israeli

Israeli Jews or Jewish Israelis (Hebrew: יהודים ישראלים, romanized: Yehudim Yisre'elim) are Israeli citizens and nationals who are Jewish through either their Jewish ethnicity and/or their adherence to Judaism. The term also includes the descendants of Jewish Israelis who have emigrated and settled outside of the State of Israel, where they are predominantly found in the Western world. The overwhelming majority of Israeli Jews speak Hebrew, a Semitic language, as their native tongue.
Israeli Jews trace their origins back to the ancient Israelites and Hebrews, and, as a population, are a least partially descended from ancient Middle Eastern Semitic populations. The Jewish population in Israel comprises all of the communities of the Jewish diaspora, including Ashkenazi Jews, Sephardi Jews, Mizrahi Jews, Beta Israel, Cochin Jews, Bene Israel, Karaite Jews, and many other groups. The Israeli Jewish community manifests a wide range of Jewish cultural traditions and encompasses the full spectrum of religious observance ranging from the Haredim, who observe Orthodox Judaism, to the Hilonim, who maintain a secular Jewish lifestyle. Among Israel's Jewish population, over 25 percent of schoolchildren and over 35 percent of all newborns are of mixed Ashkenazi and Sephardi/Mizrahi descent, and these figures have been increasing by approximately 0.5 percent annually. Over 50 percent of the entire Israeli Jewish population is of at least partial Sephardi/Mizrahi descent.Despite the ongoing debate over the question of determining Jewish identity among Israeli Jews, the Jewish status of a person, which is considered a matter of nationality by the Israeli government, is registered and controlled by the Israeli Interior Ministry, which requires a person to meet the Halakhic definition to be registered as a Jew. In a December 2017 estimate by the Israel Central Bureau of Statistics, the Israeli Jewish population stood at around 6,556,000 people, comprising 74.6 percent of the total population of Israel (if the Arab populations in East Jerusalem and the Golan Heights are included).A 2008 study by the Israel Democracy Institute shows that a plurality of Israeli Jews (47 percent) identify as Jews first and as Israelis second, and that only 39 percent consider themselves to be Israelis first and foremost.Jews living in the Holy Land prior to the establishment of the State of Israel in 1948 were commonly referred to in English as "Palestinian Jews" (in reference to the Palestine region and its British Mandate) and in Hebrew as HaYishuv HaYehudi Be'Eretz Yisra'el (lit. 'The Jewish Community in the Land of Israel').

View More On Wikipedia.org
  1. Ritz

    UN General Assembly Calls for Israeli Withdrawal from Golan Heights

    Wanaukumbi. 🚨BREAKING: Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Lataka Israel ijiondoe kwenye Golan Heights Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio la kuitaka Israel iondoke kwenye milima ya Golan. Katika waraka huo, Baraza Kuu "linasisitiza matakwa yake kwamba Israel ijiondoe katika Golan...
  2. BigTall

    Israeli crime in Gaza strip and the West Bank facts and figures

    RE: ISRAELI CRIME IN GAZA STRIP AND THE WEST BANK FACTS AND FIGURES "In Gaza, one has to stand in line for hours to get anything... water, the toilet, bread. Everything except death, no line is needed for that." - UNRWA Staff According to the Palestinian Ministry of Health, more than 11000...
  3. S

    Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

    Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo, ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo. Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unastahiili kuombewa. Hata hivyo, cha kushangaza...
  4. MK254

    Wanajeshi wa Israeli wazingira hospitali yenye handaki ambalo ndio makao makuu ya HAMAS

    Kama kawaida HAMAS wamekua wakitumia maeneo ya raia kama eneo la kurushia makombora, sasa kuna hili handaki lipo chini ya hospitali ambayo inahudumia wananchi, Israel wameizingira na muda wowote kutatokea maafa hapo, sijui pataishaje maana hilo handaki ndio command post ya HAMAS...
  5. Ritz

