutokana na mashambulizi ya 'IDF'.-Kiebrania Ch.12 NETENYAHU kachanganyikiwa atawamaliza Mateka wake ambao alijitapa anaenda Rafah...
  2. Mhafidhina07

    Taifa la Israeli linaweza kuwa Taifa la Manabii/Mungu au ndiyo fununu za kufubaza akili za watu kuhusu dini?

    Wakati nasoma O level nimeshuhudia kwa maandishi kuwa kunabiashara inaitwa Triangular Trade ni biashara inayohusisha mabara 3,moja ya bidhaa muhimu ni Watumwa kutoka Afrika siwezi kushangaa Taifa la Marekani kuwa na mchanganyiko wa Rangi. Wakati najiribu kuangalia kwa ukaribu uwepo wa Taifa...
  3. Ritz

    Kati ya zaidi ya raia 100 ambao Israeli iliwaua bila huruma, waliwachagua 19 na kwa uwongo walidai kuwa ni wanachama wa Hamas.

    Wanaukumbi. Kati ya zaidi ya raia 100 ambao Israeli iliwaua bila huruma, waliwachagua 19 na kwa uwongo walidai kuwa ni wanachama wa Hamas. Wanne kati yao walitoka kwa familia ya Jaabari, ambao mimi binafsi nawajua—hawakuwahi kujihusisha na shughuli zozote za kisiasa au kijeshi. Mwingine alikuwa...
  4. Baba Dayana

    Ni adhabu tosha kwa Israeli

    Kiongozi wa Hizbullah Nasrallah: Kusubiri wiki moja kwa Israeli shambulio la Iran ni sehemu ya adhabu Israeli hana ubabe tena ni mwoga na hajui atafanya nini endapo US ataacha kumpa msaada
  5. Webabu

    Unadhani ni kipi bora Iran ifanye ili ipate ushindi na kutoa funzo kwa Israel?

    Marekani ilisema Iran ingeaanza kujibu mauwaji ya Ismael Haniye masaa 72 baada ya tamko la Ayatollah Khamenei kwamba wataipiga Israel moja kwa moja. Kwa kujua Israel ina silaha bora na inasaidiwa na mataifa makubwa ikiwemo Marekani.Kwa namna gani unafikiri Iran itaweza kuingia vitani kuwatetea...
  6. GENTAMYCINE

    Kwahiyo Lebanon wanaowahifadhi Magaidi wa Hezbollah Kuishambulia Israeli walikuwa wanasubiri Kiongozi wao Auliwe leo ndiyo waseme hawataki Vita?

    BBC: Lebanon yasema haitaki Vita kwa sasa Kudadadeki zao waambieni Israeli ndiyo Kwanza imeanza Kazi na leo Netanyahu kasema Vita ndiyo imeanza rasmi.
  7. Ritz

    🇮🇱 Familia za wahasiriwa huko Majdal Shams huko Golan huwafukuza mawaziri wa serikali ya Israeli kutoka eneo la mazishi la waliokufa, akiwemo Smotric

    Wanaukumbi. Familia za wahasiriwa huko Majdal Shams huko Golan huwafukuza mawaziri wa serikali ya Israeli kutoka eneo la mazishi la waliokufa, akiwemo Smotrich baada ya kubainika kuwa kombora lililoanguka kutoka Iron Dome liliua raia. Baada shambulio Serikali ya Israel walitoa tamko kwa...
  8. Jackal

    Mpaka sasa Israeli imeua nusu ya Makamanda wa Hezbollah huko Kusini mwa Lebanon

    Israel has killed 450 Hezbollah terrorists since outbreak of fighting after October 7th, including half of the Lebanese terror group’s officers on the front. --- IDF has killed half of Hezbollah commanders on Israeli border, says Defense Minister Israel has killed 450 Hezbollah terrorists since...
  9. Kiminyio 01

    Yaliyojiri Mashariki ya kati

    The Israeli occupation army is moving its troops to the Lebanese border ahead of an increasingly likely ground invasion of southern Lebanon.
  10. Ritz

    Kiongozi wa Hezbollah Nasrallah: "Ikiwa Cyprus itafungua viwanja vyake vya ndege kwa ndege za kivita za Israeli, tutashambulia Cyprus pia"

    Wanaukumbi. BREAKING: 🇱🇧🇨🇾🇮🇱 Kiongozi wa Hezbollah Nasrallah: "Ikiwa Cyprus itafungua viwanja vyake vya ndege kwa ndege za kivita za Israeli, tutashambulia Cyprus pia" Sehemu muhimu zaidi za hotuba yake ya leo: - Tuna intel kwamba Jeshi la Anga la Israeli linafanya mazoezi huko Kupro...
  11. Ritz

    Hamas warusha makombora Tel Aviv, Israel wapagawa

    Wanaukumbi. Wiki hii nzima Israeli imeteseka L baada ya L; kidiplomasia, kisiasa na kisheria - na sasa: jana askari wao walitekwa kama POWs, na leo Hamas inaonyesha uwezo wao wa kijeshi haujashushwa, kiasi kwamba wameweza kufyatua risasi huko Tel Aviv. Nentanyahu na wenzake wanasema wananenda...
  12. M

