Waziri wa Nishati January Makamba ametembelea Kisiwa cha Ukara na kuwaahidi watapata bei mpya ya Umeme yenye unafuu kuanzia August Mosi 2022.
Pia Makamba ameongea na mwekezaji wa Umeme hapo Ukara na kumtaka aongeze muda wa kusupply Umeme tofauti na saa 12 kama anavyofanya sasa.
Wananchi wa...
Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!
Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.
Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂.
Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.