ivf

  1. A

    IVF Clinic mbona ni kama wapo kiutapeli na kibiashara zaidi?

    Habari wana Jamii forums Hivi kuna ukweli wowote juu ya ivf mbona ni kama wapo kiutapeli na kibiashara zaidi ya kusaidia watu, unakuta clinic moja kwa mwaka anaweza akafanikiwa mmoja watakae muweka kwenye post zao za social media na waliobaki wataambiwa warudi na wanalioshwa tena ikiwa kabla ya...
  2. pancras utenga

    Miongozo kuhusu In Vitro Fertilization (IVF) hapa Tanzania

    Habari zenu jmn! Nataka kujua Kama Kuna sheria, regulations au rules zozote zinazogovern au kutoa muongozo wa In Vitro Fertilization (IVF) hapa Tanzania.
  3. mitindo huru

    Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

    IVF kirefu chake ni In Vitro Fertilization. IVF ni jambo la kurutubisha kwa kuunganisha mbegu za uzazi za mwanamme na yai la uzazi la mwanamke maabara, baada ya hapo zoezi linalofatia ni kupandikiza ujauzito kwa mwanamke kwa njia ya sindano kisha ujauzito utaendelea kukua kama kawaida kwa mda...
  4. BARA BARA YA 5

    Huduma za kupandikiza mimba (IVF) Muhimbili zimeanza?

    Wakuu habari, Naomba kujua kama huduma.za IVF zimeanza kutolewa na kwa gharama ipi maana nahitaji kupata mtoto na mwenza wangu ambae imethibitika mirija imeziba. Najua zipo hospital binafsi zinafanya ila gharama zao nasikia ni kubwa mno.
  5. Miss Zomboko

    Serikali ya Tanzania imesema inatarajia kuanza kutoa huduma ya upandikizaji wa mimba (IVF)

    Huduma hiyo inaanza ikiwa ni miaka miwili sasa imepita tangu Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kuanza maandalizi ya utoaji wa huduma hiyo ikiwemo kusomesha wataalamu na kuandaa jengo litakalotumika kutolea huduma hiyo. Akizungumza bungeni leo Jumanne Mei 11, 2021 wakati akiwasilisha bajeti...
  6. Cathy Diwani

    Naweza kuzaa kwa IVF baada ya kuwa nilifunga kizazi?

    Salaam wana jukwaa, Mimi ni mwanamke nina umri wa miaka 35. Nilizaa watoto watatu, mdogo ana miaka 8 sasa. Nilikuwa nikisumbuliwa sana na kisukari daktari akanifunga kizazi. Nimedhibiti kisukari kwa chakula na sasa sukari iko kawaida kwa miaka miwili sasa. Bado niko makini sana na vyakula, na...
  7. Influenza

    Muhimbili kuanza kupandikiza mimba mwaka 2020

    Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) nchini Tanzania itaanza kutoa huduma ya kupandikiza mimba kuanzia Januari mwaka 2020. Hayo yameelezwa leo Jumanne Novemba 19, 2019 na Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali hiyo, Profesa Lawrence Museru wakati akitoa taarifa ya mafanikio ya miaka minne ya MNH tangu...
Back
Top Bottom