    Israeli SI taifa teule TENA. (Fact)

    Habari za muda! Kwa mujibu wa maandiko, Mungu alilichagua taifa la Israeli kama taifa lake teule, akilipa amri zake kwa njia ya maagano, ili wazifuate na wasiziasi. Pamoja na hayo, Israeli waliasi mara nyingi. Bado Mungu alikuwa na imani nao, akawapelekea agano tena kupitia Yesu Kristo, bado...
  13. Sir John Roberts

    Marekani yakiri Israeli hawezi kuishinda Hamas kwa kuvamia eneo la Rafah

    Katika hali inayoonesha kuwa ngoma hii ni ngumu Msemaji wa ikulu ya Rais wa marekani John Kirby leo ameeleza wazi kuwa kitendo cha IDF kuingia katika mji wa Rafah kitasababisha Wanamgambo wa Hamas kuwa imara zaidi na kukwamisha mazungumzo ya usitishwaji Vita huko Gaza. Israeli imesema kuwa...
  14. Sir John Roberts

    Marekani yazuia silaha kwenda Israeli. Ni vilio kila kona kwa wanasiasa wa Marekani wanaofadhiliwa na Taasisi ya AIPAC

    Rais Joe Biden ametoa msimamo wake kuwa Marekani haitakuwa tayari kupeleka silaha Israel endapo Israel itaendelea na mpango wake wa kuvamia eneo la Rafah huko Gaza. Tamko hili limemtoa nyoka pangoni ambapo imedhihirika bayana kuwa wabunge wengi wamepinga jambo hilo huku ikibainika kuwa wabunge...
  15. Ritz

    Hamas: Tunawashikilia maafisa 30 wa Israeli "Mahali salama

    Wanakumbi. 🚨🇮🇱🇵🇸HAMAS: TUNAWASHIKILIA MAAFISA 30 WA ISRAELI "MAHALI SALAMA" Madai yao yameibua wasiwasi kwamba baadhi ya mateka huenda walisafirishwa kutoka Gaza hadi Sinai nchini Misri ili kuzuia kuachiliwa kwao wakati wa mashambulizi ya ardhini ya Israel huko Rafah. Hamas pia walisema...
  16. GENTAMYCINE

    Samahani nauliza tu je, na Helikopta za Wengine nazo ziko salama kwani Israeli sasa kabadili Formula ananyakua Juu kwa Juu tu

    Kuna moja sijui kama bado ipo pale EAC Block kila ikiruka ni lazima ikate Kwanza Kiuno kidogo na Kupinda ili ipate Mwelekeo. Na hata ikiwa inatua ni lazima Boza la Maji liwe Jirani ili Kuipoza. Na nasikia kuna wakati huwa inatumiwa sana na Baba, Mama, Mpaka Supa Blaki na Sura Ngumu Funga Buti...
  17. Sir John Roberts

    Iran hii jeuri ya kupitisha mizinga juu ya Bunge la Israeli "Knesset" anaitoa wapi?

    Nimeshangazwa sana na uwezo wa Iran kurusha makombora juu ya Bunge la Israeli "Knesset". Tumezowea Hamas na Hezbollah hata wakipiga rocket tutasikia maeneo ya mipakani huko na miji ya pembezoni .sehemu nyeti kama hizo huwezi kusikia rocket au bomu limepita. Iran katuacha vinywa wazi jumamosi...
  18. B

    Irani na Israeli wana Undugu usioyumba, Makombora 300 ya Irani naona kama ni Propaganda

    Nimewaza Vita ya Irani na Israeli na Kituko cha Mizinga 300 kutoleta Athari Kwenye Ardhi ya Israeli. Inawezekanaje Siraha hevy za moto zaidi ya 300? Sio kwamba Irani na Israel wana lao moja? Hawa Wayahudi na Waajemi wan Undugu wa Kiroho Tangu zamani. Nikurudishe nyuma kidogo. Mambo mema...
  19. Nsanzagee

    Alichokifanya Israel ni dharau dhidi ya Iran. Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi kule Israeli

    Kwamba, mabomu yote yale aliyofyatua Irani, hayajafanya chochote? Israel kamfanyia dharau Irani Siku zote Irani huamini kwamba, Israel ni mnyonge wake, hawezi na hatoweza kumpiga miaka milele Iran ukimwangalia, ni kama amejiweka kwenye nafasi za USA huko na siyo nchi kama Israel na kwamba...
  20. I

    Maprofesa kumi na wanne wa Israeli walitunukiwa tuzo za juu za utafiti wa EU

    Watafiti kumi na wanne kutoka vyuo vikuu vya Israel wametunukiwa tuzo za Hali ya Juu na Baraza la Utafiti la Ulaya (ERC), ilitangazwa Alhamisi. Tuzo za utafiti zinazofadhiliwa na EU kila moja ina thamani ya takriban euro milioni 2.5 (dola milioni 2.68), iliyotolewa kwa miaka mitano, na euro...
Back
Top Bottom