january makamba

  1. R

    Baada ya kikao cha baraza la mawaziri leo 07/03/2025; natabiri mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri? Januari na Nape watarejea?

    Leo tumeona kulifanyika kikao cha baraza la mawaziri. Kikao hiki mara nyingi kimekuwa reflection ya future strategies za chama na serikali. Tumemsikia SSH alimsamehe Makamba huko Bumbuli. Unadhani ni wizara gani imepwaya anayopewa Makamba? Je, alipopewa Wizara anaweza kupewa nafasi ndani ya...
  2. PendoLyimo

    Pre GE2025 Imetosha! Wananchi wa Bumbuli tunakataa jina la January Makamba

    Hatumtaki Januali Makamba sisi wananchi wa jimbo la bumbuli kwa umoja wetu kutoka kata zote za jimbo hili hatutamchagua tena. imetosha kwa miaka kumi na tano sasa bila huduma za kijamii, hatumtaki mbunge wa msimu kama mtalii. Tunaomba apumzike. Kwa kauli moja wananchi wa kata zifuatazo...
  3. M

    Pre GE2025 January Makamba ili ndoto yako itimie ni lazima uwaombe radhi watanzania

    January Makamba mbunge wa jimbo la Bumbuli na waziri msitaafu uliyetimuliwa kazi na Marais wawili tofauti, kwenye awamu mbili tofauti sasa umeyatimba baada ya kujulikana hadharani kwamba ulipigwa makofi na Rais Samia!. Iko wazi kuwa mtu hapigwi makofi kama hajakosea chochote, kwa hiyo ni wazi...
  4. Waufukweni

    Pre GE2025 Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama

    Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza mbele ya wananchi wa Lushoto, Tanga leo Februari 24, 2025, amesema alimpiga kofi Mbunge wa Bumbuli, Januari Makamba, lakini akamfichia chakula kama ulivyo uhusiano wa mama na mwana. "Lakini mwisho kabisa nataka nimuite mwanangu Januari (Januari Makamba) hapa...
  5. Pascal Mayalla

    Pre GE2025 PPR News Analysis : Kurejeshwa kwa Makamba ina maana kuna watu wamepwaya! Bado Nepi na Konda Boy!

    Wanabodi Mimi ni story teller, from time to time, nitakuwa nafanya short sessions za News analysis ambazo zitaitwa "PPR News Analysis". Nichukue fursa hii kuelimisha kidogo hii news analysis ni nini. News analysis ni uchambuzi wa habari, kwa kuwaita manguli kuichambua habari fulani na ina...
  6. Cute Wife

    Pre GE2025 Rais Samia kamaliza kuwaadhibu Ummy na Makamba teuzi zinakuja. Nape yupo njiani kukamilisha genge la kukimbia na mabox ya kura

    Wakuu, Makamba na Ummy washamaliza kutumikia vifungo vyao, sasa hivi wapo vizuri na mama. Rais Samia kaonesha leo ni mtu wa visasi sana, ukionesha kitabia cha kumchallenge tu unafinywa fastaaa. Naona safari ya Tanga ilikuwa maalum kwaajili ya kutoa msamaha🌚. Pia soma: Pre GE2025 - Rais Samia...
  7. Mganguzi

    Pre GE2025 Nape Nnauye na January Makamba mfumo wa utawala wa sasa umewakataa. Nendeni upinzani mungu atawatokea mkiwa huko huku hata bungeni hamrudi 2025!

    Za ndaani kabisa ni kwamba Nape na January pamoja na wabunge 15 wa CCM hawatarudi Tena bungeni hata kama watashinda kura za maoni na kupitishwa na wajumbe,wakiwamo pia mbunge wa Sumbawanga Mjini, Mbunge wa Chato, mbunge wa Kilolo, mbunge wa Kigoma Mjini na aliyewahi kuwa spika hawatarudi kabisa...
  8. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Makamba: Sisi CCM kwenye urais tumeshamaliza kazi, mgombea wetu ni Rais Samia

    Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), January Makamba amesema chama chao kimeshafanya uamuzi kuhusu kiti cha urais kwa kumteua Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea. Soma Pia: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025 “Sisi CCM...
  9. Gabeji

    Pre GE2025 January Makamba mipango yako ya urais Samia kaivuruga leo, jipange vizuri pamoja na timu yako 2030

    Wewe una watu wengi sana nyuma yako, kaa vizuri Na kikwete, kinana, samia, husein, wasira, Rostam I'li uweze kutimiza ndoto zako 2030.
  10. Suley2019

    Pre GE2025 January Makamba akanusha kupeleka Madrafti Bumbuli

    Salaam Wakuu, Kufuatia video fupi ya Wananchi wa Bumbuli kulalamika kupelekewa drafti na Makamba badala ya maendeleo Soma hapa: - Kuelekea 2025 - Bumbuli: Wananchi wamlalamikia January Makamba kuwapelekea Madrafti huku mambo mengine ya kimaendeleo yakisimama Kupitia ukurasa wake wa X...
  11. I

