january makamba

  1. Erythrocyte

    Uchaguzi 2020 January Makamba asema hana uhakika kama atagombea Ubunge 2020

    Mbunge wa Bumbuli, January Makamba amesema kwa sasa bado hana uhakika kama atagombea tena ubunge katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2020. Makamba ametoa kauli hiyo kupitia ukurasa wake wa Twitter ambapo amesema atafanya uamuzi Desemba mwaka huu atakapokuwa mapumzikoni. “Sina uhakika juu ya hili...
  2. Zitto

    Rais Magufuli huhitaji kujieleza unapomtoa Waziri. Kwa January Makamba jikalie kimya

    Rais Magufuli kwenye sababu za kumuondoa January Makamba bora jikalie zako kimya. Nimekusikia Rais leo ukijaribu kuelezea sababu za kumuondoa Uwaziri Bwana January Makamba. Kwa kweli hukuwa umejiandaa na maelezo ya kuridhisha. Rais, kwenye suala la mifuko ya plastiki tunajua ukweli kwamba...
  3. figganigga

    Mradi wa umeme wa Stiegler's Gorge Hydroelectric Power Station kuondoka na Waziri January Makamba

    Heshima kwenu wakuu, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira na Muungano Mheshimiwa January Makamba, huenda akatumbuliwa kutokana na kuwa kikwazo katika Ujenzi wa Stiegler's Gorge Hydroelectric Power Station. Inasemekana January Makamba kaunda tume ya Wataalam wa kuchunguza athari...
  4. Pascal Ndege

    January Makamba: TANZANIA hatujafikia kunufaika na Gas

    Kwa wale waliyofuatilia siku January Makamba alipokuwa akitangaza nia alisema Tanzania hainufaiki na gas na haitanufaika na gas ndani ya miaka 20 ijayo! Katika hotuba yake aliianisha vyanzo vyote vya mapato isipokuwa gas na kusema kwa mikataba hii Tanzania haitanufaika na gas kwa miaka 10...
  5. Rev. Kishoka

    Mahojiano ya Absalom Kibanda na January Makamba

    MAHOJIANO YA JANUARY MAKAMBA NA JARIDA LA UMOJA 1. Umekuwa msaidizi wa karibu wa Rais Jakaya Kikwete tangu akiwa Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi na Ushirikiano wa Kimataifa hadi hivi sasa, ni mambo gani hasa umejifunza kutoka kwake? Nimejifunza mambo mengi sana kiasi kwamba ni si rahisi...
Back
Top Bottom