    Ukristo hauna nafasi nchini Israeli, hatua kali kuchukaliwa wale watakaosambaza maudhui yanayomtaja Yesu

    Wanaukumbi. Ukiristo hauna nafasi nchini Israeli, hatua kali kuchukuliwa kwa wale wote watakaosambaza maudhui yanayomtaja Yesu Kristo nchini Israel ni marufuku. Sikiliza vizuri yaliyomo kwenye video hii, usinishambulie mimi nimeleta kama ilivyo Kwa mujibu wa Shirika la Takwimu la Central...
  6. MK254

    Israeli waanza kuizingira Gaza huku wakipenya ndani ndani

    Nia ni kuhakikisha hamna mpiganaji wa HAMAS atakayetoroka, wote lazima wawahishwe kwa mabikira. Japo pia Wapalestina wanakufa sana, mpaka sasa waliokufa ni zaidi ya 9,000 Hamna namna ya kuepuka mauaji ya Wapalestina maana haya magaidi yamejificha humo ndani ya watoto na akina mama. Kombora...
  7. MK254

    Wanajeshi wa Israeli waendelea kuingia Gaza taratibu na kutoa kichapo

    Lakini wanatumia akili wapo makini, hawaingii kichwa kichwa kama Warusi walivyofanya Kyiv na kuangukia pua, hawa wanaingia kiaina yaani kikomando, na mpaka sasa wako Gaza ndani wanasukumiza kichapo. Inabidi kutumia akili maana magaidi ya kidini sio wapiganaji wa kawaida, lazima utumie ukomando...
  8. Mhaya

    Dunia ielewe kuwa Israeli haipigani na Waislamu au Palestina, bali inapigana na Hamas

    Kitendo cha HAMAS kuvamia Israel na kuua baadhi ya Raia, kumimina risasi uraiani, na kuteka watu ikiwemo watanzania wawili, icho tayari ni kitendo cha Kigaidi (Terrorism Act), rejea maana ya neno 'Terrorism' au 'Ugaidi'. Hata hivyo mwanzo watu walionekana kufurahishwa na vitendo vya Hamas...
  9. M

    Urusi yaionya Israel

    Kumekucha Dmitry Medvedev Mkuu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia ametahadharisha kuwa, oparesheni ya nchi kavu ya Israel itafuatiwa na taathira nzito na za umwagaji damu. Shirika la habari la IRNA limeripoti kuwa, Dmitry Medvedev leo Ijumaa ameandika katika mtandao wa Telegram kwamba...
  10. Mkurugenzi Wa Mashirika

    Huu ndio ukweli kuhusu Israeli

    Israeli ya Kale ni jina la watu au taifa walioitwa taifa teule katika Tanakh au Biblia ya Kiebrania (kwa hiyo pia katika Agano la Kale lililo sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo. Kihistoria waliishi katika nchi iliyoitwa Kanaani, halafu Israeli (baadaye pia Palestina) kuanzia mnamo 1200 KK...
  11. MK254

    Israeli waanza kufanya kweli, aisei inataka moyo kuendelea kufuatilia

    Israel walitoa amri watu waondoke Gaza, amelfu wakatii ila kunao wengi waliona kama mkwara wakabaki, wamelipuliwa wakaanza kutoka nduki, miili ya watoto imetapakaa pembezoni mwa barabara, inataka moyo kuendelea kufuatilia huu ugomvi. HAMAS popote walipo sijui wanajihisi kivipi au ndio kuendelea...
  12. Execute

    Muongozo wa namna ya kwenda Israeli kuungana nao kuwapiga Hamas na wapalestina

    Taifa teule la Mungu limeingia kwenye operesheni maalumu ya kujiongezea mipaka kule Gaza baada ya kuchokozwa. Ni jukumu letu wana wa Yehova kwenda kuungana na uzao wetu mtakatifu kuichukua Gaza na baada ya hapo west bank. Kuna utaratibu uliowekwa?
  13. A

