Mimi na mwenzangu ni vijana wenye ujuzi tofauti kwenye career ya IT and telecomm! Tumekuwa tukifanya kazi zetu kwa kuokoteza okoteza hvohvo ila tumefukiri kwamba kama tukapata mtu akakubali kuwekeza kwenye vipaji vyetu tufungue kampuni na pia awe na connection kwenye baadhi ya ofisi ili...
Habarini wanajukwaa, Mimi ni blogger na nahitaji Msaada wenu mablogers wenzang wenye ujuz zaidi na Google search console. Ninapokea ujumbe unaosema URL is on Google, but has issues Kila ninapofanya URL inspection. Na toka tatzo hili lianze traffic ya blog yangu imeshuka kwa Zaid ya asilimia 50%...
If the Kenyan government failed to repay the debts of $ 3.21 billion to China taken up for an ongoing major railway project, China would possibly take the port of Mombasa as an alternative.
SGR (Standard Gauge Railway) a 472-kilometer line from Mombasa Nairobi, where work started in 2013, and...
Jamani naomba mnisaidie matatizo haya kwe HP laptop
1. cursor inaganda na kutembea hovyo kwenye monitor kila nikichomeka adapter kuchaji hivyo inanilazimu kuchaji ndio nitumie tatizo limeanza baada kuharibika adapter ya mwazo hii mpya inasumbua
2. Microsoft office app zangu ikifungua...
Wanabodi,
Naendelea kusisitiza kwenye mazuri tupongeze, kwenye mabaya tukosea na kwenye mapungufu tushauri, katika uendeshaji wa Bunge la safari hii, kiukweli wa dhati ya moyo wangu, safari hii Mhe. Spika anajitahidi sana kuliendesha vyema Bunge letu kiasi cha kustahili pongezi
Hivyo hili ni...
Akihutubia taifa kutokea ikulu ya Marekani leo, Rais wa Marekani Donald Trump ametoa lawama kwa Umoja wa Ulaya kwa kutochukua hatua za haraka katika kudhibiti kusambaa kwa virusi vya Corona. Kufuatia hilo, ametoa zuio la wasafiri wote kutokea umoja wa ulaya kuingia nchini Marekani kuanzia saa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.