jamii forum

JamiiForums is a Tanzania-based social networking website in East Africa founded in 2006. The online network is notable as the most popular social media website in Tanzania, according to AllAfrica. The website emphasizes its use of user-generated content to avoid penalties faced by traditional media for reporting issues in Tanzania. According to Washington Post, recent Tanzanian bills have caused significant worry over potential media crackdown in Tanzania, though its founders faced several law charges over the years.

JamiiForums was officially launched in March 2006 with the name JamboForums, and comprised several online subforums. In May 2008 they changed their name to JamiiForums due to copyright issues. In March 2016, Jamii Media filed a lawsuit against the federal Tanzanian police force, alleging that the police force's power to demand personal information of individuals suspected of crimes was unconstitutional. The case will be processed through the High Court of Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. C

    SoC02 Taaluma yangu Mashakani

    TAALUMA YANGU MASHAKANI. Elimu Tanzania imekuwa sekta ambayo inatazamwa kama chanzo au nyenzo kuu ya kuzalisha wasomi au watatuzi wengi wa matatizo yanayoikumba jamii katika nyanja zote za maisha lakini imekuwa tofauti hadi sas wasomi kuzalaulika kwa jamii na kuonekana kama wajinga maana wasomi...
  2. Mr Dudumizi

    Faida niliyopata kupitia mtandao wetu huu pendwa wa JamiiForums

    Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika. Ndugu wana JF wenzangu, leo ningependa niandike manufaa, au faida niliyopata kupitia mtandao wetu huu pendwa wa JF. Afu kama kuna mungine au wengine walionufaika na mtandao huu, basi walete...
  3. Sky Eclat

    Bujibuji ninakusalimia kwa jina la JamiiForums

    Bujibuji Simba Nyamaume Mwalafyale wewe ni mwenye kiti wa mtaa, unapoondoka bila taarifa kero za mtaa wetu tuzipeleke kwa nani. Nyamaume ulipita kwa kura zote japo kulikua na figisu lakini ushindi wako ulikua bayana mpaka wale waliokata pumzi ilibidi wakuapishe. Kama uko salama huko ukoko...
  4. Sengiyumva 01

    New member

    Hello to everyone! Mi ni mgeni hapa jamii forum ivo basi ningependa kupewa maelekezo na member wenzangu ambao wamejiunga JF kabla yangu 👊👊👊
  5. U

    Ni zaidi ya Usiri, toka nimejiunga JamiiForums 2010 hakuna anayenijua, completely anonymous

    Jamani tuambiananeni Ukweli, Mimi Sasa ni miaka 12 toka nimekuja jamii forum, Ila hakuna binadamu yoyote anayejua Mimi ni nani, najua rafiki, staff mate na ndugu wamesoma mada zangu nyingi Ila hakuna aneyejua mimi ni nani. Hivi is jamii forum the most secured social media platform ever...
  6. K

    Ni gharama kiasi gani zitatumika kulipia server kwa website yenye watembeleaji sawa na jamii forum ?

    Ni fedha kiasi gani zitatumika kulipia server kwa site kama hii ya Jamii Forum Msaada tafadhali kwa mwenye uelewa na hizi mambo
  7. Fantastic boy

    Hello! Habari zanu wana familia ya JF

    Jina langu naitwa Elikana Nikodemo Elikana, Kiukweli nafarijika sana napokuwa humu japo nilikuwa bado sijajiunga rasmi ila sasa nashukuru tupo pamoja...!! Ahsanteni sanaaaa Pia binafsi ningependa kuomba ushauri..!! Mimi ni kijana ninayeamini sana kupitia sanaa itanifikisha katika malengo na...
  8. The unpaid Seller

    Nawaaga JamiiForum kwaherini

    Salaam wakuu, Jamii Forum ina mambo mengi mazuri kuanzia mijadala ya siasa, makazi na ujenzi, hoja na habari, mahusiano, biashara nk nk. Niweke wazi nimekua addicted na JF muda mwingi nipo JF hata wakati wa kutekeleza majukumu yangu najikuta nimechepuka niko JF, mke wangu ananilaumu muda wote...
  9. C

    Natafuta kazi yoyote hata ya kuwa counter bar

    Habaro wanajamiiForums. Nina bachelor ya sociology natafuta kazi yoyote hata ya kuwa counter bar ili niweze kulea watoto Tafadhali Kama una connection, nipo Mbeya nisaidie
  10. K

    Ni kweli wanawake hutumia hisia kufanya maamuzi badala ya akili?