    Israeli wanakufa njaa karibuni

    Israel wapo hatarini kufa na njaa nchi nyingi zimeogopa peleka meli sababu katangaza official yupo vitan. Wengine wanaogopa peleka meli sababu Insurance imepandisha bei na wengine wanaogopa Hamasi asizipige hizo meli. Unambiwa ma supermarket vitu hamna na kama vipo bei yake ni kubwa sana...
  14. Mhaya

    Historia kamili ya Israel-Palestine war toka enzi za Ibrahim mpaka sasa

    Kwamjibu wa taarifa za ujasusi wa Kidola na Kiuchumi, Madai ya Waisraeli yanaanzia katika misingi ya kidini ambapo katika Biblia (kitabu kitakatifu kwa Wakristo na Wayahudi), kitabu cha kwanza cha nabii Musa kiitwacho Mwanzo sura ya 12 inaonesha jinsi Ibrahim anavyoitwa na mwenyezi Mungu ili...
  15. Mhaya

    Waarabu kiasili ndio wavamizi wa ardhi ya Israeli na Afrika Kaskazini

    Ukisoma Historia vizuri ya Waisraeli kwenye vitabu vya Dini na historia ya kidunia utagundua waisraeli walipitia misukosuko mingi tangu kipindi cha Musa, hadi kuja kwa Adolf Hitler ambao wengi walikamtwa na kufanywa watumwa, bila kusahau njama za Adolf Hitler kuwaua wayahudi (Waisraeli) wote...
  16. LINGWAMBA

    Mohammed Deif: Mfahamu kiongozi wa Hamas anayewanyima usingizi Israeli

    Kamanda wa jeshi la Hamas Mohammed Deif alitoa wito kwa Wapalestina kila mahali kujiunga na operesheni ya kundi hilo, muda mchache baada ya wapiganaji wa kundi lake kuvamia Israel na kusababisha maafa mabaya zaidi. "Tumeamua kukomesha makosa haya ya Israel kwa msaada wa Mungu, hivyo adui...
  17. N

    Kuvamiwa kwa Israeli, mzaliwa wa kwanza wa Mungu Mwenyezi, inaashiria nini kwa dunia?

    Hello JF, kama kichwa cha thread kinavyoeleza....Isreali kutokana na maandiko matakatifu ni taifa linalofahamika miongozi mwa mataifa yote duniani kama mzaliwa wa kwanza wa Mungu Mkuu (the first born of God), je hili linaloendelea la kuvamiwa na magaidi linaleta taswira gani kwa dunia? karibuni...
  18. Mhaya

    Wayahudi 5 wakamatwa baada ya kutemea Wakristo mate huko Israel

    Polisi Jumatano waliwakamata Wayahudi watano wa Orthodox kwa tuhuma za kuwatemea mate waumini wa Kikristo katika Jiji la Kale la Jerusalem, huku kukiwa na ongezeko la matukio yanayowalenga makasisi na mahujaji katika mji mkuu. Wakati huo huo, Waziri wa Usalama wa Kitaifa Itamar Ben Gvir...
  19. Jackal

    Meli ya Israeli yavunja katazo la Urusi kuzuia Ngano isisafirishwe kutoka Ukraine kupitia Black Sea

    An Israeli merchant ship that embarked from the Port of Ashdod Monday became the first vessel to openly defy Russia’s blockade of the Black Sea since they pulled out of a deal with Ukraine allowing the country to export grain from its ports in mid-July, Ukrainian news outlet Militarnyi reported...
  20. MK254

    Israeli wapiga maslahi na makundi ya Iran nchini Syria

    Israel huwa hawakawii kulipua kila wakipata sababu. Suspected Israeli airstrikes reportedly occur in Damascus, Syria, early May 29. Suspected Israeli airstrikes have reportedly occurred at several locations in Damascus early May 29. There were no immediate reports of casualties or material...
Back
Top Bottom