januari makamba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Waziri Makamba atembelea Kisiwa cha Ukara ambacho Viongozi huwa hawaendi, azungumza na Wananchi na kuahidi kuwapunguzia bei ya Umeme

    Waziri wa Nishati January Makamba ametembelea Kisiwa cha Ukara na kuwaahidi watapata bei mpya ya Umeme yenye unafuu kuanzia August Mosi 2022. Pia Makamba ameongea na mwekezaji wa Umeme hapo Ukara na kumtaka aongeze muda wa kusupply Umeme tofauti na saa 12 kama anavyofanya sasa. Wananchi wa...
  2. Suzy Elias

    Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

    Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa! Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee. Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂. Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo...
Back
Top Bottom