    Pre GE2025 Bumbuli: Wananchi wamlalamikia January Makamba kuwapelekea Madrafti huku mambo mengine ya kimaendeleo yakisimama

    Wananchi wa Bumbuli mkoani Tanga wamechukizwa na tabia ya mbunge wao January Makamba kuwapa ma draft kwa ajili yakuchezea wakati barabara ni mbivu na huduma zingine nizashida sehemu hiyo.
  12. F

    Tetesi: January Makamba kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara

    Habari kutoka ndani ya CCM ni kuwa Familia ya Makamba imemalizana na Rais Samia. Makubaliano ni kuwa Mama Samia hakutaka Makamba arejeshewe Uwaziri kama walivyotaka. Baada ya Maongezi ya muda mrefu Mheshimiwa Rais kwa kuiheshimu familia hiyo, ameahidi kufanya mpango kwa kufuata taratibu za...
  13. L

    Matukio makubwa yaliyotikisa Nchi kwa mwaka huu: Kifo cha Hayati Mwinyi na Lowassa. Kutenguliwa kwa January Makamba na Lissu Kugombea Uenyekiti

    Ndugu zangu Watanzania, Nitawaleteeni Matukio Makubwa yaliyotikisa Nchi yetu na kuteka hisia za Watu wengi sana hapa Nchini. Nitakuwa nawaleteeni awamu kwa awamu.Leo naaanza na haya yafuatayo. Tukio la Kwanza lilikuwa ni lile la kufariki kwa Waziri Mkuu Mstaafu wa jamuhuri ya muungano wa...
  14. Suley2019

    LGE2024 Bumbuli: January Makamba ajitokeza kupiga kura

    Mbunge wa Jimbo la Bumbuli, January Makamba ameshiriki kupiga kura ya kuchagua Viongozi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, Vitongoji na Vijiji katika kituo cha Kwevizelu Kata ya Mahezangulu Mkoani Tanga leo Novemba 27,2024. PIA SOMA - LGE2024 - January Makamba: CCM tunajivunia na sera...
  15. Mkalukungone mwamba

    LGE2024 January Makamba: CCM tunajivunia na sera nzuri na viongozi wanakubalika

    Hatimaye alikuwa kimya sana tangu ameteguliwa lakini sasa January Makamba ameibuka kwenye kampeni za kuwanadi wagombea wa chama chake CCM ===================== Mbunge wa Jimbo la Bumbuli ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, January Makamba amesema chama...
  16. Gabeji

    Pre GE2025 Rais mteue January Makamba awe Balozi huko nchi ya mbali kabisa

    Nakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano! wa Tanzania, Pole na majukumu na heka heka za uchuguzi. Kwa usalama wako ndani ya mkutano mkuu, mpinzani mkubwa wako ni January makamba. Kijana huyu ni mwasiasa mzuri tu na ana ushawishi kutoka kwa vijana na wazee, amejiandaa kisaikolojia, kifedha...
  17. Kabende Msakila

    Msipomtaja Nape au January Makamba hampati usingizi?

    Umefika wakati CDM mjitafakali sana - why mnashinda mitandaoni kufuatilia wenzenu? Msipomtaja Nape hampati usingizi; Msipomtaja January Makamba chakula hakipiti kooni; Msipoikashifu CCM mashamba yenu hayaoteshi mbegu na maduka yenu hukosa wateja?
  18. Bob Manson

    Kwanini January Makamba anachukiwa kiasi hiki, kipi amewakosea watanzania?

    Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali. Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake? Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali...
  19. Teko Modise

    Mama January atimiza miaka 70, January Makamba amsindikiza mama yake Kanisani

    January Makamba akiwa na mama yake mzazi pamoja na mdogo wake kwenye Ibada ya Misa ndani ya Kanisa Katoliki. Ibada hiyo ilikuwa ni ya shukrani kwa mama yake kutimiza umri wa miaka 70. Mama yake January ni mkatoliki haswaa na ameolewa kwa miaka 50 na Mzee Makamba ambaye ni Muislam
  20. Li ngunda ngali

    Dunia duara ukibisha muulize Nape na January Makamba

    Yu wapi Nape na January?! Hawasikiki tena. Walijiona na kuhisi rasmi Dunia ni yao baada ya kifo cha JPM na wao kurejeshwa ndani ya mfumo. Kiko wapi hatimaye! Leo hii Makonda anakula kuku kwa mrija huku Nape na January wakiendelea kujificha walipo. Dunia tambala bovu, tuwe na kiasi.
Back
Top Bottom