    Habari za humu wana jamii forum wote. Hii mada imemili sana katika suala la maamuzi ya Wanawake hasa katika mambo kadha wa kadha ila hasa katika mahusiano. Mada hii naiweka katika mtindo wa swali na hii ni kutokana na watu wengi huwa wanawasema Wanawake ya kuwa wanatumia sana hisia badala ya...
  11. K

    Kauli ya Tulia juu ya Mamlaka aliyonayo Rais wa nchi haikuja kwa bahati mbaya, ni fadhila baada ya kuhakikishiwa

    Kwa jinsi alivyozungumza Tulia (NS) jana wakati wa kuapishwa viongozi/Mawaziri wapya ni dhahiri shahiri kuwa aliandaliwa makusudi kuongea vile baada ya kuhakikishiwa nafasi ya "Mzee wa nina file milembe mimi"'. Ili halina shaka kabisa na ni wazi, ndio maana badala ya Tulia kuzungumzia...
  12. 4

    Kama Mungu kanigusa,nami ngoja nishiriki na ndugu zangu wote wa jamii forum

    WATU wa Mungu jf niwasalimie kila mtu kwa imani yake Bila jali mitazamo yetu tofauti ila ni imani Yangu sie ni Ndugu tu, Usiku wa kuamkia leo nimeguswa na yule ajuaye nini makusudi yake kunifanya niwe hai leo, na nini kusudio lake kunileta duniani ,nami ni vyema share nanyi baraka hizi Ni...
  13. K

    Ninatafuta kazi za ndani ambae atahitaji mdada wa ndani ninapatikana

    Habarini wana JamiiForums Ninatafuta kazi za ndani kwa yeyote ambae atahitaji mdada wa ndani ninapatikana Malipo kuanzia laki Asanteni
  14. Maxence Melo

    App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi

    Edited on Feb 14, 2024 Android users: Follow 👉🏾 DOWNLOAD JF APP iOS Users Users: Follow DOWNLOAD JF APP
  15. P

    Kutangaza na Jamii Forums

    Habari zenu JF expert members. Nahitaji kujua kutangaza na Jamii Forums gharama zake (kama ni Admin/mod inbox Kwa maelezo zaidi) na wewe mwingine share ujuzi wako kuhusu kutangaza na Jamii Forums. Asante
  16. ROJA MIRO

    SoC01 Importance of Boosting Intra-African trade by Promoting a Culture of buying Quality African Goods and Services

    How can Africa’s Young Entrepreneurs and Innovators make the AfCFTA’Magic Happen? The African Continental Free Trade Area Agreements (AfCFTA) It is a plan signed On March 21, African Nations signed the African Free Trade Agreement (AfCFTA) agreement in Kigali Rwanda. The African Union says the...
  17. Jmwacha0076

    SoC01 Maendeleo ni jambo ambalo sio la kuja kwa pupa, ila ni mchakato laini ambao jamii zote hufuata kwa usawa

    MAENDELEO KATIKA TAIFA LA TANZANIA Katika mtazamo wa kawaida, maendeleo ni hali ya kuwa na mabadiliko chanya kukoka hatua moja hadi nyingine katika nyanja za kijamii, kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni. Hali ya maendeleo katika taifa hupimwa kwa kuangalia mambo mbalimbali kama vile uwepo wa...
  18. MWAG

    SoC01 Jamii Forums: Habari Katika Kurasa Salama

    Unajua nini kuna mitandao ya kijamii ukiifuatilia utacheka sana wakati mwingine inasikitisha kwasababu waandishi hawana tena uweledi yaani hawaandiki tena uhalisia wa maisha wanaandika kile bosi anataka hii ni hatari kwani kwani waandishi ndo watu pekee wanao weza kubadili uongo uonekane kweli...
  19. Edychristian

    SoC01 Afya yako ndiyo itakufanya utimize malengo yako

    Kwanza kabisa niseme asante kwa kuchukua muda wako kusoma thread hii ukimaliza unaweza weka maoni yako na ku vote ili niweze kushinda. Afya yako ya leo hii ndio chanzo kikubwa cha wewe kufikia malengo yako ,Sayansi mara nyingi haidanganyi kivipi? kipindi kizuri na kipindi kibaya sana kwa...
  20. ROJA MIRO

    SoC01 Mwanamke mjamzito afanye hivi kuondoa mazoea ya kula udongo kutokana na madhara yake.

    Watu maarufu waliowahi kula udongo. Mwaka 2014, Muigizaji mashuhuri wa Hollywood nchini Marekani, Shailene Woodley, aliwashangaza watu alipofichua kuwa yeye hula udongo kila siku kwa kupima kijiko kimoja. Muigizaji huyo, aliyewahi kucheza filamu mashuhuri ya Descendants akishirikiana na George...
Back
Top Bottom